Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Aya za biblia zip? Wakati haya yesu hakuwahi kuoa ..We swala la kuoa ukitoa wapi
Wewe Mod kuwa mpole huyo Mod alishawahi kula kibinti cha miaka 9 na ungekuwa saizi ni mbakaji mkubwa!
Pia alioa jibibi kizee vipi hapo upo?
 
Wewe Mod kuwa mpole huyo Mod alishawahi kula kibinti cha miaka 9 na ungekuwa saizi ni mbakaji mkubwa!
Pia alioa jibibi kizee vipi hapo upo?
Yesu alioa na mbona mapandre hawaoi ? We unaoa kwa kumfuata Nan?

Msukuma unajielewa kweli
 
- Hakuna chuo kikuu/shule ya bure dunia hii.

- Hakuna hospital ya bure dunia hii.

Ni lazima ulipie ili hiyo taasisi iweze kujiendesha.

- Hata mwendokasi ni huduma ya serikali ila unalipia. Hata hospital za serikali ni huduma ila unalipia. Hata chuo kikuu cha serikali ni huduma ila unalipia

Tunarudia tena, Msiishie tu kujenga misikiti.. jengeni na vituo vya huduma kama Shule, vyuo na hospitali muhudumie jamii.
Kitakacho wafanya waisilam kusoma sio kujenga vio na mashule bali ni hela tu
 
Huo mfumo wa kielimu wa kiislam umefanya nini cha maana utuoneshe?

Kuendesha tu chuo kikuu cha Morogoro imekuwa kazi, mnasuasua miaka nenda rudi, ndio mtakuwa na mfumo nyie....
Hicho chuo sio cha waisilamu bali ni biashara kama biashara nyingine kama unadhani hivio vio ni via wakirisito unajidanganya na hayo mashule na mahosipitali pole yako
 
Jumuiya ya waislam imefanya nini toka Sewahaji mpaka leo?

Sewahaji (ambaye alikuwa muhindi) alijenga jengo la muhimbili miaka ya 1800 (alifariki 1897)

Ni nini nyie Waislam mmefanya kwa miaka yote hii mnachoweza kuonyesha?

Nioneshe Hospitali moja tu ya kueleweka Iliyojengwa na waislam...Moja tu nioneshe.
Kweli sisi hatujajenga hata 1 sababu hatuoni faida ya kujenga kwa sababu nyiyi mlio jenga mnapata faida gani?haswa niyiyi wakirisito wa kawaidi mnao kamuliwa kila siku kwa michango?
 
Yesu alioa na mbona mapandre hawaoi ? We unaoa kwa kumfuata Nan?

Msukuma unajielewa kweli
Mada haimuhusu Yesu wala mapadri... Kubadili hoja ya Mada ni dalili ya kuishiwa hoja.

Mada inahusu WAISLAM na UJENZI WA MISIKITI.
 
Huu uwandishi unatosha kukufaham.
Pengine hata Form 4 tu hujafika.
Ndio sijafika wewe ulie fika mlimani umefanya nn katika jamii yako hasa huko kwenu?tofaoti na kujikweze heti umesoma ulimbukeni na ushamba unakusumbua
 
Hicho chuo sio cha waisilamu bali ni biashara kama biashara nyingine kama unadhani hivio vio ni via wakirisito unajidanganya na hayo mashule na mahosipitali pole yako
Wewe ukiwa Mwanza, ikatokea ukaugua Utapelekwa Bugando, mali ya Roman Catholic

Ukiugua ukiwa Moshi, utapelekwa KCMC, mali ya KKKT

Zote hizo ni hospital za Rufaa level ya muhimbili kwa hizo kanda.

Jengeni mashule na Hospitali mtoe huduma kwa jamii acheni kutetea ujinga.

Nb: Wewe kwanza unahitaji kwenda darasani ujifunze kwanza kuandika.
 
Kweli sisi hatujajenga hata 1 sababu hatuoni faida ya kujenga kwa sababu nyiyi mlio jenga mnapata faida gani?haswa niyiyi wakirisito wa kawaidi mnao kamuliwa kila siku kwa michango?
Wewe unahitaji kwanza ukombozi wa Fikra kwa kupata Elimu. Urudi shule Uondoe huo Ujinga ulio nao kichwani na ujifunze hata kuandika.

Nina Uhakika hata form 4 hujafika... na kama umefika ni wale wa division Four au Zero.
 
Baadhi ya wavaa kobazi humu wanasema Hawaoni Umuhimu wa Kujenga Hospitali wala Mashule kwa sababu havina Faida.


Hii dini imejaa wapumbavu wengi sana.
 
Wewe ukiwa Mwanza, ikatokea ukaugua Utapelekwa Bugando, mali ya Roman Catholic

Ukiugua ukiwa Moshi, utapelekwa KCMC, mali ya KKKT

Zote hizo ni hospital za Rufaa level ya muhimbili kwa hizo kanda.

Jengeni mashule na Hospitali mtoe huduma kwa jamii acheni kutetea ujinga.

Nb: Wewe kwanza unahitaji kwenda darasani ujifunze kwanza kuandika.
[emoji29]haya nikiwa mwanza nikatibiwa bugando natibiwa bule?hata wewe mpiga makofi kanisani ukienda bundo kama huna hela aijarishi uwezi tibiwa bule hiyo sio huduma kama mnavio jidanganya hiyo ni biashara ya watu
swali kwako nyiyi wakirisito mnao jisifia kila siku hapa na mali za kanisa hasa wewe ufaidika na nini?hili nasie tushawishike tujenge?

kwenda shuleni kujifunza kuandika siendi najua unafahamu ninacho kusudia ila unapotezea

jibu swali
 
Wewe unahitaji kwanza ukombozi wa Fikra kwa kupata Elimu. Urudi shule Uondoe huo Ujinga ulio nao kichwani na ujifunze hata kuandika.

Nina Uhakika hata form 4 hujafika... na kama umefika ni wale wa division Four au Zero.
jibu swali hacha kupotezea nyiyi wakiristo wakawaida wakina miujiza mnapata faida gani kutoka kwenye hiyo miladi ya kanisa?
 
jibu swali hacha kupotezea nyiyi wakiristo wakawaida wakina miujiza mnapata faida gani kutoka kwenye hiyo miladi ya kanisa?
Tatizo lako upo hapa kubishana. Hili swali nilishalijibu kwenye comment namba #372.

Ila nitarudia tena jibu langu hapa [emoji116]


Faida ninayoipata mimi kwenye hizi Hospitali ni huduma bora ya afya ambayo nisingeipata endapo hizi hospitali zisingekuwepo.

Hospital zilizopo hazitoshi. Ndio manaa Kanda ya ziwa Hospital kubwa wanayotegemea ni Hospitali ya rufaa Bugando(mali ya kanisa) na Kanda ya Kaskazini ni KCMC(mali ya kanisa)

Mfano halisi: Kanda ya Kaskazini hospital ya rufaa KCMC (Mali ya Kanisa langu KKKT) ndiyo hospital pekee ya rufaa kanda hiyo inayohudumia mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro.. na mimi na familia yangu tumetibiwa hapo kwa miaka mingi.

Wananchi wa mikoa hii wanategemea Hospitali hii ya Kanisa kama hospitali kubwa ya rufaa.

Una hoja nyingine?
 
Baadhi ya wavaa kobazi humu wanasema Hawaoni Umuhimu wa Kujenga Hospitali wala Mashule kwa sababu havina Faida.


Hii dini imejaa wapumbavu wengi sana.
mimi ndie nilie sema sio muingine nyiyi mnojisifia miladi ya kanisa na kutuita ss wailamu wapumbavu kisa hatuna miladi kama hiyo nijibu swali nyiyi wa kirisito wa kawaida wachangiaji msio kuwa wapumbavu maomi mnapata faida gani inayo tokana na miladi au biashara inayo fanywa na kanisa?nijibu swali tu upumbafu wangu niachie
 
[emoji29]haya nikiwa mwanza nikatibiwa bugando natibiwa bule?hata wewe mpiga makofi kanisani ukienda bundo kama huna hela aijarishi uwezi tibiwa bule hiyo sio huduma kama mnavio jidanganya hiyo ni biashara ya watu
swali kwako nyiyi wakirisito mnao jisifia kila siku hapa na mali za kanisa hasa wewe ufaidika na nini?hili nasie tushawishike tujenge?

kwenda shuleni kujifunza kuandika siendi najua unafahamu ninacho kusudia ila unapotezea

jibu swali
Nikuelimishe kidogo.

Hakuna hospital inayotibu Bure hapa duniani.

Hospital zinatoa huduma ya afya. Na ile huduma ya afya ni lazima uilipie. Hata hospital za serikali hazitibu bure, ni lazima ulipie ile huduma ili hospital iweze kujiendesha.
 
mimi ndie nilie sema sio muingine nyiyi mnojisifia miladi ya kanisa na kutuita ss wailamu wapumbavu kisa hatuna miladi kama hiyo nijibu swali nyiyi wa kirisito wa kawaida wachangiaji msio kuwa wapumbavu maomi mnapata faida gani inayo tokana na miladi au biashara inayo fanywa na kanisa?nijibu swali tu upumbafu wangu niachie
Jifunze kwanza kuandika.... nenda Shule ya Elimu ya watu wazima na sio kushinda hapa jamii forums
 
Tatizo lako upo hapa kubishana. Hili swali nilishalijibu kwenye comment namba #372.

Ila nitarudia tena jibu langu hapa [emoji116]


Faida ninayoipata mimi kwenye hizi Hospitali ni huduma bora ya afya ambayo nisingeipata endapo hizi hospitali zisingekuwepo.

Hospital zilizopo hazitoshi. Ndio manaa Kanda ya ziwa Hospital kubwa wanayotegemea ni Hospitali ya rufaa Bugando(mali ya kanisa) na Kanda ya Kaskazini ni KCMC(mali ya kanisa)

Mfano halisi: Kanda ya Kaskazini hospital ya rufaa KCMC (Mali ya Kanisa langu KKKT) ndiyo hospital pekee ya rufaa kanda hiyo inayohudumia mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro.. na mimi na familia yangu tumetibiwa hapo kwa miaka mingi.

Wananchi wa mikoa hii wanategemea Hospitali hii ya Kanisa kama hospitali kubwa ya rufaa.

Una hoja nyingine?
nilidhani kuna chazaidi unacho kipata hapo ambacho ss waisilamu tukienda hapo tunakikosa kinacho takiwa ni hela tu atuwezi jenga wote nani sasa atakakae mtibia mwenzie?
 
Nikuelimishe kidogo.

Hakuna hospital inayotibu Bure hapa duniani.

Hospital zinatoa huduma ya afya. Na ile huduma ya afya ni lazima uilipie. Hata hospital za serikali hazitibu bure, ni lazima ulipie ile huduma ili hospital iweze kujiendesha.
sasa kama ni biashara tatizo liko wapi?cha uhimu pesa tu basi hapo hakuna huduma ni biashara
 
Back
Top Bottom