Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Bahati mbaya wengi mnaotoa hoja humu sio Wana CCM. So, inakuwa ngumu kiwajibu. Ngoja tuendelee kuwaangalia tu.Haupo objective, wewe unaongelea hisia zako sasa. Swali ni kuwa mawaziri wote wanaingia kwenye vikao vyote vya chama? Na wakiingia wanaingia kama nani mawaziri au wanachama ? Na kama wakiingia kama wanachama ukiangalia structure wa CCM kipi ni kipi na nani ni nani?
Sawa mkuu,ILA tunakubaliana kuwa serikali iliyopo imeundwa na ccm?,kama hili nalo hatukubaliani it's okay bcs we have the right to disagreeHapana...Itifaki ya vikao vya Chama haiko hivyo..Meza Kuu ni
1.Mwenyekiti
2.Makamu wa Mwenyekiti
3.Katibu Mkuu
Wengine wote kukaa kama wajumbe wenye hadhi sawa akiwemo huyo Mwenezi.
Bwashee acha ujuaji wa chagga za vitanda jibu swali sio swali juu ya swaliKwani Mawaziri wote wanaingia kwenye hizo vikao vya Chama? Pia tueleze Makonda anaingia kama nani na hao mawaziri pia wanaingia kama nani...then tuanze kujadili
Kwani ni msemaji?Makonda ni msemaji wa chama nje ya chama siyi ndani.
Kama serikali ilivyo na msemaji, anapokea maelekezo ya nini aje atuambie. Aache kujitwika madataka yasiyo yake, ajifunze kazi yake.
Yeye anapaswa kuzungumza na vyombo vya habari, kuhusu mambo ya chama tu, siyo ya serikali.
Ni mtoa taarifa, tena anazopewa na vikao vya ndani siyo kubuni nini cha kusema.
Aeneze itikakadi za chama aache wahusika wafanye kazi zao.Kwani ni msemaji?
Au katibu wa itikadi na Uenezi?
Nadhani hicho anachofanya ndio itikadi ya Chama chao.Aeneze itikakadi za chama aache wahusika wafanye kazi zao.
Inawezekana kabisaNadhani hicho anachofanya ndio itikadi ya Chama chao.
Acheni wafu wazikane.