Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...
Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.
Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.
Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣
Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.
Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.
Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣