Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Haka ka ngedere kamekuja na "intelligence adimu" mpya ya somo lale "bobezi" la "ujasusi wa kiuchumi"? Dubai Expo 2020 ilikuwa siku 182 kuanzaia Oktoba 1, 2021 hadi Machi 31, 2022.

 
Hii hoja binafis naona umechemka big time, yaani mtu aache 5% interest akimbilie 9% interest afu huyo aliepelekewa wa 9% ye akaenda kumfuata wa 5% kisha wakakubaliana ampe 5% yeye achukue 4%? Yaani kwamba JPM alikuwa level za akili kama hawa wanaompa DP World kila kitu for free?

Ye JPM hata hakujishughulisha kutafta watoaji wa chini ya iyo 9% ila wewe ndo unawajua waliyoyafanya daaah, kuna ujuaji mwingine huwa ni kama kujua kusoma kizani. Acha kudanganya raia, Jiwe alikuwa anasoma sio kusema document ikienda kwake ye anampasia Waziri wake ndo aipitie iyo big NO. Wote tunajua aliyoyafanya MwanChato acha kuwaadaa raia bhana kwa mtindo wa kichawa
Huyu jamaa ana vistori vya vijiweni vingi sana,JPM alikuwa kichwa,alikuwa anafanya uamuzi baada ya kufuatilia jambo kwa kina yeye binafsi na kupitia vyombo vya usalama.Nadhani ukiacha wakati wa Nyerere,JPM kaitumia TISS kwa kiwango kikubwa sana!
 
Mvaa kobazi katika ubora wako

Hata umtaje Pengo mara elfu, Pengo mwenyewe au Kanisa kwa ujumla haliwezi fyata mkia 'na unalijua hili kwani hamjaanza leo hizo harakati'
Anapambana na watawala wa Dunia, Vatican.Hajui ata USA mwenyewe anawajua michezo yao ya hatari!
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Kwa hiyo JPM kabla hajafa alisaini mkataba wa milele na DP world na kuwakabidhi moja kwa moja maziwa mito na bahari zetu?

Na kabla hajafa JPM aliandaa muswada wa kubadilisha umiliki wa rasilimali za taifa kwenye katiba?
 
Kwani Dubai Expo 2020 ilikuwa enzi za Urais wa Magufuli?
Huyo kwakuwa ameona imeandikwa 2020 basi akajua imefanyika 2020!🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

Yericko ni mtu wa kuokoteza vijarida hahahaha na kujiita jasusi …jasusi gani hajui hata Dubai expo ilifanyika lini?
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Kwani Dubai expor ilifanyika 2020?

Kwani mkataba na Dubai alisaini marehemu aliacha amesaini kabisa?

Yeye ndio aliandaa kabisa muswada kabisa wa rasilimali za taifa kwenda bungeni kabla hajafa?

Maswali kwanini hayajibiwi? Hahahaha😝😝😝😝
 
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m.

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
Huyu jamaa shida anapenda kuchanganya siasa za CCM na CHADEMA kwenye mambo ya kitaaluma.Yaani chuki yake kwa JPM anaileta mpaka kwenye issue za kitaalamu!
 
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m.

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
Uko vizuri.
 
Mkuu 'Gobore' HESHIMA kwako.

Sijui usahihi wa tarakimu hizo ulizoziweka hapo, lakini bila kujali hilo, nimefurahishwa sana na namna ulivyo jibu hoja kwa mfano huu.

Anachotakiwa kufanya Yericko sasa hivi ni yeye kuleta tarakimu zake tune usahihi wa anayoyaandika humu.

Mtu hahitaji kuwa shabiki wa Magufuli kuona ukweli huu uliouweka hapa waziwazi kabisa.

Yericko, kama ni mtu mwenye busara, inatakiwa akujibu.

Hiki ulichokifanya hapa, ndicho kinachoipa heshima kubwa JF. Ninakupongeza sana.
Mkuu hizi taarifa ni Public information na zinapatikana kutoka vyanzo mbali mbali, ikiwemo magazeti mitandao, Youtube, wikipedia e.t.c...uki google tu utaziona maana hii mikataba ilikua inafanyika mbele ya waandishi & inasainiwa mbele ya Raisi kila mtu akiona...

Ht mkopo wa awamu ya pili ulipokelewa na MH Philip Mpango mbele ya waandishi, uki google utaipata hii...bt alie finance hizi phase za awamu ya 6 ndo sijawafahamu bado.

So anapotokea mpuuzi mmoja ana spin taarifa kwa ajili ya kumchafua mtu hua sielewi. Watu wahukumiwe kwa makosa yao, ila sio kwa yasio wahusu.

Siwezi muhukumu Mama kwa issue ya demokrasia bt kwa ufisadi na maendeleo i will. the same to JPM siwezi muhukumu kwa Ufiadi na maendeleo bt kwa demokrasia i will.
Kila mtu ana eneo lake amefanya vzuri na kuna eneo kaboronga. Ukweli utabaki hivyo, na ukweli utakuweka huru why spining?
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Hata hauoni aibu!
 
Kwahio JPM alimtokea Samia Ndotoni akamshikia Bunduki aka-sign alichosaini ?!!!!

Hii mbona tunazunguka na kuacha hoja za msingi na kupoteza muda ? (Tuseme kweli JPM alikuwa Jambazi asiyefaa) Au hajafa na anaturubuni kwa urubuni wake na ni yeye aliyepo leo Ikulu
 
Chitola matumbo [emoji16][emoji16]
 
Kwahio Mkataba ni Mzuri au Mbaya ?

Je kama JPM ndio alihusika anaufanya kuwa mzuri au mbaya au ubaya au uzuri wa JPM unabadilisha vipi huu Mkataba ?

Sahihi iliyopo kwenye haya Makubaliano ni ya JPM, au ni Mizimu ya JPM ndio ilishinikiza wasaini ?

Mbona tunatoana kwenye reli kwa story za Alfu Lela Ulela
 
Huyo kwakuwa ameona imeandikwa 2020 basi akajua imefanyika 2020!🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

Yericko ni mtu wa kuokoteza vijarida hahahaha na kujiita jasusi …jasusi gani hajui hata Dubai expo ilifanyika lini?
Inasikitika sana kama hata kitu kidogo hivi hakujua!
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Kwan Lissu na Mbowe ndio nini katika watanzania milion 60?
Wametokea wapi hapa lisu na huyo mbowe katika mamilion ya watu wanaopinga issue ya Dp world!?
 
Wanaoturudisha nyuma Tanzania sio wamachinga au mama ntilie.
Ni watu wasomi kabisa wanaojua kusoma, kuandika na kufikiri.
Imagine MTU anaeaini mkataba usio na ukomo, usio weka wazi sisi tutafaidika namna gani katika mkataba huo.
Mpaka Sasa serikali imeshindwa kujibu swali la ukomo wa mkataba au ugawanaji Mali.
Ni serikali hii hii iliyo waruhusu makaburu kuja kuchimba tanzanite na kuondoka nayo bure.
Wakati Fulani unamuangalia waziri unatamani umpige makofi.
Kweli
 
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m( Redeculus price change ktk kipindi kifupi cha one yr uki compare mkataba wa Mwanza-Isaka na Tabora-Isaka Vs uki compare na mkataba wa Dar-Moro na Mwanza-Isaka in a spin of 5yrs)

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza km wewe unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
Huyu katoa hisia na mtazamo wake tu,ila analazimisha ionekane ndio ukweli wenyewe.

Ila umemjibu kisomi zaidi,safi sana.
 
Huyo kwakuwa ameona imeandikwa 2020 basi akajua imefanyika 2020!🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

Yericko ni mtu wa kuokoteza vijarida hahahaha na kujiita jasusi …jasusi gani hajui hata Dubai expo ilifanyika lini?
Ndio hivyo kashapata likes za wasomi wa pori. Tena hadi The boss!!!
 
Back
Top Bottom