Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Mkuu hizi taarifa ni Public information na zinapatikana kutoka vyanzo mbali mbali, ikiwemo magazeti mitandao, Youtube, wikipedia e.t.c...uki google tu utaziona maana hii mikataba ilikua inafanyika mbele ya waandishi & inasainiwa mbele ya Raisi kila mtu akiona...

Ht mkopo wa awamu ya pili ulipokelewa na MH Philip Mpango mbele ya waandishi, uki google utaipata hii...bt alie finance hizi phase za awamu ya 6 ndo sijawafahamu bado.

So anapotokea mpuuzi mmoja ana spin taarifa kwa ajili ya kumchafua mtu hua sielewi. Watu wahukumiwe kwa makosa yao, ila sio kwa yasio wahusu.

Siwezi muhukumu Mama kwa issue ya demokrasia bt kwa ufisadi na maendeleo i will. the same to JPM siwezi muhukumu kwa Ufiadi na maendeleo bt kwa demokrasia i will.
Kila mtu ana eneo lake amefanya vzuri na kuna eneo kaboronga. Ukweli utabaki hivyo, na ukweli utakuweka huru why spining?
Mkuu hata hapo kwenye demokrasia mpe credit.
Angalia nchi aliipokea vipi kutoka kwa Kikwete?
Migomo,maandamano,wanasiasa kususa na kutoka bungeni,mapigano polisi na raia wakichonganishwa na wanasiasa kwa mikutano ya kila siku.

ILIMLAZIMU afanye vile ili kutengeneza hishma kati ya serikali,wananchi na wanasiasa.

TO me the man was right kwenye demokrasia japo kama mwanadamu hakukosa kasoro
 
Unahimiza "global strategic economic intelligence", na wala huoni la maana na "national strategic economic intelligence"?
Hiyo 'global' itakupeleka wapi kama hata nyumbani kwako ni mbumbumbu?

Mnatumia maneno haya kuwalaza watu akili tu basi!
Unajua hata maana ya global strategic economic intelligence au unatujazia tu server?
 
Mkataba wa DP World sio wa kushusha makontena.
Ni wa kuitawala Tanganyika.
Waarabu wameamua kulipa kisasi Tanganyika baada ya kupinduliwa Zanzibar.
"Madaraka yetu yamehamishiwa Dubai" (Profesa Shvji)
 
Tutunze kumbukumbu watoto wetu watakuja kutucheka Kama tunavyo wacheka hawa ndugu zetu
FB_IMG_16885811892960092.jpg
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Yeriko kwa kweli ana akili sana ila si kwamba anawazidi akina Mbowe na Slaa. Alichokifanya Yeriko ni kueleza ukweli ambao ni silaha makini sana kwa opposition parties na timing yake kwa Mbowe na Slaa haikuwa hii. Kumbuka kuwa hii story ya Kitila kuonana na CEO wa DP World 2020 siyo mpya ila kwa walio wengi. Yawezekana kuna wengi walikuwa hawaijui (licha ya kwamba kwa kiasi fulani nadhani ilikuwepo kwenye mainstream media) na bado wengi hawaijui maana huku kwenye mitandao ya kijamii hawamo.

Wote wanaolisemea jambo hili kwa maana ya kuonesha mapungufu ya makubaliano/mkataba, kwa namna yoyote ile wako sahihi. Wote tuendelee kushirikiana kuhakikisha kuwa, hata kama ni kwa kulipa fidia ya namna fulani, ardhi yetu haiuzwi kamwe.

Tuwaombee ulinzi waliotishiwa hata kifo kwa ajili ya kuwa vocal kwenye hili. Tushikamane na kuuchangia harakati za kuhakikisha bandari zetu na maeneo yote yanayotanjwa kwenye makubaliano/mkataba na DP Word, yanabakia kuwa ya watanzania, sasa kwa kwa vizazi vyote, na kwa kadri dunia itakavyoendelea kuwapo.

Kudos kwa wapambanaji wote.
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Unamtuhumu sana Pengo bila ushahidi.
At least akina Lissu wanatia hoja kwa kutumia document iliyosainiwa na serikali.
Tupe maoni yako juu ya vipengele vya makubaliano na sio kufanya personal attacks kwa akina Mbowe.
 
Back
Top Bottom