Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Kumbe na Bunge Bwana Yule aliliandaa kwa mambo kama haya yapite bila kupingwa.
 
Katika kelele zooote za DP World zianze wewe ndiyo umekuja na hoja fikirishi. Wengine wote pamoja na usomi wao wa majigambo lakini wamekuwa wanabwabwaja na kupayuka. What you have written here seems to be the most credible reason why DP World acquires various ports, especially African ports. Tulisema huko nyuma kitendo cha JPM kudanganywa kuhusu ujenzi wa Mega Port ya Bagamoyo ni pigo kubwa kwa Tanzania. Na hii ndiyo sababu kubwa ya kijasusi kwa DP World kutaka wajulishwe fursa za kibandari Tanzania, tofauti na wengi wanavyodhani. Maana yake ni kuwa DP World atacheza game-tactics kuzuia credible investor kwenye bandari ya Bagamoyo ili pasijengwe Bandari shindani.

Nakubaliana na wewe pia, haingii akilini kutokuwa na mkono wa Marekani kwenye deals za DP World. Marekani ana kawaida ya kutengeneza hadi washindani ili kudhibiti maadui wake. Amefanya sana trick hizi Asia kule.
Well
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
5% ya kiasi gani na 9% ya kiasi gani?
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Wewe unamsifia mtu anayepindisha ukweli?
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Kuna uongo ambao huandikwa vizuri, lakini uongo kama huku haudumu Kwa sababu kuna hard reference. JPM kuwakaa wachina kujenga SGR ilikuwa purely costs /gharama. Wachina walitaka wajenge Kwa zaidi ya billioni 12 dollar, akaja Mturuki na Mreno Kwa bei ya chini billioni 7 initially. JPM akachagua Mturuki. Mchina alikuwa atoe financing, aliposhindwa tenda akaondoa financing yake, kumbuka Wang Yi alikuja kuongea na JPM na akakataa masharti ya Mchina.

Kuhusu Bandari ya Bagamoyo ni kweli JK na group walichukua down payment lakini ni uongo mkubwa ati JPM aliona wivu hakukatiwa. Same thing JPM hakuridhika na masharti ya investors.

mwongo Wewe
 
Wanaoturudisha nyuma Tanzania sio wamachinga au mama ntilie.
Ni watu wasomi kabisa wanaojua kusoma, kuandika na kufikiri.
Imagine MTU anaeaini mkataba usio na ukomo, usio weka wazi sisi tutafaidika namna gani katika mkataba huo.
Mpaka Sasa serikali imeshindwa kujibu swali la ukomo wa mkataba au ugawanaji Mali.
Ni serikali hii hii iliyo waruhusu makaburu kuja kuchimba tanzanite na kuondoka nayo bure.
Wakati Fulani unamuangalia waziri unatamani umpige makofi.
 
Inaelekea Samia hautaki mradi wa bandari ya Bagamoyo pia ila mwanzoni mwa utawala wake alijifanya kuutaka ili kumridhisha Jakaya. Sasa hivi ameshakizoea kiti ndo maana kaingia huu mkataba wa kugawa bandari zetu zote zilizopo na zijazo ili kuondoa uwezekano wa mwekezaji serious kujenga bandari ya bagamoyo.

Na hii inalenga kusaidia bandari ya Zanzibar inayokusudiwa kujengwa ili ichukue nafasi ya bandari ya bagamoyo.
 
Hii hoja binafis naona umechemka big time, yaani mtu aache 5% interest akimbilie 9% interest afu huyo aliepelekewa wa 9% ye akaenda kumfuata wa 5% kisha wakakubaliana ampe 5% yeye achukue 4%? Yaani kwamba JPM alikuwa level za akili kama hawa wanaompa DP World kila kitu for free?

Ye JPM hata hakujishughulisha kutafta watoaji wa chini ya iyo 9% ila wewe ndo unawajua waliyoyafanya daaah, kuna ujuaji mwingine huwa ni kama kujua kusoma kizani. Acha kudanganya raia, Jiwe alikuwa anasoma sio kusema document ikienda kwake ye anampasia Waziri wake ndo aipitie iyo big NO. Wote tunajua aliyoyafanya MwanChato acha kuwaadaa raia bhana kwa mtindo wa kichawa
Mzee huyo ni muongo acha naye
 
Some guys already saw this just earlier before. I was not even aware if us is in behind the game through dpw duh. And it's true if u connect dots there was a time r. ostam was seen sign the docs alongside przdent in us before this engagement. Who knows may be it's related.
 
Hahaha. Ni vitu vinavyohusiana. Unatumia understanding ya global intelligence kunufaisha au kuathiri national strategic economic intelligence.
Sisi hatutaki hiyo global yako sisi tunaenda na NATIONAL ECONOMIC INTELLIGENCE.
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Ni kama unatafuta uteuzi indirect .

 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Wewe unajijua kuwa ni Mpuuziiiiiii
 
Ma Brass yanashainiwa tu, Viaatu polishi kwa wingi ndevu hadi masikioni....wamekaa tu.
 
20141018_MAP004_0.jpg

Mpaka lini?
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.[emoji1787]


View attachment 2680303

Huyu jamaa anajionaga ana akili ya kupekua mambo ya ndani.

anakaa anatunga uongo wa kuja kuwahadaa wabongo.


ACHA KUDANGANYA WATU KIJANA
 
Back
Top Bottom