Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Turudi nyuma kidogo mgogoro wa DP World

Unajaribu kutetea nini?
Unaambiwa huwezi kuelewa. Hapa sio issue za mkataba wa milele au miaka 100, hapa ni beyond your thinking capacity. Kwamba, wenye jambo lao wanatucheka kwa hoja za kitoto za kukataa mkataba ila mtoa mada ni kama ameshirikisha ubongo wake vema kutoka kwenye hoja nyepesi na kuleta hoja fikirishi.
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.[emoji1787]


View attachment 2680303
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m( Redeculus price change ktk kipindi kifupi cha one yr uki compare mkataba wa Mwanza-Isaka na Tabora-Isaka Vs uki compare na mkataba wa Dar-Moro na Mwanza-Isaka in a spin of 5yrs)

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza km wewe unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Kwani Dubai Expo 2020 ilikuwa enzi za Urais wa Magufuli?
 
Hahaha. Ni vitu vinavyohusiana. Unatumia understanding ya global intelligence kunufaisha au kuathiri national strategic economic intelligence.
Sasa ninawaomba, wewe na huyo Yericko, wekeni mkazo kwenye hayo yanayotuhusu moja kwa moja; 'national interest' kwanza.
Hizi 'spinning' za kijumla jumla hizi hazitufikishi popote tukiendelea kuwa wajinga kiasi tulivyo sasa hivi.

I am bound to ask, whatever happened here in between, because we had moved a step further ahead during the liberation war in Southern Africa?
 
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m.

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
Mkuu 'Gobore' HESHIMA kwako.

Sijui usahihi wa tarakimu hizo ulizoziweka hapo, lakini bila kujali hilo, nimefurahishwa sana na namna ulivyo jibu hoja kwa mfano huu.

Anachotakiwa kufanya Yericko sasa hivi ni yeye kuleta tarakimu zake tune usahihi wa anayoyaandika humu.

Mtu hahitaji kuwa shabiki wa Magufuli kuona ukweli huu uliouweka hapa waziwazi kabisa.

Yericko, kama ni mtu mwenye busara, inatakiwa akujibu.

Hiki ulichokifanya hapa, ndicho kinachoipa heshima kubwa JF. Ninakupongeza sana.
 
Hii hoja binafis naona umechemka big time, yaani mtu aache 5% interest akimbilie 9% interest afu huyo aliepelekewa wa 9% ye akaenda kumfuata wa 5% kisha wakakubaliana ampe 5% yeye achukue 4%? Yaani kwamba JPM alikuwa level za akili kama hawa wanaompa DP World kila kitu for free? Ye JPM hata hakujishughulisha kutafta watoaji wa chini ya iyo 9% ila wewe ndo unawajua waliyoyafanya daaah, kuna ujuaji mwingine huwa ni kama kujua kusoma kizani. Acha kudanganya raia, Jiwe alikuwa anasoma sio kusema document ikienda kwake ye anampasia Waziri wake ndo aipitie iyo big NO. Wote tunajua aliyoyafanya MwanChato acha kuwaadaa raia bhana kwa mtindo wa kichawa
Kuna wajinga huwa kazi yao kubwa ni kutengeneza riwaya za jpm ili zifanane na za samia ili wezi wa serikali ya samia wafanane na wa jpm kupitia uongo
 
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m.

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
Huu uchambuzi wapambe wa samia huwa huwa hawataki kuusikia kwa ni fact na huwa wanaona aibu. Ukweli kabisa hizo lot za mwisho zina shida sana na ndio mana hadi CAG kwenye report yake imeonywsha waliaxha bei ya 660b wakmchukua mtu wa 1.2trillion
 
Mkuu 'Gobore' HESHIMA kwako.

Sijui usahihi wa tarakimu hizo ulizoziweka hapo, lakini bila kujali hilo, nimefurahishwa sana na namna ulivyo jibu hoja kwa mfano huu.

Anachotakiwa kufanya Yericko sasa hivi ni yeye kuleta tarakimu zake tune usahihi wa anayoyaandika humu.

Mtu hahitaji kuwa shabiki wa Magufuli kuona ukweli huu uliouweka hapa waziwazi kabisa.

Yericko, kama ni mtu mwenye busara, inatakiwa akujibu.

Hiki ulichokifanya hapa, ndicho kinachoipa heshima kubwa JF. Ninakupongeza sana.
Kile kimbilikimo tangu lini kikawa na akili ni bahati mbaya SANa eti naye ni mchambuzi et
 
Huu uchambuzi wapambe wa samia huwa huwa hawataki kuusikia kwa ni fact na huwa wanaona aibu. Ukweli kabisa hizo lot za mwisho zina shida sana na ndio mana hadi CAG kwenye report yake imeonywsha waliaxha bei ya 660b wakmchukua mtu wa 1.2trillion
Wafuasi wa Mtakitifu Pombe hawataki kusikia uchafu wa Mungu wao!
 
Masilahi ya Tanzania kwenye mkataba wa DP world yako wapi?

Mbona hili swali linazuungukwa sana na nyie wajinga?
Hapo tu! Hatukatai uwekezaji, twauliza Maslahi, usalama, ukomo....
Wasitumie nguvu nyingi za ushawishi. Wanapoteza 10% zao tu!
 
Hujamaliza tu chuki zako...acha ku spin taarifa.
JPM hakuwahi kukopa kwa Mturuki...Awamu ya kwanza zilikua pesa za ndani, awamu ya pili ni mkopo wa standard charted mturuki anatoka wapi?
Now tuje kwenye mahesabu.

Contract za awamu ya 5.
1. Phase I Dar - Moro 300km cost 1.2$B
2. Phase II Moro - Makutopora 442km cost 1.9$B
3. Phase V Isaka - Mwanza km 249 cost 1.3$B
Total km 991 total cost 4.4$B

Contract za awamu ya 6.
4. Phase IV Makutupora - Tabora 294km cost 1.9$B
5. Phase VI isaka - Tabora 130km cost 0.9$B
Total km 424, Total Cost 2.8$B

Ukifanya tathimini ya Haraka utagundua yafuatayo.
1. Bei ilipanda awamu ya sita...kipande cha Tabora-Isaka na Moro - Makutupora vina tofauti ya km 18 ila price diff ni $900m.

2. Pamoja na bei kuongezeka awamu ya 6 ila bado total price ni 7.2$B, 400B less compared to bei aliokua ame offer mchina ya 7.6$B
Link: Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway

After hayo maelezo nlitaka kujua hizo 9% umezitoa wapi? Au ndo unahisi humu ndani wote vilaza unatuletea story za vijiwe vya kahawa?
Nimekudharau sana aisee.
Kuna kitu cha kujifunza sana hapa. Sisi kizazi kipya cha vijana wa kitanzania. Makosa kama aya ya kaka zetu. Uzalendo ni kitu muhimu sana
 
Unganisha Dots, utagundua Uteuzi wa Kitila Mkumbo una maana gani, taifa lilianza kutengenezwa na kuwambwa tangu tulipotangaza mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Zingati tarehe ya mkutano huu, mipango ilipikwa miaka mingi nyuma...

Kwamsiojua hawa ndio walimtengeneza Magufuli akakataa mradi wa UBIA wa Tanzania, Wachina na Omani wa kujenga Bandari ya Bagamoyo ambayo ingekuwa ndio bandari kubwa kuliko zote Afrika na ingekuwa ndio bandari yenye ushinda na Bandari ya Dubai huko Falme za Kiarabu ambayo mwekezaji mkuu ni Marekani... Kisha masharti yaleyale waliyoyakataa kwenye mradi wa Bagamoyo, ndio yakaletwa kwenye bandari ya Dar. Enzi za Magufuli, Kitila ndiye alitumwa kubadili dili la JK toka Bagamoyo kuja Babdari Dar, kumbuka JPM ndiye aliyefuta makubaliano ya Exim Bank China na JK kwenye SGR na kuyachepusha kuyapeleka Uturuki kwa gharama ya ziada toka 5% loan interest rate hadi 9%.

Alifuta mpango wa JK akijua tayari alikuwa na cut yake hivyo yeye asingeambulia na ndiyo maana SGR imekuwa ghali sana tofauti na initial plan. Masharti ya Exim Bank China ilikuwa watoe mkopo wa 5% interest lakini contractor atoke kwao sisi tutafute consulting engineer, JPM baada ya kuingia akaona upepo unampita, akafuta hayo makubaliano kama alivyofuta ya Bagamoyo na Wachina nao wakafuta mkopo. Funny enough waturuki wa JPM walipochukua tender wakatafuta financier, kwa hiyo wanapata faida kwenye contract na ile extra 4% interest on loan.

Katikati ya vita vya wanaccm kundi la tule na kundi la tukose wote, ndipo Ujasusi wa kiuchumi wa Marekani unajitwalia utukufu. Someni na mjue ulimwengu wa Ujasusi wa kiuchumi, Vita vya kiuchumi vya China vs USA vimepiganwa Tanzania... Na hapa USA kashinda... Bandari ya Dubai sasa haina mmshindani tena toka Afrika.🤣


View attachment 2680303
Mwanzo mwa mzozo huu kuna mahali kwenye Kundi La Whatsapp niliwambia kuwa Marekani amefanikiwa huu mchezo. Nilijua Dubai wametumwa kukwapua kilichomshinda Mchina.

Hii yote ilitokana na Elimu Murua ya Ujasusi w kiuchumi niliojifunza kupitia Kitabu Chako.
 
Imenishangaza kuona Yericko tuliekuwa tunambeza humu kajitokeza angalau kuona kitu beyond kanzu na waarabu...

Wakati kina Mbowe na Slaa na Lissu wanamsikiliza Pengo na kuona waarabu "wanakuja kujenga misikiti na kueneza dini au kurudisha utumwa"... Yericko kaenda ndani zaidi kaja angalau na theory tofauti kabisa...inayofikirisha....

In the end Yericko kajitokeza kama mtu mwenye akili kuliko Mbowe na Slaa na Lissu....

A lot has changed in Tanzania's politics....a lot ....
Hii Theory ya Yericko is perfect by 80% confidence.
 
Back
Top Bottom