Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naungana nawe aisee, huyu mzee shabaha zake ni za mbali mno!
Moja kati ya watu wa kukaa nae kwa tahadhari sana ni huyu mzee, anacheka na tabasamu sana lakini itoshe kusema anapaswa kuogopewa.
Sio kuogopewa tu waulize CCM wenyewe nan amebaki kwenye chama aliyeandaa katiba ya ccm ya sasa baada ya vyama viwili ASP na TANU kuungana kuizaa CCM. Kama sio Kikwete au wanasahau akisema chama cha mapinduzi anamanisha. Sio kama akina professa mkumbo kitira. Kikwete ni CCM na CCM ni Kikwete kwahyo hawezi kubali kabisa Chama kimfie mikononi wakati Taifa linaitaji busara ziwe mikononi mwake.
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Ajabu kweli ww umejuaje kama mimi sitamchagua Samia nabeba familia yangu tunaenda kumchagua Samia halafu sikia ww usifikiri watanzania wote hawampendi Samia wapo wengi tu mi nilivyoanza kusoma huu uzi wako nikajua umeandika kitu cha maana kumbe
wote mnaomkandia JK hamjielewi, huyo mwamba alipaswa kuongoza Tz mpaka umauti wake
Kabisa
 
Kipindi nyerere anawakataa wasishike wadhifa wa uraisi watu walikuwa hawajamuelewa ila sasaivi wataelewa nyerere alikuwa anamaanisha nini
Nyuma ya Kikwete yupo mchwa hatari anaitwa Rostam Aziz.. huyu yupo nyuma ya hujuma zote za vifo vya viongozi wengi akiwemo Magufuli na Membe .. mipango mingi ya ufisadi ndani ya nchi mingi ina mkono wake..ila kila kitu kina mwisho...
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Ninachompendea huyu rais ndiye kiboko ya m23
 
Huyo mzee ana tamaa balaa kajimilikisha vitalu kibao vya madini, familia yake hairidhiki tu juzi mkewe kapendekeza wake wa marais wastaafu walipwe 60% ya mshahara wa rais huku yeye akiwa mbunge. Wengine wanamwamini Mungu yupi mbona hata hofu hawana?
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Hebu unoe vyema ubongo wako kabla ya kukurupuka na maneno mbele za watu.....

Lawama za kitoto si kwa mtu wa umri wako....

Get life mzee....inhale and exhale vigorously.....
 
Ebu tutoleeni upumbavu hapa, ni rais gani aliye dhibiti mafisadi ndani ya nchii?
Huyo mungu wenu jiwe si ndo alimfukuza CAG baada ya kufichua wizi wa tirion 1.5 serikalini ,na unaweza kunitajia fisadi yeyote aliye fungwa jera na kufirisiwa kipindi cha jiwe?

Kipindi cha jiwe alipo kuwa anakoroga mambo kikwete alipo kuwa anajaribu kukosoa nyinyi machawa wa jiwe si mlikuwa mnamshambulia mitandaoni na kumuambia akae kimia maana muda wake umeisha sasa mnataka aongee nini tena?
Jiwe kaingiaje hapa? Acha kubwabwaja ndugu kwa kumtetea kiongozi aletaye shida kwa taifa....

Kamata hii..
"rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadi."
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Mmmmh, ama kweli !
 
Back
Top Bottom