Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kikwete ni mstaafu, hivyo ni mshauri zaidi na ushauri waweza kukubaliwa au kukataliwa.
Kwa kuwa ni mwanadiplomasia, ushauri wake ukikataliwa anakubaliana kutokubaliana kwa ushirikiano mkubwa.
Hata hivyo, Rais hushauriwa na wengi na halazimiki kufuata ushauri wowote.
Kwa hiyo tusimlaumu mstaafu wala aliyepo, bali tujilaumu wenyewe wananchi.
🙋‍♂️💭✍️ 🎯👍👌👏👊🤝🙏 💐🎁🗼🎖️🛡️
 
Kikwete ni mstaafu, hivyo ni mshauri zaidi na ushauri waweza kukubaliwa au kukataliwa.
Kwa kuwa ni mwanadiplomasia, ushauri wake ukikataliwa anakubaliana kutokubaliana kwa ushirikiano mkubwa.
Hata hivyo, Rais hushauriwa na wengi na halazimiki kufuata ushauri wowote.
Kwa hiyo tusimlaumu mstaafu wala aliyepo, bali tujilaumu wenyewe wananchi.
Mkuu umetoa jibu kuntu!! ✍️👍🙏
 
Naungana nawe aisee, huyu mzee shabaha zake ni za mbali mno!
Moja kati ya watu wa kukaa nae kwa tahadhari sana ni huyu mzee, anacheka na tabasamu sana lakini itoshe kusema anapaswa kuogopewa.
Mkuu na kuheshimiana 🙋‍♂️
 
Ebu tutoleeni upumbavu hapa, ni rais gani aliye dhibiti mafisadi ndani ya nchii?
Huyo mungu wenu jiwe si ndo alimfukuza CAG baada ya kufichua wizi wa tirion 1.5 serikalini ,na unaweza kunitajia fisadi yeyote aliye fungwa jera na kufirisiwa kipindi cha jiwe?

Kipindi cha jiwe alipo kuwa anakoroga mambo kikwete alipo kuwa anajaribu kukosoa nyinyi machawa wa jiwe si mlikuwa mnamshambulia mitandaoni na kumuambia akae kimia maana muda wake umeisha sasa mnataka aongee nini tena?
Mkuu unanikosha kwa kujibu hoja kwa ushahidi, maua yako yapokee 💐💐💐ungali hai!!!
 
Kikwete ndiye mwanzilishi wa mitandao yote ya kihuni ndani ya nchi hii... kuanzia uchawa hadi wizi wa rasilimali za nchi hii ..alitumia mtandao aliuanzisha kumchafua Sumaye kuwa ni fisadi, hakuishia hapo, akaanza kumchafua Salim kuwa alihusika na mauaji ya Karume .. Rostam aliwanunua Waandishi wengi wa Magazeti ili kumuumbia sifa Kikwete , akamtumia Prince Bagenda kuandika kitabu cha "Tumaini Lililopotea"
 
Wengine tumesema kabla ya mada ya JAL22.

Huyo babu hana shida ya hela ni tajiri mno.

Shida ya JK ni power addiction, hayuko tayari kuishi nje ya political influence.

Shida yake ya msingi ni ‘life event’ (psychology), anachojua yeye ni kuishi kwenye maisha ya power.

Hata Dodoma (achana na kilichotokea) either unakubaliana nacho au la. Lakini JK hana mamlaka ya kupitisha maazimio ya chama,

Kibongo bongo ni ngumu kuelewa ila JK ni mental case, sio lazima uwe muokota makopo. Lakini anaitaji kupewa psychology intervention ya kuzoea kuona wengine wanafanya maamuzi.

Jamaa ana psychological problems, watoto wake awahitaji msaada ni proffesional na wako vizuri. Labda Ridhwani na hata yeye keshaiva kama mwanasiasa anaweza jitegemea.

Better still Ridhiwani ana vitega uchumi vya property kwa hela yake ya ubunge aliyowekeza bila ya msaada wa baba yake ata hakikosa ubunge ni billionaire.

Unajiuliza huyu mzee anataka nini tena, kulinda ufisadi; watoto wake wote labda yule wa mwisho. Hawana shida na hela yake. Wenyewe wana income za kutosha.

Yaani JK kalea watoto wake, pamoja na utajiri wake. Watoto wake wote ni independent hawaitaji hela yake, labda yule wa mwisho.
Haya ndio maeazo ya misukule ya Lissu, Kama Taifa tuna shida sana.
80% ya watumishi wa leo tena watoto wa maskini wameajiriwa kipindi cha Kikwete, watoto wengi maskini wamepata fursa ya kusoma kipindi cha kikwete.
Kikwete ni stateman, haiwezi kujifungia ndani, hata Mwl. Nyerere hakujifungia ndani na watu walikuwa wanasema hivi hivi kipindi cha Mwinyi kuwa inchi inaendeshwa na Mwl.
Ni mtu msukule pekee ambaye anaweza kujaribu ku undermine nafasi ya Rais.
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Kwa Kweli hatuna budi kumlaumu Samia kwa Ufisadi anaouongoza serikalini!! Hata hivyo huyo mama hamna kitu kwani “ Rais” mwenyewe wa nchi ni Kikwete! Yule mama ni mtupu hana kitu maamuzi yote ya serikali yanatoka kwa huyo mzee wa Msoga!!
 
Huyo mzee ana tamaa balaa kajimilikisha vitalu kibao vya madini, familia yake hairidhiki tu juzi mkewe kapendekeza wake wa marais wastaafu walipwe 60% ya mshahara wa rais huku yeye akiwa mbunge. Wengine wanamwamini Mungu yupi mbona hata hofu hawana?
Mkuu JK na familia yake ni watanzania na wanahaki kama wengine kumiliki mali.

Kuhusu vitalu Mkuu, weka hapa ushahidi wa sheria iliyo vunjwa kumiliki vitalu hivyo.

Mkuu kwenye mapendekezo ya mishahara ya wenzi wa viongozi, umekiri mwenyewe kuwa walitoa maoni na mapendekezo, bunge likapitisha.

Kuna mahali popote bungeni ambapo Mh. Salma aliwashikia fimbo kuwalazimisha wabunge wenzie wapitishe hiyo sheria???
 
Wengine tumesema kabla ya mada ya JAL22.

Huyo babu hana shida ya hela ni tajiri mno.

Shida ya JK ni power addiction, hayuko tayari kuishi nje ya political influence.

Shida yake ya msingi ni ‘life event’ (psychology), anachojua yeye ni kuishi kwenye maisha ya power.

Hata Dodoma (achana na kilichotokea) either unakubaliana nacho au la. Lakini JK hana mamlaka ya kupitisha maazimio ya chama,

Kibongo bongo ni ngumu kuelewa ila JK ni mental case, sio lazima uwe muokota makopo. Lakini anaitaji kupewa psychology intervention ya kuzoea kuona wengine wanafanya maamuzi.

Jamaa ana psychological problems, watoto wake awahitaji msaada ni proffesional na wako vizuri. Labda Ridhwani na hata yeye keshaiva kama mwanasiasa anaweza jitegemea.

Better still Ridhiwani ana vitega uchumi vya property kwa hela yake ya ubunge aliyowekeza bila ya msaada wa baba yake ata hakikosa ubunge ni billionaire.

Unajiuliza huyu mzee anataka nini tena, kulinda ufisadi; watoto wake wote labda yule wa mwisho. Hawana shida na hela yake. Wenyewe wana income za kutosha.

Yaani JK kalea watoto wake, pamoja na utajiri wake. Watoto wake wote ni independent hawaitaji hela yake, labda yule wa mwisho.

JK anawalemaza hawa watoto wa rafiki zake hakina Nape, sijui January. Lakini wakwake mwenyewe amewalea wajitegemee wote yeye anatoa support tu kufikia malengo.
Ebu tutajie ni mafisadi wapi wanao lindwa na kikwete na anawalinda yeye kama nani na kwa mamlaka yapi?
Na ni rais gani ukimuondoa Nyerere ambaye hakuwahi kuwalinda mafisadi ndani ya nchi hii?
 
Jiwe kaingiaje hapa? Acha kubwabwaja ndugu kwa kumtetea kiongozi aletaye shida kwa taifa....

Kamata hii..
"rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadi."
Mkuu usisahau pia Kuwa Rais fisadi hudhibiti mafisadi ili abaki yeye mwenyewe kwenye kufisidi nchi!!! Zingatia 1.5T ya 2017.
 
Haya ndio maeazo ya misukule ya Lissu, Kama Taifa tuna shida sana.
80% ya watumishi wa leo tena watoto wa maskini wameajiriwa kipindi cha Kikwete, watoto wengi maskini wamepata fursa ya kusoma kipindi cha kikwete.
Kikwete ni stateman, haiwezi kujifungia ndani, hata Mwl. Nyerere hakujifungia ndani na watu walikuwa wanasema hivi hivi kipindi cha Mwinyi kuwa inchi inaendeshwa na Mwl.
Ni mtu msukule pekee ambaye anaweza kujaribu ku undermine nafasi ya Rais.
Unatakiwa ukae nje ya siasa kwenye uongozi mpya.

Unamsikia Mbowe kwa sasa.

Sio kwamba hana mdomo.

Ni kuachia wanachama wazoee new sheriff in town. Wafanye mambo kwa mikakati yao.

JK hawezi jizuia, sehemu kubwa ya maamuzi ya Samia influence ni upuuzi uliokuwa awamu yake, it’s obvious influence yake.
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!

Ccm ndo wanamuendekeza, mtu anapitaje kugombea u Rais bila form?
 
Mkuu nakuunga mkono ili punguza matusi ya nguo.

Najua inakera ila punguza hisia na hasira, simamia hoja yako.

Usichafue hoja yako Mkuu.
Haya machawa ya jiwe yamesha tuchosha na kumsakama mzee wa watu mara fisadi mara ana tamaa mara muuza madawa ya kulevya wapuuzi kabisa.
 
Back
Top Bottom