Wakati nasoma physics unapofanya comparison ya tabia fulani za baadhi ya vitu, lazima useme kama 'standard temperature and Pressure (STP)" remains constant. Sasa hapa umefikiria kama kutakuwa na "level playing field" ?
Kwa kweli sisi hapa Mbeya tunatamani uchaguzi hata uwe Julai tumechoka na Sangu sec product. Ni shidaaaa. Cha Arusha mnoo
chini ya tawala za kiimla, mshindi hapatikani kwa kuwa amepata kura nyingi. anapatikana kupitia mtangaza matokeo. ndipo atakapoponea Tulia.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dr. Magufuli.
Dr Tulia ni msomi, energetic,determined,focused na mwenye uwezo wa kuleta matokeo chanya katika Jiji la Mbeya. Hili halina ubishi. Wanambeya hawatakuwa tayari kufanya makosa...
Nyie ndio nyumbu eti tume sio huru halafu una shiriki imekuwa ile hadithi "sizitaki mbichi hizi"Tunakujua kuwa wewe ndiye kiongozi wa manyumbu
Peleka bangi mbichi kwenu, kwani siutafungua account kwa ID mpya, pia who cares kutokula kwa msukule kama wewe, sana sana tutafurahi tuu kupunguziwa viumbe wenye akili za ovyo kama wewe..Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli.
Dr Tulia ni msomi, energetic,determined,focused na mwenye uwezo wa kuleta matokeo chanya katika Jiji la Mbeya. Hili halina ubishi. Wanambeya hawatakuwa tayari kufanya makosa..
Weka tigo yako sokoni mkuu
Hawez shindwa kwa sabab wenye mamlaka ndo wanaamua na sio wananchiHili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Mbona hilo ni too obvious...... Wote tunajua kuwa hakuna Wabunge wa upinzani watakaoshinda zaidi ya Nafasi chche watakazopewa kwa maelekezo toka juu.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Wewe huzungumzii demokrasia ya Vyamavingi, unazungumzia mabavu na nguvu zitazotumika kulazimisha ushindi.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Mkuu njoo na jina lako halisiHili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Labda kwa unfair play, na magoli ya mkono. Hapo uko sahihi kuguarantee Mkuu. On the contrary you are very far from the truth. Huyo Tulia hakubaliki kiasi unachofikiri wewe. Hajulikani hapa mjini.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli....
Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Sugu alishindaje kama uchaguzi haukua huru na haki? Chadema mna shida nyieUnavyoongea utadhini tuna uchaguzi ulio huru na wa haki!!