Hongera kimsboy mmefanikiwaKwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.
Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.
Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.
Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.
Twaha Mwaipaya ni mkiristoNdio nmekutajia Sasa BAVICHA in general Ili uone team nzima ilvyojaa waislam mpaka Katibu mwenezi ni Twaha Mwaipaya Muislam pure kabisa.
Huko BAWACHA ndio usiseme Kulikua na Mdee lakini makamu alikuwepo Hawa Mwaifunga, Kunti Majala, Sharifa Suleiman na Katibu mwenezi alikua Muislam pia hapo mkristo ni Mdee na Kishoa tu. Sasa hapo udini uko wapi?
Katika hao uliowanukuu, hakuna aliyekemewa sababu ya dini yake, bali sababu ya matendo yake. Tofauti na waaanzisha mada hizi za leo, hawa hawaangalii utendaji wa mtu bali wanataka watu wawe disqualified sababu ya dini zao. Kwamba kwa kwa kuwa waislamu wamepatapata vinafasi, wanatamani wawe wachache zaidi au eti tubalance, wakati huko zamani wakati Magufuli anawajaza Wakiristo wenzao serikalini walikaa kimya hawakumkemea Magufuli kwa teuzi zilizokuwa zomejaa taswira ya udini.Uongo mtupu. Hamna wakati wamisheni wameacha kumkemea mtu kwa sababu ni mmisheni mwenzao. Hata pale wachungaji wao walipodai kuwa ni chaguo la Mungu waliwakemea. Teuzi na uongozi wa wakina Polepole, Sirro, Makonda, Sabaya n.k. zilikemewa kama ambavyo wakina Bashiru, Hapi n.k walivyopigiwa kelele. Hii ni tofauti na wengi wa wenzetu ambao kwenu dhana ya Umma ni ya muhimu kuliko utaifa.
Haya mambo ya false equivalence hayatawafikisha mbali. Mimi ningedhani kuwa mngewafunda hao waliopata uteuzi ili wasiwaangushe maana bila shaka kuna wapuuzi ambao watahukumu jamii yote ya waislamu kwa mapungufu yao.
Amandla....
Katika hao uliowanukuu, hakuna aliyekemewa sababu ya dini yake, bali sababu ya matendo yake. Tofauti na waaanzisha mada hizi za leo, hawa hawaangalii utendaji wa mtu bali wanataka watu wawe disqualified sababu ya dini zao. Kwamba kwa kwa kuwa waislamu wamepatapata vinafasi, wanatamani wawe wachache zaidi au eti tubalance, wakati huko zamani wakati Magufuli anawajaza Wakiristo wenzao serikalini walikaa kimya hawakumkemea Magufuli kwa teuzi zilizokuwa zomejaa taswira ya udini.
By the way, hawa watu wa sasa wamepigiwa kura na wana CCM wenyewe, hawajateuliwa na mtu!
Duh! Sikujua hili!Orodha ya hapa chini ni mifano halisia
Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan
Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana
Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi
Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya
Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk
Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed
Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary
Orodha nyingine inakuja
Wapiga kura ni watu wa dini zote, Sasa kama unataka kusema kuwa wanachama wa CCM waislamu ni wengi kuliko wakiristo na hivyo labda walikuwa wanapigia kura waislamu hayo ni maoni yako tu, na si kweli. Kumbuka kwamba wanachama haohao ndo waliichagua timu iliyofanya kazi na Magufuli na timu hiyo ilikuwa na Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu, Sasa sijui unataka kusemaje hapo!Hakuna mtu anayesema mtu awe disqualified kwa sababu ya dini yake. Huu nao ni upotoshaji. Kinachoongelewa ni kuchaguliwa kwa sababu ya dini yake. Hata hivyo sera ya niwa dini yetu ilikuwepo ipo na itakuwepo ni mjinga tu asiye likubali hilo.
Mapungufu mengine ni kutolea mfano wa CDM. CDM tangu dunia ianze haijawahi kutawala na kuunda serikali. Hatari iliyopo na ambayo kuna wanao taka eti ipuuzwe ni pale wanachama wa CCM WaKristo watakapo ngamua kumbe sisi ni wasindikizaji katika kukiongoza chama chenye serikali wakaamu kutowapa ushirikiano viongozi wa juu wa CCM. Unafikiri hii itakua afya kwa CCM na nchi?
Kamruka Katibu mkuu wa CCM kimkakatiDuh! Sikujua hili!
Yaani kweli ina maana huko CCM, wakristo wote wameonekana hawana sifa za uongozi? Mbegu mbaya sana inapandwa.
Japo ni uongozi wa chama na siyo nchi, lakini jambo hili linatakiwa kuctihukiwa na kukemewa, kwa sababu mwishoni litaingia maeneo yote.
Mkapa usimweke kapu moja na Magufuli.Ngoja nikuongezee, Mwenyekiti wa Ccm Dar ni Abbas Mtemvu Mwislamu pia.
Ni hivi Wakristo tuna roho mbaya sana, natamani waislamu waongezeke kwenye uongozi kwa sababu ushahidi uko wazi waislamu hawapendi dhiki na dhulma.
Utawala wa Wakristo ni chuki tupu, roho mbaya na kuuwa watu, waislamu wameprove utu kwenye utawala wao ukianzia Mwinyi, Kikwete na Samia.
Mkapa na Magufuli ni mfano wa shetani.
Kwani hatujui vitisho mnavyopeana huko CCM wakati wa Uchaguzi? Kimsingi hakuna Demokrasia ni maagizo tu toka juu. Wadanganye Chawa wenzako.Kama uligombea ukapigwa za uso usilete ujinga wa kutafuta excuses za kipumbavu.
Waliopiga Kura walikuwa Waislam pekee? Mimi Mkoa niliko 3/4 ya wapiga kura Ni Wakristo na wamechagua Viongozi wa dini ya Kiislamu maana ndio waligombea na kushinda Sasa sijui unatakaje.
Wapiga kura ni watu wa dini zote, Sasa kama unataka kusema kuwa wanachama wa CCM waislamu ni wengi zaidi ndani ya CCM kuliko wakiristo basi kumbuka wanavhama haohao ndo walichagua timu iliyofaanya kazi na Magufuli na timu hiyo ilikuwa na Wakiristo wengi kuliko waislamu
Sasa hayo maelekezo yameanza awamu hii?, mbona hayo hukuyasema wakati wa Magufuli na teuzi zake za kidini?Kumbuka wapiga kura si watoa maelekezo nini kifanyike. Kura sehemu nyingi zimetumika kama kiini macho tu cha kutimiza matakwa ya watoa maelekezo.
Sasa hayo maelekezo yameanza awamu hii?, mbona hayo hukuyasema wakati wa Magufuli na teuzi zake za kidini?
Kitu muhimu siyo watakavyotenda bali ni namna walivyopatikana.Nimependa sana ulivyoandika mkuu.Hii ndiyo maana halisi ya kua great thinker.Hata viongozi wote wakiwa Wakristu,mradi wanatenda haki na kuwatetea Watanzania hakuna tatizo.Naandika kila siku huu udini tunaouendekeza karibuni tuta
Usichokijuwa ni kwamba Magufuli ni zao la Mkapa, na Mkapa ndio alisimama Kidete kwenye vikao vya Ccm kuhakikisha Magufuli ndio anateuliwa kuwa mgombea wa Ccm.Mkapa usimweke kapu moja na Magufuli.
Hii orodha inatosha.Orodha ya hapa chini ni mifano halisia
Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan
Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana
Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi
Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya
Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk
Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed
Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary
Orodha nyingine inakuja
Kuwa na adabu mshamba wewe ...Toa hoja usikashifu mtu kwa tamaduni zake Wal jamii.Sifa ya Kwanza ya uongozi wa Bibi Tozo ni MITALA, na USHUNGI.