Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

.
ElbB47uXIAEu2SX.jpg


Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
It's never gonna happen, tumbo tumbo tumbo, kila mtu anaganga njaa, wengi wanautaka ubunge ili iwe rahisi, kupata access na kuongea na mawaziri katika ku facilitate mambo yao binafsi, mikopo mikubwa, posho, kiinua mgongo lumpsum 250M na huwa hakuna kutumbuliwa mpaka miaka mi5.

Seriously, none of them genuinely care about the welfare of the rest of the 55mil Tanzanians.

Everyday is Saturday............................... 😎
You said it all. Wengi wao
 
Tayari kuna watu washaanza vilio vya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kujiuzulu!

Watanzania tuna matatizo sana!
Miaka nenda rudi tumetoa hili somo kwa Wapinzani, halijaeleweka
Huwezi kuwa na Polisi, TCRA, NEC, Msajili wa vyama ukategemea kupewa haki sawa na CCM

Fikiria hivi, 'OCD aliyetangaza' matokeo wiki mbili zilizopita leo ndiye anasimamia uchaguzi, unategemea nini?

Mkurugenzi wa NEC ambaye ni mteuliwa wa Mwenyekiti wa CCM , anatangazia wapinzani wazungumzie sera za madaraja, barabara na vituo vya afya. Kwamba, yeye si refarii tena bali kada. Unategemea nini?

Matokeo yanapelekwa kwingine si kutolewa vituoni, unategemea nini.
Tena yanasindikizwa na Polisi kama yule OCD ambaye wiki mbili zikizopita alishatoa matokeo. Unategemea nini.

Unapokuwa chama kikuu cha upinzani tayari una platform.
Wapinzani wangetumia hiyo kudai katiba mpya, tume huru kwanza. Haya ndiyo mambo ambayo yangeweka mizani sawa kwa kuanzia.Tena kuna evidence kwamba umma upo upande wao kuliko ule

Nilishangaa TV moja duniani imetengaza ''opposition' ya Tanzania kulalamika kuonewa. Mbali sana
Dunia inaona lakini si kwa hoja ya mchimba magimbi au Queen au Hashim bali real opposition

NN kasema si kususia tu bali kususia kwa malengo!
 
Nadhani upinzani wangetengeneza ushirikiano na vyama vya upinzani vya nje kupata ujuzi sahihi ila twende mbele turudi nyuma mwalimu alichemka suala moja tu hii katiba aliyotuachia!

Mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema binadamu mwili wake umeumbwa kustarehe tu by nature kwa kifupi hakuna ambaye hapendi shida! Tuje kwenye maana ya hili jambo hivi mtu atapataje hofu ilhali katiba inamuambia akiondoka madarakani ana kinga ya "kutoshtakiwa" pili uchaguzi wa urais matokeo yakitangazwa na tume anayoiteua yeye "hayapingimwi/kuhojiwa" popote!


Je kama mtu umempa uhuru wa hivyo bado 90% yeye ndio anawateua serikalini nani wa kubisha akitoa order?

Suluhu :tusizunguke kote katiba mpya ya wananchi ndio suluhu!
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao wanaamini kwamba kama taifa, tulipaswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi na katiba mpya pamoja na tume huru ya uchaguzi.

Sitazungumzia mambo ya kiufundi na ya kimuundo kuhusu hivyo vitu viwili. Lakini kimsingi, hivyo vitu ndo vilipaswa kufanyika kwanza kabla hatujarejea katika mfumo huo wa kiushindani.

Miaka yote hii tokea 1995, zoezi zima la kupiga kura katika uchaguzi mkuu limekuwa ni zoezi la kutimiza wajibu tu, ili nasi tuonekane tuna demokrasia ya kuchagua viongozi wetu ilhali uwanja wa ushindani haupo sawa baina ya washiriki wa mpambano.

Walio wahalisia wa mambo kama mimi, tayari ‘tunajua’ ni mgombea yupi kwenye ngazi ya urais atayetangazwa mshindi.

Mgombea huyo atayetangazwa kuwa ndo mshindi, ndo mtu huyo huyo aliyewateua kwenye hizo nafasi zao kwenye tume ya uchaguzi hao wataomtangaza yeye kuwa ndo mshindi.

Sasa nikiona jinsi ambavyo wanachama wa vyama vilivyo nje dola walivyo na hamu na hamasa ya uchaguzi mkuu, nashindwa kuelewa.

Nashindwa kuelewa kama ni wamejitoa tu fahamu kwa muda na kwamba kabla ya uchaguzi akili zitawarudia au wamejitoa kabisa fahamu na kusahau kabisa jinsi vile uwanja wa mapambano haupo sawa!

Kwa sababu, nikionacho hapa ni kwamba, baada ya tarehe 28 Oktoba, tutarudi kule kule tulikokuwa 2005, 2010, na 2015.

Baada ya ‘kushindwa’ watu ndo watagutuka tena kuwa kumbe tunahitaji katiba mpya. Kumbe tunahitaji tume huru ya uchaguzi. Kumbe tunahitaji uwanja ulio sawa kwa washiriki wote.

Siyo mmoja wa washiriki ndo anakuwa mchezaji yeye, refa yeye, kamisaa yeye, mwajiri yeye, na kila kitu kingine kihusianacho na uchaguzi anaoshiriki, yeye.

Sasa sijui kama kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua una vikwazo vingi ni jambo la busara au la. Ingekuwa uamuzi ni wangu mimi binafsi, nisingeshiriki mchakato ambao ni wa maigizo.

Wengine wanaweza kuwa na mtazamo ulio tofauti. Hakuna ubaya kwenye hilo.

Ila kwa kadri mtu unapozidi kushiriki mchakato wa jambo ambalo unajua kabisa halitoi fursa sawa kwa wote, unapokosa kupata fursa uitakayo, unakuwa umejipunguzia mamlaka ya kimaadili ya kupinga na kulalamikia matokeo.

Manake kama ulikuwa unajua kabla ya zoezi kuanza kuwa hakuna fursa sawa, kwa nini sasa ulishiriki? Si ungeligomea zoezi zima tu!

Kwa sasa endeleeni kufurahia maneno matamu ya Lissu. Sasa hivi anawapa nyie wapenzi na mashabiki wake kile kiitwacho ‘red meat’, yaani yale maneno mnayotaka kusikia na yanayoziamsha hisia zenu.

Naona na Bw. Membe naye anajitutumua kuwarushia mashabiki wake hizo nyama nyekundu lakini hamfikii Lissu.

Baada ya uchaguzi kuisha na Rais Magufuli kutangazwa mshindi, akili, kama mnazo, labda ndo zitawarudia na kutambua kuwa hamkuwa na lenu kwenye huo uchaguzi!

Kama mnabisha, siku ya siku ikifika nitawakumbusha haya maneno yangu. Msije kununa tu.😁
Na huu ndiyo ukweli.
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao wanaamini kwamba kama taifa, tulipaswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi na katiba mpya pamoja na tume huru ya uchaguzi.

Sitazungumzia mambo ya kiufundi na ya kimuundo kuhusu hivyo vitu viwili. Lakini kimsingi, hivyo vitu ndo vilipaswa kufanyika kwanza kabla hatujarejea katika mfumo huo wa kiushindani.

Miaka yote hii tokea 1995, zoezi zima la kupiga kura katika uchaguzi mkuu limekuwa ni zoezi la kutimiza wajibu tu, ili nasi tuonekane tuna demokrasia ya kuchagua viongozi wetu ilhali uwanja wa ushindani haupo sawa baina ya washiriki wa mpambano.

Walio wahalisia wa mambo kama mimi, tayari ‘tunajua’ ni mgombea yupi kwenye ngazi ya urais atayetangazwa mshindi.

Mgombea huyo atayetangazwa kuwa ndo mshindi, ndo mtu huyo huyo aliyewateua kwenye hizo nafasi zao kwenye tume ya uchaguzi hao wataomtangaza yeye kuwa ndo mshindi.

Sasa nikiona jinsi ambavyo wanachama wa vyama vilivyo nje dola walivyo na hamu na hamasa ya uchaguzi mkuu, nashindwa kuelewa.

Nashindwa kuelewa kama ni wamejitoa tu fahamu kwa muda na kwamba kabla ya uchaguzi akili zitawarudia au wamejitoa kabisa fahamu na kusahau kabisa jinsi vile uwanja wa mapambano haupo sawa!

Kwa sababu, nikionacho hapa ni kwamba, baada ya tarehe 28 Oktoba, tutarudi kule kule tulikokuwa 2005, 2010, na 2015.

Baada ya ‘kushindwa’ watu ndo watagutuka tena kuwa kumbe tunahitaji katiba mpya. Kumbe tunahitaji tume huru ya uchaguzi. Kumbe tunahitaji uwanja ulio sawa kwa washiriki wote.

Siyo mmoja wa washiriki ndo anakuwa mchezaji yeye, refa yeye, kamisaa yeye, mwajiri yeye, na kila kitu kingine kihusianacho na uchaguzi anaoshiriki, yeye.

Sasa sijui kama kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua una vikwazo vingi ni jambo la busara au la. Ingekuwa uamuzi ni wangu mimi binafsi, nisingeshiriki mchakato ambao ni wa maigizo.

Wengine wanaweza kuwa na mtazamo ulio tofauti. Hakuna ubaya kwenye hilo.

Ila kwa kadri mtu unapozidi kushiriki mchakato wa jambo ambalo unajua kabisa halitoi fursa sawa kwa wote, unapokosa kupata fursa uitakayo, unakuwa umejipunguzia mamlaka ya kimaadili ya kupinga na kulalamikia matokeo.

Manake kama ulikuwa unajua kabla ya zoezi kuanza kuwa hakuna fursa sawa, kwa nini sasa ulishiriki? Si ungeligomea zoezi zima tu!

Kwa sasa endeleeni kufurahia maneno matamu ya Lissu. Sasa hivi anawapa nyie wapenzi na mashabiki wake kile kiitwacho ‘red meat’, yaani yale maneno mnayotaka kusikia na yanayoziamsha hisia zenu.

Naona na Bw. Membe naye anajitutumua kuwarushia mashabiki wake hizo nyama nyekundu lakini hamfikii Lissu.

Baada ya uchaguzi kuisha na Rais Magufuli kutangazwa mshindi, akili, kama mnazo, labda ndo zitawarudia na kutambua kuwa hamkuwa na lenu kwenye huo uchaguzi!

Kama mnabisha, siku ya siku ikifika nitawakumbusha haya maneno yangu. Msije kununa tu.😁
Utamu wa ndoto huisha asubuhi!

 
Kwa uongozi wa kisiasa uliopo kususia uchaguzi ili kushinikiza katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi ni mbinu isiyokuwa na tija hata kidogo. Ile kauli tu ya uongozi wa sasa ya kuhakikisha kuwa ifikapo 2020 vyama shindani viwe vimekufa ni ushahidi tosha juu ya aina ya uongozi tulionao sasa. Ongezea sarakasi za kuvurugwa kwa CUF, shauri la wakurugenzi kutosimamia uchaguzi, uchaguzi wa vijiji/mitaa, nk. Kususia uchaguzi ni kuwa "passive" wakati ambapo kinachohitajika ni kuwa "aggressive". Kubanana hapa hapa ndiyo mwendo sahihi.
Lakini muhimu zaidi ni kwamba pamoja na changamoto zilizopo tangu 1995 ushindani wa kisiasa umekuwa ukiongezeka nchini. Ilitarajiwa kuwa utafika wakati ambapo kutakuwa na idadi ya kutosha ya wabunge wa upinzani kufanya maamuzi muhimu. Haikutarajiwa kuwa utakuja kutokea uongozi utakaoturudisha kidemokrasia miaka 60 nyuma. Haikutazamiwa kabisa kuwa wanasiasa wetu watakuja kuwafanyia wenzao wa vyama shindani mambo mabaya ambayo hata wakoloni hawakumfanyia Nyerere na wezake. Hakika, kufuatia uchaguzi wa 2020 hali ya kisiasa nchini itabadilika. Hii ndiyo njia ya kuharakisha upatikanaji wa katiba mpya na tume huru kuliko kumwachia mlevi tembo!
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao wanaamini kwamba kama taifa, tulipaswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi na katiba mpya pamoja na tume huru ya uchaguzi.

Sitazungumzia mambo ya kiufundi na ya kimuundo kuhusu hivyo vitu viwili. Lakini kimsingi, hivyo vitu ndo vilipaswa kufanyika kwanza kabla hatujarejea katika mfumo huo wa kiushindani.

Miaka yote hii tokea 1995, zoezi zima la kupiga kura katika uchaguzi mkuu limekuwa ni zoezi la kutimiza wajibu tu, ili nasi tuonekane tuna demokrasia ya kuchagua viongozi wetu ilhali uwanja wa ushindani haupo sawa baina ya washiriki wa mpambano.

Walio wahalisia wa mambo kama mimi, tayari ‘tunajua’ ni mgombea yupi kwenye ngazi ya urais atayetangazwa mshindi.

Mgombea huyo atayetangazwa kuwa ndo mshindi, ndo mtu huyo huyo aliyewateua kwenye hizo nafasi zao kwenye tume ya uchaguzi hao wataomtangaza yeye kuwa ndo mshindi.

Sasa nikiona jinsi ambavyo wanachama wa vyama vilivyo nje dola walivyo na hamu na hamasa ya uchaguzi mkuu, nashindwa kuelewa.

Nashindwa kuelewa kama ni wamejitoa tu fahamu kwa muda na kwamba kabla ya uchaguzi akili zitawarudia au wamejitoa kabisa fahamu na kusahau kabisa jinsi vile uwanja wa mapambano haupo sawa!

Kwa sababu, nikionacho hapa ni kwamba, baada ya tarehe 28 Oktoba, tutarudi kule kule tulikokuwa 2005, 2010, na 2015.

Baada ya ‘kushindwa’ watu ndo watagutuka tena kuwa kumbe tunahitaji katiba mpya. Kumbe tunahitaji tume huru ya uchaguzi. Kumbe tunahitaji uwanja ulio sawa kwa washiriki wote.

Siyo mmoja wa washiriki ndo anakuwa mchezaji yeye, refa yeye, kamisaa yeye, mwajiri yeye, na kila kitu kingine kihusianacho na uchaguzi anaoshiriki, yeye.

Sasa sijui kama kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua una vikwazo vingi ni jambo la busara au la. Ingekuwa uamuzi ni wangu mimi binafsi, nisingeshiriki mchakato ambao ni wa maigizo.

Wengine wanaweza kuwa na mtazamo ulio tofauti. Hakuna ubaya kwenye hilo.

Ila kwa kadri mtu unapozidi kushiriki mchakato wa jambo ambalo unajua kabisa halitoi fursa sawa kwa wote, unapokosa kupata fursa uitakayo, unakuwa umejipunguzia mamlaka ya kimaadili ya kupinga na kulalamikia matokeo.

Manake kama ulikuwa unajua kabla ya zoezi kuanza kuwa hakuna fursa sawa, kwa nini sasa ulishiriki? Si ungeligomea zoezi zima tu!

Kwa sasa endeleeni kufurahia maneno matamu ya Lissu. Sasa hivi anawapa nyie wapenzi na mashabiki wake kile kiitwacho ‘red meat’, yaani yale maneno mnayotaka kusikia na yanayoziamsha hisia zenu.

Naona na Bw. Membe naye anajitutumua kuwarushia mashabiki wake hizo nyama nyekundu lakini hamfikii Lissu.

Baada ya uchaguzi kuisha na Rais Magufuli kutangazwa mshindi, akili, kama mnazo, labda ndo zitawarudia na kutambua kuwa hamkuwa na lenu kwenye huo uchaguzi!

Kama mnabisha, siku ya siku ikifika nitawakumbusha haya maneno yangu. Msije kununa tu.😁
Good thinking
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao wanaamini kwamba kama taifa, tulipaswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi na katiba mpya pamoja na tume huru ya uchaguzi.

Sitazungumzia mambo ya kiufundi na ya kimuundo kuhusu hivyo vitu viwili. Lakini kimsingi, hivyo vitu ndo vilipaswa kufanyika kwanza kabla hatujarejea katika mfumo huo wa kiushindani.

Miaka yote hii tokea 1995, zoezi zima la kupiga kura katika uchaguzi mkuu limekuwa ni zoezi la kutimiza wajibu tu, ili nasi tuonekane tuna demokrasia ya kuchagua viongozi wetu ilhali uwanja wa ushindani haupo sawa baina ya washiriki wa mpambano.

Walio wahalisia wa mambo kama mimi, tayari ‘tunajua’ ni mgombea yupi kwenye ngazi ya urais atayetangazwa mshindi.

Mgombea huyo atayetangazwa kuwa ndo mshindi, ndo mtu huyo huyo aliyewateua kwenye hizo nafasi zao kwenye tume ya uchaguzi hao wataomtangaza yeye kuwa ndo mshindi.

Sasa nikiona jinsi ambavyo wanachama wa vyama vilivyo nje dola walivyo na hamu na hamasa ya uchaguzi mkuu, nashindwa kuelewa.

Nashindwa kuelewa kama ni wamejitoa tu fahamu kwa muda na kwamba kabla ya uchaguzi akili zitawarudia au wamejitoa kabisa fahamu na kusahau kabisa jinsi vile uwanja wa mapambano haupo sawa!

Kwa sababu, nikionacho hapa ni kwamba, baada ya tarehe 28 Oktoba, tutarudi kule kule tulikokuwa 2005, 2010, na 2015.

Baada ya ‘kushindwa’ watu ndo watagutuka tena kuwa kumbe tunahitaji katiba mpya. Kumbe tunahitaji tume huru ya uchaguzi. Kumbe tunahitaji uwanja ulio sawa kwa washiriki wote.

Siyo mmoja wa washiriki ndo anakuwa mchezaji yeye, refa yeye, kamisaa yeye, mwajiri yeye, na kila kitu kingine kihusianacho na uchaguzi anaoshiriki, yeye.

Sasa sijui kama kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua una vikwazo vingi ni jambo la busara au la. Ingekuwa uamuzi ni wangu mimi binafsi, nisingeshiriki mchakato ambao ni wa maigizo.

Wengine wanaweza kuwa na mtazamo ulio tofauti. Hakuna ubaya kwenye hilo.

Ila kwa kadri mtu unapozidi kushiriki mchakato wa jambo ambalo unajua kabisa halitoi fursa sawa kwa wote, unapokosa kupata fursa uitakayo, unakuwa umejipunguzia mamlaka ya kimaadili ya kupinga na kulalamikia matokeo.

Manake kama ulikuwa unajua kabla ya zoezi kuanza kuwa hakuna fursa sawa, kwa nini sasa ulishiriki? Si ungeligomea zoezi zima tu!

Kwa sasa endeleeni kufurahia maneno matamu ya Lissu. Sasa hivi anawapa nyie wapenzi na mashabiki wake kile kiitwacho ‘red meat’, yaani yale maneno mnayotaka kusikia na yanayoziamsha hisia zenu.

Naona na Bw. Membe naye anajitutumua kuwarushia mashabiki wake hizo nyama nyekundu lakini hamfikii Lissu.

Baada ya uchaguzi kuisha na Rais Magufuli kutangazwa mshindi, akili, kama mnazo, labda ndo zitawarudia na kutambua kuwa hamkuwa na lenu kwenye huo uchaguzi!

Kama mnabisha, siku ya siku ikifika nitawakumbusha haya maneno yangu. Msije kununa tu.[emoji16]

Kuwa na katiba mpya kwa ajili ya mfumo wa vyama vingi ni kitu kimoja na kuwa na katiba bora kwa ajili ya mfumo wa vyama vingi ni kitu kingine!

Let’s say umeamua kuandika katiba mpya kabla ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Kwa maoni yako, wajumbe wa bunge la katiba ambao wataangalia maslahi mapana ya taifa, watatoka wapi? Bunge la katiba liko more likely kuwa dominated na wajumbe kutoka chama pekee kilichopo, ambao wengi wao wana maslahi ambayo wasingependa kuona yanapotea baada ya kuanza mfumo wa vyama vingi. Matokeo yake, katiba mpya haitakuwa na playing field rafiki sana kwa vyama vitakavyoanzishwa!
 
Kuwa na katiba mpya kwa ajili ya mfumo wa vyama vingi ni kitu kimoja na kuwa na katiba bora kwa ajili ya mfumo wa vyama vingi ni kitu kingine!

Let’s say umeamua kuandika katiba mpya kabla ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Kwa maoni yako, wajumbe wa bunge la katiba ambao wataangalia maslahi mapana ya taifa, watatoka wapi? Bunge la katiba liko more likely kuwa dominated na wajumbe kutoka chama pekee kilichopo, ambao wengi wao wana maslahi ambayo wasingependa kuona yanapotea baada ya kuanza mfumo wa vyama vingi. Matokeo yake, katiba mpya haitakuwa na playing field rafiki sana kwa vyama vitakavyoanzishwa!
Tunaweza kupata vyote kwa wakati mmoja.

Katiba mpya na iliyo bora zaidi inawezekana!
 
me nimepiga kuonesha kuwa upinzani ni iman hauwez kupotezwa kwa kauli ya mtu mmoja
 
Dogo wakati mwingine unaongea point sana, CDM na ACT walifanya makosa makubwa sana kuingia kwenye uchaguzi huu pasipo kwanza kupatikana TUME HURU YA UCHAGUZI. Walipaswa kujifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Back
Top Bottom