Tusidanganyane, mimi napenda pesa sana

Kwa hiyo wewe ni malaya unajiuza
 
😊😍😍habibti
Maneno matam Kama haya yanipa hamasa kuatafuta pesa Kama chizi
Kwako mateka nisiye na vikwazo😂😂
Uwena na siku poa
Asante kwa kuanza na maneno mazuri naamini siku yangu itaenda poa, ukizipata pesa leta nikutunzie😜
 
Una mawazo ya kimaskini Sana yani unaona kula maharage ni adhabu, yes wapenda pesa wewe kipato chako kikoje?
mimi sema ukweli maharage ndo chakula nachopenda sana hasa nikipata wali maharage na samaki au nyama ya kukaanga pembeni!! Burudani..yamenikuza hayo😋
 
mimi sema ukweli maharage ndo chakula nachopenda sana hasa nikipata wali maharage na samaki au nyama ya kukaanga pembeni!! Burudani..yamenikuza hayo[emoji39]
Mimi napenda maharage kuliko nyama,I always wonder why watu wanaona kula maharage ni umaskini?
Mimi maharage hayanichoshi hasa yenye nazi
 
Nyie ndio mnafirwa afu mwisho siku ukishachakaa unaachwa coz ukipenda sana pesa ya mwanaume ukubali pia kumpa kila anachokitaka
 
[emoji16][emoji16][emoji16]so tukianza kidate iphone yako ina haribika?
 
PESA PESA PESA..
hakuna asiyependa mapene.
 
Kila mtu anacho anachokipenda.

Mimi napenda mabumunda ... Na makomamanga.
 
Nyie ndio mnafirwa afu mwisho siku ukishachakaa unaachwa coz ukipenda sana pesa ya mwanaume ukubali pia kumpa kila anachokitaka
Ni win-win situation mkuu...
Unapata unachotaka na Yeye anapata so hakuna maumivu hapo.
 

Huu uzi ulipigwa ban umerudi kivingine tena!mod siku hizi hawapendi mambo ya utopolo
 
Afadhazali lewe umekua mkweli, ila uwe tayari na wewe kutumia sehemu ya pesa yako kumhudumia na kumtunza huyo Mwanaume.
 
Acha tumuonee huruma mwanaume atakaye ingia kingi kwako ...kibaya zaidi ni atakapo taka kukufanya uwe wa milele ana kazi kubwa kukubadilisha mindset yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…