Tusilaumu mabinti wanaokwepa wanaume maskini, ndoa za kiafrika ni muunganiko wa familia mbili, upo tayar binti yenu aolewe na maskini?

Kwanza ukioa familia ya hivyo, ni ngumu sana kwa ndugu kuamini kuwa dada yao amekupenda kwa dhati. Hufikiri kuwa umemroga dada yao. Upinzani kwenye ndoa yao utakuwa sio wa nchi hii.
 
mabwawa jaman mabwawa yanatesa nyie
 
Maji hufwata mkondo huna hela alafu unataka binti aende kwa wenye hela watawadharau Sana
 

Lazima utazaa nae tu
 
Hivi miaka 25 ni mabinti pia ?
 
Alipomaliza hayo ! Makutano wakamgeukia... bwana bwana ni nani awezaye kuozesha bintiye kwa kapuku? Naye akajibu.." la hasha labda bintiye awe amerogwa ya hakika nawaambieni vijana tafuteni pesa, mwente masikio na asikiye"
 
Umasikini ni sababu nyingine mtu anaweza zaniwa hana mapenzi ya dhati.
Unaonekana tapeli,
Kumbe wala.
 
Yani mimi na baba yao tukutane pangu pakavu then tupambaaane damu na nyama kuvunja generational poverty na kuiweka familia katika status flani.
Kiuhalisia watoto wetu inabidi waendelee pale tulipoishia. Siwezi toa baraka kijana wangu kuoa fukara wala binti yangu kuolewa na fukara.
Sana sana tutawatengenezea mazingira ya kukutana na watu wa level inayowiana na yetu
 
Wazazi wapi hao ndugu yangu?πŸ˜‚πŸ˜‚

Ndio kwanza wataungana kuanza kukusema
 
Huyo nikishalala nae hata story hatuna. Ananikera tu, kuna siku tukabishana Diamond anadate na Zuchu, nilikuwa nabisha kumbe sijui. Yule good upstairs hawezi leta habari za hivyo
Kuna usemi wa ki-slavic unasema.... "Kto nie ma w gΕ‚owie ma w nogach" tafsiri yake, " Kama kichwani hamna akili,kwa vyovyote zitakuwepo miguuni".... πŸ˜‚
 
kwamba baba wa binti aliridhia kirahisi binti yake anaelala kitandani aende kuanza kulalia kwenye mabox ?

ngumu kumesa
Umasikini ni hali ya kawaida yoyote anaweza kupitia kinachoangaliwa ni mtazamo wako,kuna mtu unamuona kabisa ni potential amesoma vzr,anachakarika hqta kwa kazi ndogo,ana heshima ana vision,siyo mtu wa starehe ila ni channel tu ndo amekosa.
Ila kuna wale wenzangu na mm,kwangu pakavu tia mchuzi,hana shughuli ya maana anayofanya zaid zaid atakuambia msanii,anazengea apate mtoto wa tajiri ndo atusue kimaisha,anashinda maskani,tabia zote mbovu anazo kazi yake kushinda gym kutunisha kifua,hana potential yoyote zaidi ya kufuga rasta,hata ukimpa mtaji milion 50 unajua kabisa hautomfikisha popote,shule aliacha kama alimaliza basi alifeli vibaya,marafiki zake wavaa hereni unaona kabisa hawana mtqzamo wowote,na wanajua kushwishi watoto wa kike, na hawa kundi la chini ndo wanaolalamika wamekataliwa kuoa kwa matajiri,hata mm sikupi binti yangu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
A
Acha ufala fanya maamuzi mapema kabla maji hayajamwagika
 
Kwa ground mambo ni tofauti ndoani, huyo wa kishua ni rahisi kuvunja ndoa au kuwajeuri na visasi ila huyo kapuku ataendelea kuwa mtiifu maana hana pakwenda au option nyingine so kila upande una faida na hasara zake
 
Bottom line oa/olewa na wa level yako, umezaliwa na watumishi wa umma, kanyumba kamoja ka wazazi, chai ya asubuh kiporo cha wali na maharagwe, unataka uchumbie binti wa waziri kasoma IST(international school of Tanganyika), mashemeji na ma WiFi wapo ulaya! Hapo ni kutafuta ugonjwa wa moyo! Just stay in ur lane nigger!
Rafiki yangu tuliyesoma nae,alipoona kwao wanamletea dharau kwa vile hana ka kitu, (wahaya Hao) akasema ata hustle vibaya Sana ili apate mkwanja, na akiupataa, kwanza ataoa msichana atakae,na ndoa atafanyia Mbeya, ili wahaya jeuri awatembeze kutoka Bukoba to Mbeya, waje kwake kushuhudia anaoa.
 
Hata zamani masikini waliepukwa. Ndiyo maana ya kuwekwa mahari. Tujitahidi kutafuta chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…