Yaani ujute milele kwa masai kukaa ngorongoro kwenye makazi yao, badala ya kujuta milele kwa kufanya dhambi ambazo zinaweza kukupeleka jehanamu!?
Kwa hiyo unamaanisha tunaweza jikuta tumeingia jehanamu kwa masai kuendelea kukaa ngorongoro? au sijapata logic yako unaposema tutajuta milele.........
Kwa hiyo unamaanisha tunaweza jikuta tumeingia jehanamu kwa masai kuendelea kukaa ngorongoro? au sijapata logic yako unaposema tutajuta milele.........