Tusipotezeane muda! Ukweli ni kwamba 'Ulidanganywa' na 'Wanafiki' kuhusu Kabudi na Lukuvi, ila sasa 'Unatuzuga' na 'Kujikosha' tu Kwao

Tusipotezeane muda! Ukweli ni kwamba 'Ulidanganywa' na 'Wanafiki' kuhusu Kabudi na Lukuvi, ila sasa 'Unatuzuga' na 'Kujikosha' tu Kwao

Iko wazi kua kilichofanyika ni kuwatoa hao wazee ili waweke watu wao.Ndo maana nafsi ilianza kujieleza kabla ya maamuzi kufanyika.Tulianza kusikia kauli za kuna wanaoutaka urais, mbio za 2025 wakae pembeni wakajipange vizuri,wasioendana na kasi na badae baada ya maamuzi ya mabadiliko kufanyika zikaja hizi kauli,hawa nawapa kazi nyingine.Ukiunganisha dot unaona kabisa kua nafsi inasuta.Tunajua kua mheshimiwa anaweza kubadilisha kiongozi muda wowote anaoutaka ila hiki likilofanyika sasa sicho kilichokusudiwa ndo maana ilianza kutafutwa sababu.Alikua na uwezo wakusema:Nitafanya badiliko la baraza bila kutanguliza sababu yoyote na angeeleweka na kusingekua na maswali mengi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kusingekuwa na maswali lakini ukosoaji ungekuwepo.
 
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.

Chanzo: Habari Leo Online

Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.

Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?

Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.

Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.

Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.

Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.

Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Binafsi lukuvi ndo kaniuma, alikuwa mchapa kazi ila huyo kabudi wenge sana mzee wa juis ya madagasc

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.

Chanzo: Habari Leo Online

Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.

Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?

Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.

Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.

Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.

Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.

Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Ila hawa wazee wawili wameonewa sana, wamefanya kazi kubwa zilizotukuka halafu ndiyo wamedharauliwa hivi?! Hapana, hii si sawa
 
Kusingekuwa na maswali lakini ukosoaji ungekuwepo.
Maswali ni muhimu zaidi kuliko kukosoa.kwasababu maswali yanahitaji majibu.Ni kweli watu wangekosoa ila ingebaki kua ndani ya maamuzi yake kupuuzia au kutolea ufafanuzi tofauti na jinsi ambavyo watu waliuliza maswali hadi ikamlazimu kuja na spin aliyoifanya.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.

Chanzo: Habari Leo Online

Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.

Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?

Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.

Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.

Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.

Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.

Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Kuna wakati unakuwa na akili nyingi kuliko hata Mheshimiwa Spika wetu Mtarajiwa, ndugu Mwijaku. Kwa nyuzi za aina hii haki ya nani nitapambana na yeyote ataye kuchafua kwa kukuita Popoma.

Yaani umeandika madini tupu! Hakuna hata chembe moja ya pumba au mchanga.
 
Vetting System ilianza kufeli kipindi awamu ya 5 na awamu hii ya 6 ni Muendelezo,kwahyo tutegemee wenye sifa kukosa teuzi na wasio kupata.
 
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.

Chanzo: Habari Leo Online

Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.

Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?

Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.

Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.

Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.

Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.

Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Lukuvi na Kabudi wanakimbilia miaka 65 hawa sio watoto wadogo wa jana na juzi. Lukuvi ni sehemu ya umoja wa vijana wa kundi moja na Kikwete na Kinana.

Hata JPM aliwaambia wasahau kuhusu kuwa marais. JPM mlimuanzishia uzi wa masimango na matusi kama huu?.
 
Tatitizo kubwa la huyu mama ni washauri wake waliyo mzunguka ... hi aina ya watu wa ovyo, sana
Na ivyo itampelekea kushindwa Kwake mapema vilivyo.....
Acha kusingizia Washauli, inawezekana anashauliwa vizuri tu, Yeye akifika mbele ya camera anayatupa,Mama yenu anauwezo ndogo sana,sanasana alibebwa na uzanzibar, Maana kule Zanzibar wanawake wachache wanaoingia kwenye siasa.sasahivi ni Kama Mama mwenye nyumba afariki, alafu nyumba iongozwe na house girl,kila kitu ndani ya nyumba lazima kiparaganyike.Tanganyika tumeanza safari isiyonamatumaini ya kufika tunako takiwa kufika.
 
Acha kusingizia Washauli, inawezekana anashauliwa vizuri tu, Yeye akifika mbele ya camera anayatupa,Mama yenu anauwezo ndogo sana,sanasana alibebwa na uzanzibar, Maana kule Zanzibar wanawake wachache wanaoingia kwenye siasa.sasahivi ni Kama Mama mwenye nyumba afariki, alafu nyumba iongozwe na house girl,kila kitu ndani ya nyumba lazima kiparaganyike.Tanganyika tumeanza safari isiyonamatumaini ya kufika tunako takiwa kufika.
Watanganyika tutapata taabu sana kama hatutokaa na kujipanga na kuja na aina mpya ya muungano ili tanganyika ipate nafasi nzuri ya kuongozwa na mtanganyika mwenyewe.
 
Kweli kabisa mkuu, lakini politics ni kama draft. Ni rahisi sana kuangamizwa ikiwa utacheza mchezo mchafu wa siasa kwa jazba. Raisi Samia anafahamu fika kwamba hana mizizi marefu ndani ya CCM, hana alliances yoyote kama waliokuwa nayo wakina Lowasa. Kwa hiyo, kuuma na kupuliza ndio Kinga yake.

Kinga kubwa aliyonayo ni office yake (The Executive Branch), the military na baadhi ya wanachama wachache ndani ya CCM. Lakini hii haitoshi. "Mchawi mpe mtoto alee." Kawasogeza hao viongozi karibu nae (Ikulu) kufubaza aina yoyote ya uasi ndani ya chama.

Ngoja uone jinsi kabudi atakapoanza kutunga mashairi ya kumsifia Bi mkubwa. Hapo ndipo tutaona busara za Bi mkubwa.
Eti Raisi Samia hana mizizi ndani ya ccm[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Siasa za ndani ya ccm umeanza kuzifuatilia leo?

Kumbuka wakati yupo Nyerere alienda na mkapa, baada mkapa kuwa Raisi akatengeneza mizizi yake

Na ndio maana mkapa ili kuendeleza miziz unayoisema alitaka kikitwe asiwe Raisi atakae mpokea

Lakini wakina kikwete (wanamtandao) wakamzidi maarifa mkapa

Baada ya kikwete kuingia akatengeneza mizizi na ccm

Magufuli kuingia ilikuwa ni bahati tu baada ya mgogoro wa wanamtandao kuwa na watu wawili kwa (lowasa+membe)

Sasa magufuli hayupo, mkapa hayupo Ina maana wanamtandao ndiyo wanajitawala na Raisi Samia yupo upande wa wanamtandao haitaji mizizi wakati ilishawekwa na waasisi wa wanamtandao wenyewe

Futa hiyo kauli kwamba Samia hana mizizi ndani ya ccm ila watu wanaangalia ndani ya ccm upo kundi gani
 
Hapo tambua kuna mambo mawili,kuna kusoma na kuelimika na kutumia elimu kuratibu mambo,na kunakusoma ukaelimika na kushindwa kuratibu mambo kisomi,hili la kwanza,
Pili hakuna binadamu asie na mapungufu,hivyo basi kumhukumu mtu kwa mabaya na kushindwa kuona mema/jema lake nalo ni tatizo,
Lukuvi pamoja na mapungufu yake uswaiba wake na mwendazake vyovyote ilivyo hatuwezi kukataa kukubali amejaribu kuinyoosha wizara ambayo wengi ilikuw a changamoto tena kaalamoto,ardhi imekuwa wizara yenye mchango unaoonekana kwenye kulitunisha kapu la serikali,mifumo aliyosaidia kuiweka kukusanya mapato imetusaidia wengi katika kale ka ukakasi na mifumo ya kimazoea ya utendaji wa wizara nyingi.
Leo hii unamiliki kiwanja huko newala wewe uko muleba unakusanya uduvi kuitikia wito wa kujiajiri ila,muda wakulipa kodi ya ardhi ukifika unajiwekea kasaliokako kwenye simu na kuitisha control no yako ya malipo mnamalizana na Lukuvi,unaendelea na majukumu yako kwa amani.
Popote watakapokuweka Ndugu yangu Lukuvi,tambua baadhi yetu watanzania tutakuheshimu kW mema yako katika kuichakata na kujaribu kuipa sekta ya ardhi thamani yake,umejaribu kufanya jambo,umejaribu kwa weledi mkuu,hayo mengine waachie wenye mamlaka ya uteuzi wako.
Mzee lukuvi, jiandae kuchukua fomu ya Urais.
Halafu nyinyi. Wahusika kiutendaji ya chama changu, acheni tabia ya kuprinti fomu moja ya kugombea uraisi.
 
Mbona katika Awamu ya Hayati Rais Dk. Magufuli Wakristo tulipokuwa Wengi katika Serikali yake hukuja hapa JamiiForums kulalamika kuwa Waislamu wamesahaulika katika Teuzi zake?

GENTAMYCINE ni Mkristo halisi tena kutokea Dhehebu Kubwa na lenye Ushawishi katika Imani ya Ukristo duniani la Katoliki ( Roman Catholic ) ila nachukia sana Wasomi ( Intellectuals ) tukiacha Kujadili Mambo ya maana ya Kuisaidia kuijenga Tanzania yetu na tunaanza Kukimbilia katika Udini.

Nimesikitika.......!!!!
Siyo teuzi. Kinachoshangaza ni kwamba kila anayepigwa chini lazima awe mkristo. Ni hicho mimi sijazungumzia uteuzi.
 
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.

Chanzo: Habari Leo Online

Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.

Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?

Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.

Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.

Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.

Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.

Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Tukubali tukatae Tanzania ilikuwa bado sana kuwa na Rais Mwanamke, America ina zaidi ya miaka 200 ya Uhuru na haijawahi kuwa na Rais Mwanamke, kwa nini Kristo Yesu ktk Thenashara 12 aliochangua hakuwa na mwanamke au kwa nini Mtume Muhammad (s.a.w) ktk maswahaba wake hakuwa na swahaba Mwanamke hata mmoja? Daaaah 2025 kama Taifa tutafika tumechoka sana, inahitaji katiba mpya au hii hii ifanyiwe marekebisho, itamke Rais aliyepo madarakani akifariki dunia baada ya miezi kadhaa uitishwe uchanguzi.
 
Mama kafeli mapema sana. Hana dira, hana maono na hana mwelekeo. Kwenye vikao vyake sio ajenda yoyote anayoisimamia. Ni vijembe tu na mafumbo ya pwani ndivyo vilivyotawala.

Hata bado Kama unaungua ndani kwa ndani dawa tafuta kilozoni unywe ni dawa mujarabu kwa watu Kama nyinyi
 
Siyo teuzi. Kinachoshangaza ni kwamba kila anayepigwa chini lazima awe mkristo. Ni hicho mimi sijazungumzia uteuzi.
Ni kwa sababu hawana elimu , vyeti vya kugaiwa makanisani vitaangamiza nchi
 
Tukubali tukatae Tanzania ilikuwa bado sana kuwa na Rais Mwanamke, America ina zaidi ya miaka 200 ya Uhuru na haijawahi kuwa na Rais Mwanamke, kwa nini Kristo Yesu ktk Thenashara 12 aliochangua hakuwa na mwanamke au kwa nini Mtume Muhammad (s.a.w) ktk maswahaba wake hakuwa na swahaba Mwanamke hata mmoja? Daaaah 2025 kama Taifa tutafika tumechoka sana, inahitaji katiba mpya au hii hii ifanyiwe marekebisho, itamke Rais aliyepo madarakani akifariki dunia baada ya miezi kadhaa uitishwe uchanguzi.

Hivi alipochaguliwa makamo mlikuwa mumelala usingizi gani? Mtavuna mlichopanda
 
Karata anayojaribu kutumia SSH ni PR and Damage Control. Baada ya kuona amefanya mabadiliko kwa jazba/Hasira na kuona reactions ya watu sasa anajaribu ku appease/ Kufurahisha watu. Ila tayari tumeona na kujua ni unafiki tu. Mara Photo session na Speaker mara hawa nina kazi nao bla bla hiyo yote ni kujaribu kufanya Damage Control of which will not work. Kwanza ALIWAZALILISHA kwa kuwaita Lukuvi na KABUDI wazee wanaostahili kustaafu. Ktk Politics hakuna kustaafu. Biden ana miaka mingapi? Si ni mzee sana na bado ni rais wa taifa lenye nguvu kubwa ulimwenguni. Kwa kifupi aliwadharirisha tu. In that case she is in fear of HER OWN SHADOW nothing else!!

Zile ni Pumba wacha wakanywe juisi waliyochukua kutoka Madagascar , mwehu hao
 
Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kusema kuwa atamvuta Ikulu aliyekuwa Waziri wa Ardhi, William Lukuvi, leo Januari 13, 2022 Rais Samia amesema kiongozi huyo atakuwa akisaidiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusimamia sekta zenye migogoro baina ya viongozi.

Chanzo: Habari Leo Online

Mpaka leo naitafuta sababu ya Kutolewa kwa akina Kabudi na Lukuvi katika Nafasi zao huku Utendaji wao ukiwa ni wa Kutukuka na Uaminifu kabisa bado sijazipata.

Kama unatambua kuwa Kabudi ni 'Baba Negotiations' kutokana na Unguli wake katika Sheria hivi Akili Kubwa ilikuwa ni Kumbakisha katika Utendaji ndani ya Wizara au kumtoa na Kumuweka karibu kama Mshauri na Msoma Magazeti tu 24/7 katika 'Chambers' za Ikulu za Magogoni na Chamwino?

Ni Mtanzania Zuzu ( Hambe ) tu pekee ndiyo hatoweza kujua Kazi Kubwa na Juhudi za Kutukuka alizofanya Lukuvi katika Sekta ya Ardhi na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.

Akina GENTAMYCINE mara kwa mara tuwapo hapa JamiiForums tunakuambia Wasaliti wako Wakubwa ni akina nani ( hadi kukutajia Majina ) yao cha Kushangaza unawaacha, upo nao na unakimbilia Kuwaondoa Wazee wa Watu kwakuwa tu walikuwa 'Loyal' kwa Hayati uliyemrithi na Kuhisi wanaweza 'Kukuangusha' kwa Kutumika na Unaowaogopa au Kudanganywa kuhusu Wao.

Sijui ni kwanini Viongozi wengi wa Afrika mnapenda sana kutufanya na Kudhani kuwa Waafrika wote ni Wapumbavu ( Mapopoma ) wakati kumbe kuna Wananchi ( Waafrika ) wana ( tuna ) Akili na Maono kuliko mlivyo na 'Mabenzi' yenu huko Ikulu.

Kwenu Wazee wangu Kabudi na Lukuvi poleni kwa Kudharauliwa, Kusanifiwa na Kupendwa Kimachale na Kimkakati kwani hakuna namna bali ni Kumshukuru tu Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo na Kumuachia Yeye kila Kitu kwani inajulikana kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani.

Najua utanichukia ila Mimi Nakupenda.
Sawa HILDA NEWTON umesomeka.
 
Back
Top Bottom