johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #81
Unajua maana ya pension?Watumishi wa NGO hawalipiwi Pension kila mwezi?
Wewe Uko TZ Kweli?
Wewe ni mtu wa ajabu 😂Unajua maana ya persion?
Unajua maana ya pension/ pensheni?Wewe ni mtu wa ajabu 😂
Kwa sababu nimesema Kimaro ni Mtu wa mshahara?!!Wewe ni mtu wa ajabu 😂
Kwa sababu nimesema Kimaro ni Mtu wa mshahara?!!
Na huo mshahara sisi waumini ndio tunao toa. Hata askofu ana lipwa na waumini. Hivyo waumini ndio waajiri wa watumishi.Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.
Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi
Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Uko sawa 300%Na huo mshahara sisi waumini ndio tunao toa. Hata askofu ana lipwa na waumini. Hivyo waumini ndio waajiri wa watumishi.
Wewe upo wapi tukufuate ambako una uhakika wa kwenda Mbinguni?Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.
Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Watu wana miheamko sana. Na asipokuwa na akili akadhani yeye ni Mkubwa kuliko Kanisa atapotea...Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.
Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi
Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Uchagani?Kuna tetesi wachungaji wote wa Dayosisi aliyozaliwa Dr Eliona Kimaro wanaandaa mgomo na maandamano makubwa kupinga alichofanyiwa mchungaji Kimaro
Mchungaji Kimaro mwenyewe ameridhika na maamuziIla Malasusa kaingia mno kimwili.
Maonyo yalitosha , ona sasa navyo kanisa liko utupu.
Au tukumbuke yale ya yule mke wa mtu hadi kufikia kuzaa.
Wote wana madhambi tena ya aibu, hata Kimaro alipowasifia Waislam na Wakatoloki alikuwa na haki.
Kwani ya mkuu huyo wa jimbo je, hatuyajui?
🤣🤣🤣Mchungaji Kimaro mwenyewe ameridhika na maamuzi
Tatizo liko hapo Ufipa st ndio mmegawanyika
Tabu ilianza na yeye kutangaza kasimamishwa kazi. Angepiga kimya na mambo yangeenda kimya tu.Hili jambo linakuzwa sana pasi na sababu yeyote.
1. Wapi sheria ya kazi imetamka likizoya siku 60?Swala la Mwajiri na Mwajiriwa Waumini wamelishikia bango
Hawajui hata Sheria ya Kazi