Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tusisahau kuwa Dkt. Eliona Kimaro ni Mwajiriwa wa KKKT anayelipwa mshahara kila mwisho wa mwezi!

Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Na huo mshahara sisi waumini ndio tunao toa. Hata askofu ana lipwa na waumini. Hivyo waumini ndio waajiri wa watumishi.
 
Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.

Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Wewe upo wapi tukufuate ambako una uhakika wa kwenda Mbinguni?
 
Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.

Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi

Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Watu wana miheamko sana. Na asipokuwa na akili akadhani yeye ni Mkubwa kuliko Kanisa atapotea...
 
Ila Malasusa kaingia mno kimwili.

Maonyo yalitosha , ona sasa navyo kanisa liko utupu.

Au tukumbuke yale ya yule mke wa mtu hadi kufikia kuzaa.

Wote wana madhambi tena ya aibu, hata Kimaro alipowasifia Waislam na Wakatoloki alikuwa na haki.

Kwani ya mkuu huyo wa jimbo je, hatuyajui?
 
Kuna tetesi wachungaji wote wa Dayosisi aliyozaliwa Dr Eliona Kimaro wanaandaa mgomo na maandamano makubwa kupinga alichofanyiwa mchungaji Kimaro
 
Ila Malasusa kaingia mno kimwili.

Maonyo yalitosha , ona sasa navyo kanisa liko utupu.

Au tukumbuke yale ya yule mke wa mtu hadi kufikia kuzaa.

Wote wana madhambi tena ya aibu, hata Kimaro alipowasifia Waislam na Wakatoloki alikuwa na haki.

Kwani ya mkuu huyo wa jimbo je, hatuyajui?
Mchungaji Kimaro mwenyewe ameridhika na maamuzi

Tatizo liko hapo Ufipa st ndio mmegawanyika
 
Hv unajua walevi ni watu wanaopatana zaidi na kusaidiana kuliko watu wanaoshinda makanisani!?
Baar is my church.
 
KKKT iliwahi kusimamia mauaji huko Meru Ili wazuie kuanzishwa kwa Dayosisi ya Meru.
Ila Wameru walikomaa hadi tone la mwisho na Dayosisi ikapatikana.
Ili KKKT Ipate amani , hadi Shoo na malasusa waitwe mbinguni.
Vinginevyo hakuna
 
Swala la Mwajiri na Mwajiriwa Waumini wamelishikia bango

Hawajui hata Sheria ya Kazi
1. Wapi sheria ya kazi imetamka likizoya siku 60?
2. Kapewa likizo (batili) na mtu asiye mwajiri wake (Msaidizi wa Askofu, wakati mwajiri Ni Katibu Mkuu, Dayosisi.
 
Back
Top Bottom