Tusitetee ujinga, Vijana wengi wa Kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Tusitetee ujinga, Vijana wengi wa Kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Kama aliyepost hivi ni Askari kamili, Kuna mahali amepwaya sana, mindset za hawa watu Karne hii hazitatusaidia. Anyway, sioni haha ya kuumiza raia, pili kisingizio Cha wanafuga wezi kwa Nini msitumie mafunzo yenu na mbinu za kipelelezi mkawanyakua hao wahalifu pekee. Wanaume wazima na maguvu yenu mnahangaisha wanawake huo ni udhaifu wa Hali ya juu. Hii imelichafua jeshi, ukimya wa wakuu wao unaweza pelekea reshuffle.
 
Wewe ilibidi uwe mfano kwa wengine, siku moja utajaa tu kwenye 18 kisha utasimulia endelea kuvimba
Wewe ni na wajinga wenzenu hao ni Kenge maji .
Vichwa vikubwa akili kamasi .
Mkishavimbiwa hayo matumbo yenu na mashavu kwa supu za makongoro na gongo zenu hizo mnazokunywa kwa kodi za wananchi mnaona wengine takataka ninyi ndio watu nchi hii
Mbwa ninyi
 
Wewe ni na wajinga wenzenu hao ni Kenge maji .
Vichwa vikubwa akili kamasi .
Mkishavimbiwa hayo matumbo yenu na mashavu kwa supu za makongoro na gongo zenu hizo mnazokunywa kwa kodi za wananchi mnaona wengine takataka ninyi ndio watu nchi hii
Mbwa ninyi
Wewe ilibidi uwe mfano,
 
Who said that? Mwanajeshi bado ni askari tena ana nguvu kubw akisheria even uraiani.
Tofauti ni kuwa nguvu hizo zimewekewa mipaka kisheria na hiyo mipaka wanaitii.
Ukitaka ujue hilo waachiwe tu siku moja watakeleze sheria uraia ,watu watalala na viatu
Mje uraiani bila silaha yoyote zipigwe kavukavu tuone nani atalala na viatu, labda mtawaonea wamama na watoto mazumbukuku nyie.
 
Kesho naenda kambini hapo lugalo huku navuta bangi na kujambajamba hadharani maksudi mbele yao na matusi ya hatarii niking'aka.

Sasa ole wake kenge yoyote athubutu kunisogelea, wadau wote wataacha kufuatilia kinachoendelea huko Gaza kati ya Wateule na waarabu.
Vp mkuu, ulifanikiwa.?
 
Hii mianajeshi inajikutaga miungu watu,unaweza pita sehemu hawajaweka kibao au hamna taarifa yoyote au unaweza kaa sehemu ,mara wakatokea na kuanza kukurusha mara kukupiga au kukuonea tu.
Uonezi una mwisho ipo siku mtaona mwisho wake utakuwaje........
Hamna lolote mnajificha nyuma ya magwanda,
Inakuwaje ukaenda kuonea wanawake wasio na mafunzo hadi kuwauwa kwani ndo waliofanya tukio....afu pili hapo mmetengeneza doa KWA jamii,
Yani badala ya kuwaheshimu watakuwa wanawadharau....

Tuache kwenda taifa kuishangilia mijeshi ikirukaruka na et tunapiga makelele ni upuuzi.
Tuache kuchagua rais mwanamke ndo athari hizi
Rais Kaingiaje hapa Mkuu?
 
Niulizie kwa hao MP wako wa Lugalo kuwa wataenda lini Kuhudhuria Misiba ya Wadada Wawili waliowajumuisha katika Kundi la mwanzo la Watu 74 na kwenda nao Kambini Kwao Mwenge na Kuwapa Adhabu Kali zilizowazidi Uwezo kiasi kwamba GENTAMYCINE nimetaarifiwa ( japo bado naendelea Kuthibitisha Taarifa ) kuwa Wamefariki dunia?

Ukimaliza niulizie Swali langu la mwisho kwa hao hao MP wako wa Lugalo je, Jana Usiku wa Saa 9 walipokuwa Wanawarejesha Kawe OIL COM Watu waliowakamata baada ya Kuwatesa sana Kambini Mwenge huku wakiwaambia waruke kuna Watu Wawili walishindwa Kuruka na Upumuaji wao nao ulikuwa hafifu na hawaongei walienda nao wapi kwani Ndugu zao wanahangaika Kuwatafuta.

Mwisho nakuuliza Wewe uliyefurahishwa Kuteswa kwa Raia wasio na Hatia na MP ws Lugalo je, umeshajiuliza ni kwanini Leo ( Jumamosi ) Siku nzima Wanajeshi wa Lugalo wamepotea Mitaani, hawana Amani, wanajishtukia na kuona mno Aibu kwa Raia?

Huna Akili pamoja na hawa Unaowatetea.

Cc: Msanii
Pole Sana najuwa ulikozwakozwa Ila hamia mikocheni kwa warioba
 
Angekuwepo mwanangu sana anko magu,huu ufala uxngekuwepo
Wale Walioingia na Mtutu Pale Clouds ilikua Zama Za Uncle Nani? Tena Usijaribu Kufananisha Kabisa, Hakuna Zama Unyama Ulitamalaki hapa Nchini kama Awamu ya Tano
 
Wale Walioingia na Mtutu Pale Clouds ilikua Zama Za Uncle Nani? Tena Usijaribu Kufananisha Kabisa, Hakuna Zama Unyama Ulitamalaki hapa Nchini kama Awamu ya Tano
Waliua nan wale? Waliua wanawake??
Hivi unajua c kila kifo kilikuwa cha serikali vingine ni order za timu pinzani na vilisukwa haswa.
Lakini mwanangu sana asingekubali miwanajeshi ikaue wanawake ili kuonesha umwamba,
Unaleta umwamba KWA wanawake,nenda gaza huko au ukraine ukakutane na akili zilizochoka ukaziletee umwMba
 
Tanzania tunaitaji hawa wapelekwe hata hapo sudani,wapo kizembe sana,....
Namtaman siku Moja mmoja ajichanganye tuzichape ,maana walishawahi niahibisha sana pale feri pumbavu sana,mbele ya watu wangu wa karbu
 
Wale Walioingia na Mtutu Pale Clouds ilikua Zama Za Uncle Nani? Tena Usijaribu Kufananisha Kabisa, Hakuna Zama Unyama Ulitamalaki hapa Nchini kama Awamu ya Tano
Vingi ni timu upande pwani,lengo ni kupaka mavi kaz nzuri sana
 
Mnatudharaulisha Sana katika kuamua mnakuwa Kama mmekatwa vichwa.
 
Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,

Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.

Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..

Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo

Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa

Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.

Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Mmefoji vyeti ndio maana hamna akili
 
Niulizie kwa hao MP wako wa Lugalo kuwa wataenda lini Kuhudhuria Misiba ya Wadada Wawili waliowajumuisha katika Kundi la mwanzo la Watu 74 na kwenda nao Kambini Kwao Mwenge na Kuwapa Adhabu Kali zilizowazidi Uwezo kiasi kwamba GENTAMYCINE nimetaarifiwa ( japo bado naendelea Kuthibitisha Taarifa ) kuwa Wamefariki dunia?

Ukimaliza niulizie Swali langu la mwisho kwa hao hao MP wako wa Lugalo je, Jana Usiku wa Saa 9 walipokuwa Wanawarejesha Kawe OIL COM Watu waliowakamata baada ya Kuwatesa sana Kambini Mwenge huku wakiwaambia waruke kuna Watu Wawili walishindwa Kuruka na Upumuaji wao nao ulikuwa hafifu na hawaongei walienda nao wapi kwani Ndugu zao wanahangaika Kuwatafuta.

Mwisho nakuuliza Wewe uliyefurahishwa Kuteswa kwa Raia wasio na Hatia na MP ws Lugalo je, umeshajiuliza ni kwanini Leo ( Jumamosi ) Siku nzima Wanajeshi wa Lugalo wamepotea Mitaani, hawana Amani, wanajishtukia na kuona mno Aibu kwa Raia?

Huna Akili pamoja na hawa Unaowatetea.

Cc: Msanii

Jitahidi .
Kazi yako ni nzuri sana
 
Back
Top Bottom