Tusitetee ujinga, Vijana wengi wa Kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima

Kama aliyepost hivi ni Askari kamili, Kuna mahali amepwaya sana, mindset za hawa watu Karne hii hazitatusaidia. Anyway, sioni haha ya kuumiza raia, pili kisingizio Cha wanafuga wezi kwa Nini msitumie mafunzo yenu na mbinu za kipelelezi mkawanyakua hao wahalifu pekee. Wanaume wazima na maguvu yenu mnahangaisha wanawake huo ni udhaifu wa Hali ya juu. Hii imelichafua jeshi, ukimya wa wakuu wao unaweza pelekea reshuffle.
 
Wewe ilibidi uwe mfano kwa wengine, siku moja utajaa tu kwenye 18 kisha utasimulia endelea kuvimba
Wewe ni na wajinga wenzenu hao ni Kenge maji .
Vichwa vikubwa akili kamasi .
Mkishavimbiwa hayo matumbo yenu na mashavu kwa supu za makongoro na gongo zenu hizo mnazokunywa kwa kodi za wananchi mnaona wengine takataka ninyi ndio watu nchi hii
Mbwa ninyi
 
Wewe ilibidi uwe mfano,
 
Mje uraiani bila silaha yoyote zipigwe kavukavu tuone nani atalala na viatu, labda mtawaonea wamama na watoto mazumbukuku nyie.
 
Vp mkuu, ulifanikiwa.?
 
Rais Kaingiaje hapa Mkuu?
 
Pole Sana najuwa ulikozwakozwa Ila hamia mikocheni kwa warioba
 
Angekuwepo mwanangu sana anko magu,huu ufala uxngekuwepo
Wale Walioingia na Mtutu Pale Clouds ilikua Zama Za Uncle Nani? Tena Usijaribu Kufananisha Kabisa, Hakuna Zama Unyama Ulitamalaki hapa Nchini kama Awamu ya Tano
 
Wale Walioingia na Mtutu Pale Clouds ilikua Zama Za Uncle Nani? Tena Usijaribu Kufananisha Kabisa, Hakuna Zama Unyama Ulitamalaki hapa Nchini kama Awamu ya Tano
Waliua nan wale? Waliua wanawake??
Hivi unajua c kila kifo kilikuwa cha serikali vingine ni order za timu pinzani na vilisukwa haswa.
Lakini mwanangu sana asingekubali miwanajeshi ikaue wanawake ili kuonesha umwamba,
Unaleta umwamba KWA wanawake,nenda gaza huko au ukraine ukakutane na akili zilizochoka ukaziletee umwMba
 
Tanzania tunaitaji hawa wapelekwe hata hapo sudani,wapo kizembe sana,....
Namtaman siku Moja mmoja ajichanganye tuzichape ,maana walishawahi niahibisha sana pale feri pumbavu sana,mbele ya watu wangu wa karbu
 
Wale Walioingia na Mtutu Pale Clouds ilikua Zama Za Uncle Nani? Tena Usijaribu Kufananisha Kabisa, Hakuna Zama Unyama Ulitamalaki hapa Nchini kama Awamu ya Tano
Vingi ni timu upande pwani,lengo ni kupaka mavi kaz nzuri sana
 
Mnatudharaulisha Sana katika kuamua mnakuwa Kama mmekatwa vichwa.
 
Mmefoji vyeti ndio maana hamna akili
 

Jitahidi .
Kazi yako ni nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…