Hapo kichapo kitembee wiki nzima ikifika saa kumi na mbili kila mtu awe ndaniWe Msenche umeambiwa gari liliharibika tairi njiani katoka msenge mwenzio huko anakuja kumwambia kanali atoe gari anamziba njia kwa akili zako za kukata gogo ulitegemea kanali alibebe gari mgongoni aliweke pembeni? Acheni kutoa lawama za kisengesenge, wewe Msenche ungekua wewe ungelibeba gari uliweke pembeni ili mwali mmoja Mrembo apite?
mkuu kenge hasikii mpaka atoke damu kwenye masikio, ingekuwa hawa mbwa wanasikia hakika ajali za bodaboda zingekuwa zimepungua kwa kiasi kikubwa kama siyo kwisha kabisa kwa elimu wanayopewa kila uchao, ila nakuapia ingekuwa boda akiendesha boda kwa mwendo hatarishi anakula viboko 20 hadharani usingekuwa unasikia ajali za boda kila siku,Matatizo kama hayo hayamalizwi kwa vipigo. Jeshi haliwezi kuwa kama komandoo yoso. Zaidi wanazidisha tatizo. Hii siyo zile karne za zamani za kumaliza kila jambo kwa vipigo.
Na huku kitaa mtazidi kuchinjwa kama pigs mkiendeleza huo ushamba na uzezeta wenu kujiona ninyi ndio watu nchi hii wengine takataka , nguruwe maji ninyiMnabidi mpewe lecture za kutosha wengi wenu bichwa zenu hazielewi kitu kuhusu Jeshi, ndio maana Serekali inajitahidi mkimaliza six at least muende mkapewe lecture angalau muelewe Jeshi ni nini
Wewe ilibidi uwe mfano kwa wengine, siku moja utajaa tu kwenye 18 kisha utasimulia endelea kuvimbaNa huku kitaa mtazidi kuchinjwa kama pigs mkiendeleza huo ushamba na uzezeta wenu kujiona ninyi ndio watu nchi hii wengine takataka , nguruwe maji ninyi
Hili neno serikali imetumia pesa nyingi kumtengeneza kanali ni la kijinga sana.Labda nikueleweshe serikali inasomesha watu wake katika kila sekta tena kwa pesa nyingi sana.Imagine Dr bingwa anasomeshwa nchi kama marekani ni ngapi inatumika,au machemica engineer ni pesa ngapi inatumika? Hili neno nalisikia mara kwa mara na wanajeshi mnapenda sana kulitumia kuwa serikali imewagharamia sana.Labda mnashindwa kuelewa hzo pesa zinatokana na kodi za wananchi hawahawa mnaowapiga ovyo sababu ya kuexpress hasira zenu.Lakini pia kama unajijua serikali imekugharamia sana lazima ujue thamani yako.Kanali kupaki gari vibaya barabarani tena akiwa amevaa kuraia na kuanza kupigana na watu wa chini wasio na cha kupoteza ni kutojua thamani yake.All in all nawapa pole wafiwa na marehem apumzike kwa amani.Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Baada ya kushiba supu ya dagaa chuku chuku tumbo likavimba ukaona uje Kuhara hapa JfKesho naenda kambini hapo lugalo huku navuta bangi na kujambajamba hadharani maksudi mbele yao na matusi ya hatarii niking'aka.
Sasa ole wake kenge yoyote athubutu kunisogelea, wadau wote wataacha kufuatilia kinachoendelea huko Gaza kati ya Wateule na waarabu.
Watu wameshachoka kuonewa halafu huwa mnajiona ndiyo kila kitu.Tutawatembezea kichapo mpka waje kuomba msamaha mmoja mmoja pale getini , kwanini uchapwe kibao ukimbilie kisu kwani alionyeshwa bunduki? Tunatandika ili wawe walimu kwa wengine kwamba mkono kwa mkono silaha kwa silaha icho tu
Mkuu achana na mleta mada, yeye anaangalia upande wa mwanajeshi tu kana kwamba wao ni miungu hawawezi kukosea.Lejesheni Heshima ila msiwaumize,msiwaue...tunawaomba wakuu
Tusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu
Sawa!Mjinga koplo usu wewe
Wanajeshi wanaojitambua wanajua mipaka yao. Huyo kanali alijisahau kama ambavyo huwa wanajisahau wote kudhani wako juu ya sheria. Kuwa askari huwa mnawaza jamii inabidi iwajue na kuwanyenyekea hata kama hatuwajui mmevaa kiraia. Tumieni busara sometimes
Anyways huyo boda angeweza fanya hilo tukio kwa yoyote hata kama ni raia ambae ni mwalimu, dokta, injinia au mfanya biashara. Imetokea hiyo and there is nothing special msipige watu l!!!
Kuna mwanaume yeyote atakayekubali umletee dharau mbele ya familia yake?Una ushahidi? Alaf dharau ni kosa kwa mujibu wako na nani mwingine?
Wewe ni mjingaKuna mwanaume yeyote atakayekubali umletee dharau mbele ya familia yake?
Alienda kufuata kisu cha nini? Na kwa nini alimchuma na kisu? Mazoea yamezidi?
Sasa lazima mstari uchorwe uifahamu nafasi yako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watuKesho naenda kambini hapo lugalo huku navuta bangi na kujambajamba hadharani maksudi mbele yao na matusi ya hatarii niking'aka.
Sasa ole wake kenge yoyote athubutu kunisogelea, wadau wote wataacha kufuatilia kinachoendelea huko Gaza kati ya Wateule na waarabu.
Wewe huelewi kinachofanywa hata nikizungumza hapa hitonielewa!Wewe ni mjinga
Sasa kwa akili yako unaona aliyepata hasara zaidi ni watu waliopigwa au kanali aliyekufa
Mm nafikir kwanza mzizi wa tatizo ni ubovu wq mipango miji yetu , ivi kwa ile barabara ya kawe parking ni changamotl. Sana maana vijumba vyenyewe vipo karibu mno ma barabaraTusitete ujinga, Vijana wengi wa kawe wamekuwa na dharau kubwa kwa wanajeshi kwa kuwa wamekaa nao mtaa mmoja, kinachofanyika sasa ni kuleta heshima
Unakuta kijana yupo kijiweni anatambia wenzake kuwa anaweza kuwa mudu wanajeshi, vijana uhuni umekuwa mwingi kiasi kwamba kuna beach zilizopo kule kawe huwezi pita hasa silver beach mchana wanasema hawaogopi kukaba wanaweza mkaba hata mwanajeshi,
Story nyingi za bodaboda ni kuonesha jeuri kwa kuwa wanajeshi wengi wamekuwa abiria wao.
Ujasiri wa kuchukua kisu na kumshambulia mwanajeshi ni kosa kubwa sana..
Serikali imetumia pesa kubwa hadi kumtengeneza kanali huyo
Wengi unaandika kishabiki lakini lugha chafu ya vijana wa kawe hasa bodaboda na waendesha bajaji ni chafu sana, mtu akishavuta bangi zake anaona wote sawa
Mtu yupo katika gari amekwama anajitahidi aondoe gari yake huyo kijana anashuka kwa hasira na kuanza kumfokea kamanda mbele ya familia yake kwa maneno na matusi . Dharau sana hii kijana kuonesha jeuri akaamua afate kisu mjeda alijua issue imeisha anashangaa anadungwa na kisu.
Heshima inabidi irudi. Vijana wanabidi wafundishwe adabu