Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Ni kweli kabisa na hakuna asiye lijua hilo,Tatizo Pesa ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanasoma na ku develop karama zao. 🤣 Hawasomi kuwaza ajira sababu hela ndefu mno ipo. Akimaliza ana develop kitu chake tu.Hao wanasoma sio kutaguta ajira kama mimi na wewe.
Hao tayari kila kitu kiko poa.
Aisee! Tutafute pesa kwa kweliGharama ya kusomesha mtoto mmoja dar braeburn na IST unasomesha watoto kumi kwenye hizo shule ulizotaja
Ukanda huo wa Arusha international schools zipo nyingi je zina quality na standard ya Kimataifa? Tanzania shule ni tatu au nne zenye international standards
1.IST
2. Braeburn
3. HOPAC
4. DIA
Pia mzazi unakutana na wazazi wenye hadhi fulani,connection etcKwa lugha ya wazi ni kwamba, unampeleka mwanao shule ili akatsfute UCHAWA kwa Watoto wa vigogo na matajiri.
Ni kweli, kwenye vikao vya shuleni ukienda kwa miaka mitatu hivi unaweza kupata connection, hata ile tu mtoto wenzake wanakuja kumtembelea ama anaenda kwa wenzake, wazazi mkijuana kuna vitu viki click unakuta umelamba dili.Pia mzazi unakutana na wazazi wenye hadhi fulani,connection etc
Endekeza njaa za uchawa utafirwaPia mzazi unakutana na wazazi wenye hadhi fulani,connection etc
Vipi kuhusu mwarabu?Kama huwez kuongea na Mzungu akakuelewa utaishia kutoa ndagu na kuroga tuu ili upate hela , na utalazimishwa kutembea peku , kulala chooni au kushindia Shati moja forever ....
AsanteEndekeza njaa za uchawa utafirwa
Maisha yanahitaji uwe karibu na watu na kujuana.Endekeza njaa za uchawa utafirwa
Ameshajifunza namna ya kuongea vzur na MzunguVipi kuhusu mwarabu?
Maisha ni kusaidiana, unaweka kitu mezani n mwingine anaweka.Maisha yanahitaji uwe karibu na watu na kujuana.
Hizo ni fikra zako tu. Watu wenye mawazo ya kmasikini ndiyo huwaza kugongwa.
Bro nenda kafanye upya uchunguzi wako ndio urudie ulichosema. Kwanza main campus ya Braeburn ipo arusha na tawi tu ndio lipo dar es salaam. Huwezi kusema Ada mtoto wa IST ni sawa na kusomesha watoto kumi shule kama UWC , KENNEDY HOUSE , AMA HATA ST COSTANTINE achilia mbali BRAEBURN.
Nenda kwenye pages zao utaona tuition fees maaana wenzetu hawafichi Ada. Gharama za mtoto kwenye hizi shule zinatofautiana kwenye grades mtoto aliyopo. Mfano mtoto wa grade 2 hawezi kulipa Sawa na wa grade 6 vivohivo kwa watoto hadi wa high school.
Mfano hii ni fees ya watoto wa primary pale st Constantine
Hakuna tofauti yeyote kati ya st Constantine na braeburn, wote wanafanya Cambridge curriculum. Hata Ada wametofautiana sio pakubwa ki hivyo. Na wasiwasi kama unauelewa mpana kuhusu hizi shule ungekuwa nao usingesema mtoto mmoja wa Braeburn anasomesha watoto 10 wa St Constantine. Upande wa IST ni kweli wanafanya mfumo tofauti kidogo na huu wa Cambridge ndio maana bei zao zipo juu kuliko shule zingine za Cambridge .st, Constantine utafananisha na IST au braeburn . ? Hiyo nayo ni shule Labda shule ya matajiri wa lcheza Vikoba Huko moshi 🥵🥵🥵🥵
Kama unalinganisha ulevi wa Ulaya na Africa wewe ni kichwa maji kabisaaaaaaaaUlevi hâta ulaya upo nimeishi Eindhoven, Rotterdam watu wanapombeka na maendleo yapo
Wewe maskini utapata wapi Hela ya Bia?
Umaskini unakusumbuaKama unalinganisha ulevi wa Ulaya na Africa wewe ni kichwa maji kabisaaaaaaaa
NENDA katembelee Hizo shule alafu uje hapaHakuna Mchagga, Mmasai, Mmeru, Mpare, Mwarusha anaeweza kusomesha mtoto ktk hizo shule, huko Moshi na Arusha jtk hizo shule wapo watoto wa kuhundi, kizungu labda na Waarabu.
Mchagga wa kumpeleka mtoto shule mill 85 hajazaliwa, Mchagga anaijua pesa, Mchagga anamuandaa mtoto wake kuwa mfanyabiashara na sio teller.
Mshahara wa NAPE aufiki zaidi ya 15m mpaka marupurupu pamoja na uwaziri wake hata akimpokea rais wa US kama mfukoni hakusomi vyema .Kuna mashirika hapa Tz yanalipa mpaka 15-40m na ni mtu wa kawaida tu ila ana exposure kubwa sanaMimi sitaki kuamini mkuu.
Hebu cheki Nape alikosoma plus matokeo yake alafu leo anaenda kumpokea Rais wa Sao Tome, Carlos Vila Nova unadhani ni koneksheni ya shule hiyo 😢!.