Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Kujadili mambo ya msingi yanayohusu taifa letu pia ni hatua nzuri unazani Nini kingetokea kama hii nguvu inayotumika na watu kujadili mambo ya simba na yanga ingekutumika upande mwingine Leo hii viongozi wanajichotea tu pesa sababu wanajua hakuna mtu wakuhojiBaada ya hayo mambo yote ya hovyo kutokea wewe ulichukua hatua gani 🤔kama hujafanya chochote hauna haki ya kumkosoa yoyote yule usitupangie cha kufanya