Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Ukatawaze kwanza mkuu
 
Kutaka utawala bora na maisha bora, inatakiwa kuwe na dhamira ya kila mtu toka moyoni. Sasa watanzania wengi, wameridhika na maisha yao ni ngumu kuwabadilisha. Mtu anakwambia nakula ugali na dagaa kwenye amani, sitaki pizza kwenye vita.

Akili za wengi kushinikiza Serikali, maisha bora ni kutaka vita. Tumepiga kelele humu sana, mmeona tunavyojibiwa. Hata leo useme uitishe maandamano, utajikuta mwenyewe. Inabidi kuwabadilisha akili, kuwapa Elimu. Hasa kwa kizazi kipya si wa zamani.
Maisha yakikaza kisawasawa, akili Nazo zitakaa sawa,
Kwa sababu ya ujinga Wetu ndo maana viongozi wa nafanya wanavyopenda wenyewe
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Siku CCM ikitoka madarakani kila kitu kitabadilika na fikra mpya kuchipuka!
 
Watanzania wana changamoto moja,wanaamini hakuna wanachoweza kufanya,ni kama wame surrender na hawaamini kama kunaweza kutokea badiliko lolote kupitia mtu mmoja mmoja,
Zaidi ukijaribu kuongea mambo ya msingi watakuuliza maswali ya kukera na ya kipuuzi wakihisi wanajua kuliko wewe,kuanzia 45.... Kidogo wengi wanajua umuhimu wa mabadiliko
 
Hao madingi wanaeleke added time. Vijana ndio time yao saa hii na future ya watoto wao. Usipotengeneza saa hii then utaishi kama shetani
Huwa nasema naomba sana Mungu aniache niwaone wazee watokanao na gen Z watakuwa wa aina gani
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Uzuri wa Bongo kila mtu anamlaumu mwenzake kuwa hachukui hatua!
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Unatakiwa kuanza wewe Kwa kuonesha mfano sio kusakizia wenzako wewe uko ku chat jf.
 
Tuna amani,tuna mali tuna vijana nguvu kazi lakini hatuna akili pia hatuna uongozi .....kiufupi ni hivyo tu

Nadhani inabidi tuwe colonized tena
 
Kutaka utawala bora na maisha bora, inatakiwa kuwe na dhamira ya kila mtu toka moyoni. Sasa watanzania wengi, wameridhika na maisha yao ni ngumu kuwabadilisha. Mtu anakwambia nakula ugali na dagaa kwenye amani, sitaki pizza kwenye vita.

Akili za wengi kushinikiza Serikali, maisha bora ni kutaka vita. Tumepiga kelele humu sana, mmeona tunavyojibiwa. Hata leo useme uitishe maandamano, utajikuta mwenyewe. Inabidi kuwabadilisha akili, kuwapa Elimu. Hasa kwa kizazi kipya si wa zamani.
But usiwakatie watu tamaa. Watu wanaoonekanaga mazoba huwa wakijanjaruka moto wake kuuzima ni hatari
 
Anza hapa kuzuia majanga ya baadaye.

Kwanza weka sera za kupunguza na kuondoa unwanted pregnancies.

Hawa vijana majanga wengi ni watoto waliozaliwa bila kufuata uzazi wa mpango.

Pelekeni watu shule wachelewe kuzaa. Mtoto akizaliwa, anakuwa na wazazi waliokomaa, sio mtoto anazaa mtoto.

Endelezeni uchumi kuwe na ajira. Suala hili pamoja na elimu yatatatua matatizo mengi sana.

Punguzeni idadi ya watoto m focus kwenye quality of life, sio idadi ya watoto. We are past an agrarian world. Dunia ya leo hakuna haja ya kuzidisha zaidi ya watoto watatu. One for the mother, one for the father and one for the country.This puts you at just over the replacement level.

Hakuna mtu anayependa kuwa failure katika maisha, haya ni matokeo ya mipango mibovu tu.
Nimeipenda sana mkuu ile one for the mother, one for the father and one for the country.

Watanzania bado sana kufikia hapo, wanachojua ni kufyatua watoto tu.
 
Well said. Lakini unafikiri hawa gen hovyo watakuelewa? Jibu ni hawatakuelewa.


Je tufanye nini ila kila mtu apate kuelewa?
Matatizo yaliyotengenezwa kwa miaka na miaka ya malezi mabaya hayawezi kutatuliwa mara moja, yatatatuliwa kwa miaka na miaka ya mipango bora na utekelezaji wake.
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Mkuu Inaumiza sana juzi nilikusa tazara stesheni napanda train ya kigogo fresh.. Sasa Muda tunasubiri train lifike satu makjndi na makundi madam ni skmba na yanga..
Wanashindwa discuss. Mambo ya msingi
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Nchi Bado inamianya ya kupiga kwasababu wajinga ni wengi ila kadri siku zinavyozidi kwenda wajinga wanapungua kwahiyo ni vyema kujanjaruka na kujiwahi mapema ukiwa na akili unaachana na sisi wapiga soga unashika chako unapita ivi mbaka itafika pahala hakuna Mwanya tena mabwenyenye na wajanja wamesha jiwahi ndo utaona watu haoooo wanadai aki zao kama kenya.

Sasa wewe endelea kuangaika na sisi ambao atufikirii future zetu tukishiba makande na yanga akishinda shida nyingine tunamalizia kwa mwamposa apo ciku imepitaaa......... OOOOHHOOOOO UTABAKI
 
Iq ndogo za, raia wa hili taifa .
Motherfvcking monkeys dances to the tunes of their slave masters
 
Ukitaka kujua taifa ni la watu wa aina gani ,sikiliza tu maudhui ya takataka za humu nchini zinazojiita vyombo vya habari ,kuanzia magazeti , radio ,tv stations NK
Ni mavi matupu
 
Mazingira, Genetics, history, religions
Watanzania wengi ni mataahira na maiti zinazotembea , hamna watu humu bali mazombie tu .
Jitu zima na vinyweleo kama steel wires kwenye sehemu za siri ,kutwa nzima linaongea mambo ya kipumbavu ,Simba na Yanga kila muda .
Yaani hili taifa si mkubwa si mdogo wote akili zinalingana na products hizi ndio reflection ya Hawa mataahira wanaofika kwenye nyadhifa za uongozi na kila siku tunaishia kupiga kelele humu kumbe ni product na reflection ya jamii nzima ilivyo .
Misingi ya hili taifa imeharibika muda mrefu sana ,sasa hivi tunachokiona ni matokeo ya failure .
Ni sawa na kujenga ghorofa kwenye msingi wa tope
 
Back
Top Bottom