Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Vijana tumekuwa hopeless sana, yaani inasikitisha sana
Mtu atakuambia. Katiba mpya, bunge, serikali haitaleta ugali mezani kwangu.

Danm hajui hao nio policy makers wanao influence kila kitu. Na utakuta ni graduate.
 
Wazee mda wao umeenda bro. It doesnt matter umekua aje. Ina matter what you see an perceive in the actuality.

Tuendelee kuwa wa hovyo kwakuwa our parents walizembea?
Ni hivi, huwezi kulaumu vijana bila kuangalia walivyolelewa.

Hakuna kijana aliyejizaa.

It is as simple as that.
 
Vyema sana una akili. Basi nakuomba utuonyeshe pakuanzia nawewe Hadi hapa umefikia wapi? Ahsantee sana
Mpaka hapa nilipofika nimeanzisha uzi JF wewe umefanya nini zaidi ya kusubiri vitumbua vya kodi zetu hapo Lumumba?

Tell me leo hii umeisaidiaje hii nchi?
 
Ni hivi, huwezi kulaumu vijana bila kuangalia walivyolelewa.

Hakuna kijana aliyejizaa.

It is as simple as that.
Yeah as simple as it is. So should we dwell in the past? Are going to try to deal with things we can not change or should we focus on the present.

What is your opinion bro?
 
Mtoa mada huna tofauti na nyani yaani unalaumu watanzania kama vile wewe sio mtanzania na hakuna ulichofanya zaidi ya kubwata humu Kwa sababu ya umasikini wako
 
I always wonder. Ni nini kinafanya watu wa hii nchi wawe wajinga kiasi hiki? Na ni lini watapata akili?

Ninapokuwa around watu nasikia tu simba yanga na ujinga kaa huo. Watu hawana content ni upuuzi tu ambao hau make sense
Hili swala la simba na yanga nimeona sana dar es salam, Lakin mikoani Kuna afadhali, angalau vijana wanapambana kimaisha kweli kweli.

Vijana wa Dar wanajadili simba na yanga kutwa nzima wakitoka hapo wanatafuta mishangazi ya kuwaLea MaIsha yaende
 
Mpaka hapa nilipofika nimeanzisha uzi JF wewe umefanya nini zaidi ya kusubiri vitumbua vya kodi zetu hapo Lumumba?

Tell me leo hii umeisaidiaje hii nchi?
Mkuu kwanza elewa sipingani nawewe. Ulichosema ni kweli haswa

Tembelea nyuzi nyingi tu za kwangu nikipinga na kukemea wizi unaofanywa na watishi wa uma

Ipo I'd yangu Moja ni special kutoa malalamiko humu jukwaani.

Kuanzisha Uzi ni jambo jema sana lkn mara zote tunaona vijana wenzetu hawana muda huo na wanaonekana kupinga mawazo kama haya hadharani.

Hata sisi tunao sema na tunaishia kusema tu paspo kuchukua vitendo.
 
Hili swala la simba na yanga nimeona sana dar es salam, Lakin mikoani Kuna afadhali, angalau vijana wanapambana kimaisha kweli kweli.

Vijana wa Dar wanajadili simba na yanga kutwa nzima wakitoka hapo wanatafuta mishangazi ya kuwaLea MaIsha yaende
Bushmamalai. Si tu Dar mimi nipo mkoani. Kilichonisukuma kuandika hapa ni kwasababu naona huku nilipo kila sekunde ni hayo mambo tu wakati mimi nafuatilia X mambo yanayoendelea unajikuta kunae raia anaanza kukuambia mambo ya kiwaki
 
Wazee mda wao umeenda bro. It doesnt matter umekua aje. Ina matter what you see an perceive in the actuality.

Tuendelee kuwa wa hovyo kwakuwa our parents walizembea?
Sio kwamba tunakuwa wa hovyo kwasababu wazazi walizembea, ni kutokana na historia ya tulipokuzwa na tulivyokuzwa, kama umekuzwa wazazi wanaongelea mpira na dini tu kuna uwezekano mdogo sana wa wewe kuchukua mkondo tofauti na huo, kama umekuzwa mahali watu wanapenda kusoma uwezekano wa wewe kufuata mkondo huo ni mkubwa zaidi, ukikuzwa uswahilini uwezekano wa kuwa mtu wa ngoma, muziki na vigodoro ni mkubwa zaidi.
 
Ni hivi, huwezi kulaumu vijana bila kuangalia walivyolelewa.

Hakuna kijana aliyejizaa.

It is as simple as that.
Hata kama walikosa malezi Ila shule wakaPata ,je hiyo shule Haiwezi mbadilisha akatoka ndani ya boksi?
 
Yeah as simple as it is. So should we dwell in the past? Are going to try to deal with things we can not change or should we focus on the present.

What is your opinion bro?
Anza hapa kuzuia majanga ya baadaye.

Kwanza weka sera za kupunguza na kuondoa unwanted pregnancies.

Hawa vijana majanga wengi ni watoto waliozaliwa bila kufuata uzazi wa mpango.

Pelekeni watu shule wachelewe kuzaa. Mtoto akizaliwa, anakuwa na wazazi waliokomaa, sio mtoto anazaa mtoto.

Endelezeni uchumi kuwe na ajira. Suala hili pamoja na elimu yatatatua matatizo mengi sana.

Punguzeni idadi ya watoto m focus kwenye quality of life, sio idadi ya watoto. We are past an agrarian world. Dunia ya leo hakuna haja ya kuzidisha zaidi ya watoto watatu. One for the mother, one for the father and one for the country.This puts you at just over the replacement level.

Hakuna mtu anayependa kuwa failure katika maisha, haya ni matokeo ya mipango mibovu tu.
 
Sio kwamba tunakuwa wa hovyo kwasababu wazazi walizembea, ni kutokana na historia ya tulipokuzwa na tulivyokuzwa, kama umekuzwa wazazi wanaongelea mpira na dini tu kuna uwezekano mdogo sana wa wewe kuchukua mkondo tofauti na huo, kama umekuzwa mahali watu wanapenda kusoma uwezekano wa wewe kufuata mkondo huo ni mkubwa zaidi, ukikuzwa uswahilini uwezekano wa kuwa mtu wa ngoma, muziki na vigodoro ni mkubwa zaidi.
Imekuwa trend. Haijalishi mtu amakulia wapi
 
Anza hapa kuzuia majanga ya baadaye.

Kwanza weka sera za kupunguza na kuondoa unwanted pregnancies.

Hawa vijana majanga wengi ni watoto waliozaliwa bila kufuata uzazi wa mpango.

Pelekeni watu shule wachelewe kuzaa. Mtoto akizaliwa, anakuwa na wazazi waliokomaa, sio mtoto anazaa mtoto.

Endelezeni uchumi kuwe na ajira. Suala hili pamoja na elimu yatatatua matatizo mengi sana.

Punguzeni idadi ya watoto m focus kwenye quality of life, sio idadi ya watoto. We are past an agrarian world. Dunia ya leo hakuna haja ya kuzidisha zaidi ya watoto watatu. One for the mother, one for the father and one for the country.This puts you at just over the replacement level.

Hakuna mtu anayependa kuwa failure katika maisha, haya ni matokeo ya mipango mibovu tu.
Well said. Lakini unafikiri hawa gen hovyo watakuelewa? Jibu ni hawatakuelewa.


Je tufanye nini ila kila mtu apate kuelewa?
 
Back
Top Bottom