Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Ni lini utapata akili na kujitambua msee? Ni lini au ni mpaka iwe nini?
Jamaa kaongea la maana sana bro.
Kama ukifungua akili utamuelewa amemaanisha nini.
WATU sio kama hawajielewi ama hawajitambui bali mfumo uliopo kuupinga hakuzai matunda yeyote.
We jitafutie zako tu ugali na familia yako period.
 
Ni lini utapata akili na kujitambua msee? Ni lini au ni mpaka iwe nini?
Watakuja kukuambia, "Tuna amani..Inatosha".

Hakika elimu inayotolewa na serikali ya ccm ni ya kimkakati kwa lengo la kuidumisha ccm madarakani.
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Vijana wa cku hizi hawaelewi wala kujielewa wapo hovyo mno!
 
Hayo mambo hayabadiliki kirahisi, japo wengi hawapendi kusikia lakini ukweli ni kwamba wakati mwingine mabadiliko nayo ni bahati, kuna siku inawezekana watu aina ye Lee Kuan Yew wanaweza kubahitika kushika mpini mambo yakabadilka kabisa
Kwa faida ya wote
 
We Apollo mbona umeamka na hasira?
Bongo ukipata channel ya maaana piga mishindo tembea mbele
Sasa wewe ndio umeongea eiwaaaah!!
Bongo ni nchi ya kula kwa urefu wa rope yako basi.
Ukifanikisha unatembea mbele.
 
Mleta Uzi kaeleza wazi kuwa hatudili na mambo ya msingi japo tunakandamizwa na kubwa lkn hayo hatuna habar nayo.......... Anasema tuna Dili na mambo ya hivyo yasiyokuwa na tija Wala kuleta mabadiriko.

Anakiri wazi kuwa tupo busy kumfuatilia Simba na yanga
Diamond na harmonize nk isipokuwa mambo ya msingi

Hadi hapo unataka Nini mkuu?
Bado hujajijua shida iliyopo?

Je vibopa waendelee kula Mali za uma watakavyo?

Je hizi Kodi ni halali?

CAG Kila anapotoa list ya mbalioni kupoibwa na mengine kupotea na wahusika bila kuchukiliwa hatua ni sahihi?

Je kuandamana Kwa amani kudai haki Zenu ni kosa?

Wingeleza hawafanyi hivyo na kwingine kote?
Sawa.kudili na mambo ya msingi tudili nayo vipi?wakati kama kelele kila siku zinapigwa lakini hakuna anayesikia.
Mnataka tudili nayo ki namna gani sasa.maana maneno yameshindwa.
Panga unalo?
Shoka unalo?
 
Mkuu kuna vitu viwili ukijaribu kufanya katika hili taifa ni sawa na KAZI BURE.
1)Uzalendo.
2)Siasa safi/uadilifu.
Hili taifa halina shukurani na wala halieleweki.Jikute mzalendo tukuokote kwa Kiroba ama jikute muadilifu tukuzike.
Usidhani kama wafu hawaoni ama hawasikii ama hawajui Madudu yanayoendelea,ila swali ni je wakiamua kuchukua hatua yatasikilizwa hayo madai yao na effort zao zitakua productive!!??
Kwa bongo hii jibu ni BIG NO,ndio maana unaona raia wanaamua kuridhika na maisha muhimman wanapata ugali kwa amani maisha yanaendelea.
Hata wewe nakushauri masuala ya uongozi wa hili taifa achana nayo,jitafutie ugali tena ukifanikiwa ikiwezekana hama hata nchi ama hama Afirka kiujumla.
Jirani zetu Kenya hao hapo zaidi ya mwezi mmoja wameandamana na mamia ya vijana kufariki hadi mwandishi wa habari kufariki ila maandamano hayakuzaa matunda.
Halafu BANGLADESH WATU wameandamana Wiki moja tu wamemtoa waziri mkuu Sheikh Hasina madarakani,wakati wanaandamana wanajeshi na polisi walikataa kuungana na waziri mkuu wakaungana na raia.
Ila Afrika is differente.
Kaka tubakie tu kuzungumzia Simba na Yanga.
😒
 
Sawa.kudili na mambo ya msingi tudili nayo vipi?wakati kama kelele kila siku zinapigwa lakini hakuna anayesikia.
Mnataka tudili nayo ki namna gani sasa.maana maneno yameshindwa.
Panga unalo?
Shoka unalo?
Wenzetu wanadiri nayo vipi nimekuwekea mfano hata wingereza , German na hata Kenya pale wanadili vipi? Je tumewahi andamana kudai na kupinga hayo?

Wewe unajua kushika mapanga ama shoka ndo maandamano yenyewe ama vita?
 
Back
Top Bottom