Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Hongera sana Kwa kuwa na akiri. Nakuomba utuonyeshe pakuanzia mkuu sisi wajingaMimi sio mjinga. Nina akili na uelewa wa kila kitu. Hebu niulize kitu hata kuhusu rocket science
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana Kwa kuwa na akiri. Nakuomba utuonyeshe pakuanzia mkuu sisi wajingaMimi sio mjinga. Nina akili na uelewa wa kila kitu. Hebu niulize kitu hata kuhusu rocket science
Mzee unaeza enda doro na huyo bwanako tu bado hapajakuchaMzee kwani Kuna mtu ulie kuja nae hapa duniani mbona unalaumu watu Kwa umasikini wako wakati watu wanaishi maisha yao
ww unaishi maisha yako bila watu? hizi ndizo akili cmc wanazipenda washasambaratisha uwezo wa kufikiriIshi maisha Yako mzee hamna mtu uliekuja nae duniani Kila mtu kaja kivyake
Jamaa kaongea la maana sana bro.Ni lini utapata akili na kujitambua msee? Ni lini au ni mpaka iwe nini?
Ni mtanza mwenye nia nilieishi KE kwa mda kidogo.Wewe ni Mtanzania? Naona kama unaandika kiswahili cha Kikenya!
Watakuja kukuambia, "Tuna amani..Inatosha".Ni lini utapata akili na kujitambua msee? Ni lini au ni mpaka iwe nini?
Vijana wa cku hizi hawaelewi wala kujielewa wapo hovyo mno!Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'
Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.
Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.
Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?
Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?
Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?
Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?
Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?
I still wonder.
Ni lini?
Pambana na maisha Yako njaa zako unakuja kulaumu wengineMzee unaeza enda doro na huyo bwanako tu bado hapajakucha
Wewe mkeo ataolewa kabla hata hujafa.Hongera sana Kwa kuwa na akiri. Nakuomba utuonyeshe pakuanzia mkuu sisi wajinga
Hayo mambo hayabadiliki kirahisi, japo wengi hawapendi kusikia lakini ukweli ni kwamba wakati mwingine mabadiliko nayo ni bahati, kuna siku inawezekana watu aina ye Lee Kuan Yew wanaweza kubahitika kushika mpini mambo yakabadilka kabisa
Sasa wewe ndio umeongea eiwaaaah!!We Apollo mbona umeamka na hasira?
Bongo ukipata channel ya maaana piga mishindo tembea mbele
Sawa.kudili na mambo ya msingi tudili nayo vipi?wakati kama kelele kila siku zinapigwa lakini hakuna anayesikia.Mleta Uzi kaeleza wazi kuwa hatudili na mambo ya msingi japo tunakandamizwa na kubwa lkn hayo hatuna habar nayo.......... Anasema tuna Dili na mambo ya hivyo yasiyokuwa na tija Wala kuleta mabadiriko.
Anakiri wazi kuwa tupo busy kumfuatilia Simba na yanga
Diamond na harmonize nk isipokuwa mambo ya msingi
Hadi hapo unataka Nini mkuu?
Bado hujajijua shida iliyopo?
Je vibopa waendelee kula Mali za uma watakavyo?
Je hizi Kodi ni halali?
CAG Kila anapotoa list ya mbalioni kupoibwa na mengine kupotea na wahusika bila kuchukiliwa hatua ni sahihi?
Je kuandamana Kwa amani kudai haki Zenu ni kosa?
Wingeleza hawafanyi hivyo na kwingine kote?
Gari ambayo imetembea 1000 km ikipelekwa sokoni huwa ni 0 km.Mambo ya nchi pambana nayo wewe ambaye ni masikini usilazimishe Kila mtu ajiangaishe na ujinga
😒Mkuu kuna vitu viwili ukijaribu kufanya katika hili taifa ni sawa na KAZI BURE.
1)Uzalendo.
2)Siasa safi/uadilifu.
Hili taifa halina shukurani na wala halieleweki.Jikute mzalendo tukuokote kwa Kiroba ama jikute muadilifu tukuzike.
Usidhani kama wafu hawaoni ama hawasikii ama hawajui Madudu yanayoendelea,ila swali ni je wakiamua kuchukua hatua yatasikilizwa hayo madai yao na effort zao zitakua productive!!??
Kwa bongo hii jibu ni BIG NO,ndio maana unaona raia wanaamua kuridhika na maisha muhimman wanapata ugali kwa amani maisha yanaendelea.
Hata wewe nakushauri masuala ya uongozi wa hili taifa achana nayo,jitafutie ugali tena ukifanikiwa ikiwezekana hama hata nchi ama hama Afirka kiujumla.
Jirani zetu Kenya hao hapo zaidi ya mwezi mmoja wameandamana na mamia ya vijana kufariki hadi mwandishi wa habari kufariki ila maandamano hayakuzaa matunda.
Halafu BANGLADESH WATU wameandamana Wiki moja tu wamemtoa waziri mkuu Sheikh Hasina madarakani,wakati wanaandamana wanajeshi na polisi walikataa kuungana na waziri mkuu wakaungana na raia.
Ila Afrika is differente.
Kaka tubakie tu kuzungumzia Simba na Yanga.
Daaah, unaongea Kikenya kabisa ndugu. Ok karibu Tanzania.Ni mtanza mwenye nia nilieishi KE kwa mda kidogo.
Sina 'akiri' nina akiliHongera sana Kwa kuwa na akiri. Nakuomba utuonyeshe pakuanzia mkuu sisi wajinga
Hapana ni kiswahili hikiDaaah, unaongea Kikenya kabisa ndugu. Ok karibu Tanzania.
Wenzetu wanadiri nayo vipi nimekuwekea mfano hata wingereza , German na hata Kenya pale wanadili vipi? Je tumewahi andamana kudai na kupinga hayo?Sawa.kudili na mambo ya msingi tudili nayo vipi?wakati kama kelele kila siku zinapigwa lakini hakuna anayesikia.
Mnataka tudili nayo ki namna gani sasa.maana maneno yameshindwa.
Panga unalo?
Shoka unalo?
Vijana tumekuja kuwa aje?Vijana wa cku hizi hawaelewi wala kujielewa wapo hovyo mno!