Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Mitanzania ni mijinga totally kuanzia Mimi unafuatia wewe na wengine wote.
 
kwa hyo mleta mada unataka tubebe mapanga na mashoka tuingie mtaani?
Au una shauri nini?
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Vijana wote wamelelewa na wazee wao, kwa hiyo kama kuna lawama, anza na wazee waliowalea.
 
Elimu ya kukariri ili ujibie mtihani haiwezi kuwa elimu, asilimia zaidi ya 75 ya graduates wengi katika hii nchi vichwa vyao vimejaa mambo ya entertainment tu kama sio muziki basi mpira na ndio vitu ambavyo wanaweza kuvizungumzia vizuri kuliko current issues zinazohusu masuala mbalimbali ya kinchi... mtu ukimuuliza mambo hayo ya msingi anakuambia aah hivyo mimi sio vitu vyangu.

Sasa kwa mtu wa namna hiyo utamwambia areact kwenye nini wakati hata yanayoendelea hayajui kwa hiyo ili umuamshe umguse panapo muhusu.
Mambo ya nchi pambana nayo wewe ambaye ni masikini usilazimishe Kila mtu ajiangaishe na ujinga
 
Elimu ya kukariri ili ujibie mtihani haiwezi kuwa elimu, asilimia zaidi ya 75 ya graduates wengi katika hii nchi vichwa vyao vimejaa mambo ya entertainment tu kama sio muziki basi mpira na ndio vitu ambavyo wanaweza kuvizungumzia vizuri kuliko current issues zinazohusu masuala mbalimbali ya kinchi... mtu ukimuuliza mambo hayo ya msingi anakuambia aah hivyo mimi sio vitu vyangu.

Sasa kwa mtu wa namna hiyo utamwambia areact kwenye nini wakati hata yanayoendelea hayajui kwa hiyo ili umuamshe umguse panapo muhusu.
Damn inasikitisha sana bro. Niko around watu ambao wanajadili upuuzi mtupu. Kila ukiwakuta ni chama, sijui mkulu yanga simba. Hawajui hata kama kuna siku ya vijana duniani. Hawajui hata kama Mbowe yupo cell, hawajui hata kama Biteko amesababisha usumbufu Geita kisa msafara. Hawajui hata saa hii presda yupo kwa tolu.

Ni kelele
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
watawala walishaligundua hilo mapema wakaamua kusomeaha watoto wao shule nzuri wakaamua kuishi kifahari na wanajua wanapotoa tshirt na kanga mchezo umekwisha...

tz kamwe hatuwezi kubadilika maana hatutaki kubadilika ni ngumu maiti kufufuka mkuu maana hata tukisema gen z (gen hovyo) wa hapa wana maono gani utakuta ni bhange mirungi pombe wanawake sasa jamii ya hivi haiwezi jua thamani ya bandari ngorongoro wala mali yoyote tuliyonayo....
 
Damn inasikitisha sana bro. Niko around watu ambao wanajadili upuuzi mtupu. Kila ukiwakuta ni chama, sijui mkulu yanga simba. Hawajui hata kama kuna siku ya vijana duniani. Hawajui hata kama Mbowe yupo cell, hawajui hata kama Biteko amesababisha usumbufu Geita kisa msafara. Hawajui hata saa hii presda yupo kwa tolu.

Ni kelele
Mzee kwani Kuna mtu ulie kuja nae hapa duniani mbona unalaumu watu Kwa umasikini wako wakati watu wanaishi maisha yao
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Wewe ni Mtanzania? Naona kama unaandika kiswahili cha Kikenya!
 
Ili watanzania tuwe na akili unataka tuletewe bunduki tuingie mitaani.?
Au unashauri nini?msiishie tu kulaumu.
Mtoe NA SULUHISHO.ndo mtaonekana mna akili
mkuu kwa mifumo kandamizi tuliyo nayo ukitoa suluhisho watawala wanaona nyani huyu kayachoka maisha ya kwenye zoo
 
watawala walishaligundua hilo mapema wakaamua kusomeaha watoto wao shule nzuri wakaamua kuishi kifahari na wanajua wanapotoa tshirt na kanga mchezo umekwisha...

tz kamwe hatuwezi kubadilika maana hatutaki kubadilika ni ngumu maiti kufufuka mkuu maana hata tukisema gen z (gen hovyo) wa hapa wana maono gani utakuta ni bhange mirungi pombe wanawake sasa jamii ya hivi haiwezi jua thamani ya bandari ngorongoro wala mali yoyote tuliyonayo....
Ishi maisha Yako mzee hamna mtu uliekuja nae duniani Kila mtu kaja kivyake
 
How are we going to change that?
Hayo mambo hayabadiliki kirahisi, japo wengi hawapendi kusikia lakini ukweli ni kwamba wakati mwingine mabadiliko nayo ni bahati, kuna siku inawezekana watu aina ye Lee Kuan Yew wanaweza kubahitika kushika mpini mambo yakabadilka kabisa

Mazingira pia yanabadilika, japo ni suala la muda mrefu sana lakini rasilimali nyingi tulizo nazo zitapungua sana na kuondoa faida ya rasilimali inayowafanya watu kuwa relaxed, hapo itawalazimu wengi kutumia bongo zao zaidi kuendesha maisha

Historia na tamaduni navyo vinabadilika kutokana na athari ya mabadiliko ya nje, migration za watu, kubadilika kwa makundi ya umri(demographic shifts)
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Mkuu kuna vitu viwili ukijaribu kufanya katika hili taifa ni sawa na KAZI BURE.
1)Uzalendo.
2)Siasa safi/uadilifu.
Hili taifa halina shukurani na wala halieleweki.Jikute mzalendo tukuokote kwa Kiroba ama jikute muadilifu tukuzike.
Usidhani kama watu hawaoni ama hawasikii ama hawajui Madudu yanayoendelea,ila swali ni je wakiamua kuchukua hatua yatasikilizwa hayo madai yao na effort zao zitakua productive!!??
Kwa bongo hii jibu ni BIG NO,ndio maana unaona raia wanaamua kuridhika na maisha muhimman wanapata ugali kwa amani maisha yanaendelea.
Hata wewe nakushauri masuala ya uongozi wa hili taifa achana nayo,jitafutie ugali tena ukifanikiwa ikiwezekana hama hata nchi ama hama Afirka kiujumla.
Jirani zetu Kenya hao hapo zaidi ya mwezi mmoja wameandamana na mamia ya vijana kufariki hadi mwandishi wa habari kufariki ila maandamano hayakuzaa matunda.
Halafu BANGLADESH WATU wameandamana Wiki moja tu wamemtoa waziri mkuu Sheikh Hasina madarakani,wakati wanaandamana wanajeshi na polisi walikataa kuungana na waziri mkuu wakaungana na raia.
Ila Afrika is differente.
Kaka tubakie tu kuzungumzia Simba na Yanga.
 
Ili watanzania tuwe na akili unataka tuletewe bunduki tuingie mitaani.?
Au unashauri nini?msiishie tu kulaumu.
Mtoe NA SULUHISHO.ndo mtaonekana mna akili
Mleta Uzi kaeleza wazi kuwa hatudili na mambo ya msingi japo tunakandamizwa na kubwa lkn hayo hatuna habar nayo.......... Anasema tuna Dili na mambo ya hivyo yasiyokuwa na tija Wala kuleta mabadiriko.

Anakiri wazi kuwa tupo busy kumfuatilia Simba na yanga
Diamond na harmonize nk isipokuwa mambo ya msingi

Hadi hapo unataka Nini mkuu?
Bado hujajijua shida iliyopo?

Je vibopa waendelee kula Mali za uma watakavyo?

Je hizi Kodi ni halali?

CAG Kila anapotoa list ya mbalioni kupoibwa na mengine kupotea na wahusika bila kuchukiliwa hatua ni sahihi?

Je kuandamana Kwa amani kudai haki Zenu ni kosa?

Wingeleza hawafanyi hivyo na kwingine kote?
 
watawala walishaligundua hilo mapema wakaamua kusomeaha watoto wao shule nzuri wakaamua kuishi kifahari na wanajua wanapotoa tshirt na kanga mchezo umekwisha...

tz kamwe hatuwezi kubadilika maana hatutaki kubadilika ni ngumu maiti kufufuka mkuu maana hata tukisema gen z (gen hovyo) wa hapa wana maono gani utakuta ni bhange mirungi pombe wanawake sasa jamii ya hivi haiwezi jua thamani ya bandari ngorongoro wala mali yoyote tuliyonayo....
Hatuwezi enda mbele. Tuamke
 
Back
Top Bottom