Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitanzania ni mijinga totally kuanzia Mimi unafuatia wewe na wengine wote.Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'
Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.
Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.
Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?
Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?
Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?
Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?
Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?
I still wonder.
Ni lini?
Vijana wote wamelelewa na wazee wao, kwa hiyo kama kuna lawama, anza na wazee waliowalea.Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'
Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.
Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.
Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?
Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?
Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?
Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?
Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?
I still wonder.
Ni lini?
Bora wewe mkuu umekua mkweli kabisa,na nakuunga mkono kua ukifa mke wako asiolewe Nikifa MkeWangu AsioleweMitanzania ni mijinga totally kuanzia Mimi unafuatia wewe na wengine wote.
Mambo ya nchi pambana nayo wewe ambaye ni masikini usilazimishe Kila mtu ajiangaishe na ujingaElimu ya kukariri ili ujibie mtihani haiwezi kuwa elimu, asilimia zaidi ya 75 ya graduates wengi katika hii nchi vichwa vyao vimejaa mambo ya entertainment tu kama sio muziki basi mpira na ndio vitu ambavyo wanaweza kuvizungumzia vizuri kuliko current issues zinazohusu masuala mbalimbali ya kinchi... mtu ukimuuliza mambo hayo ya msingi anakuambia aah hivyo mimi sio vitu vyangu.
Sasa kwa mtu wa namna hiyo utamwambia areact kwenye nini wakati hata yanayoendelea hayajui kwa hiyo ili umuamshe umguse panapo muhusu.
Ili watanzania tuwe na akili unataka tuletewe bunduki tuingie mitaani.?Mitanzania ni mijinga totally kuanzia Mimi unafuatia wewe na wengine wote.
Ahsantee sana Kwa kuniunga mkono mkuuBora wewe mkuu umekua mkweli kabisa,na nakuunga mkono kua ukifa mke wako asiolewe Nikifa MkeWangu Asiolewe
Damn inasikitisha sana bro. Niko around watu ambao wanajadili upuuzi mtupu. Kila ukiwakuta ni chama, sijui mkulu yanga simba. Hawajui hata kama kuna siku ya vijana duniani. Hawajui hata kama Mbowe yupo cell, hawajui hata kama Biteko amesababisha usumbufu Geita kisa msafara. Hawajui hata saa hii presda yupo kwa tolu.Elimu ya kukariri ili ujibie mtihani haiwezi kuwa elimu, asilimia zaidi ya 75 ya graduates wengi katika hii nchi vichwa vyao vimejaa mambo ya entertainment tu kama sio muziki basi mpira na ndio vitu ambavyo wanaweza kuvizungumzia vizuri kuliko current issues zinazohusu masuala mbalimbali ya kinchi... mtu ukimuuliza mambo hayo ya msingi anakuambia aah hivyo mimi sio vitu vyangu.
Sasa kwa mtu wa namna hiyo utamwambia areact kwenye nini wakati hata yanayoendelea hayajui kwa hiyo ili umuamshe umguse panapo muhusu.
watawala walishaligundua hilo mapema wakaamua kusomeaha watoto wao shule nzuri wakaamua kuishi kifahari na wanajua wanapotoa tshirt na kanga mchezo umekwisha...Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'
Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.
Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.
Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?
Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?
Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?
Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?
Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?
I still wonder.
Ni lini?
Mzee kwani Kuna mtu ulie kuja nae hapa duniani mbona unalaumu watu Kwa umasikini wako wakati watu wanaishi maisha yaoDamn inasikitisha sana bro. Niko around watu ambao wanajadili upuuzi mtupu. Kila ukiwakuta ni chama, sijui mkulu yanga simba. Hawajui hata kama kuna siku ya vijana duniani. Hawajui hata kama Mbowe yupo cell, hawajui hata kama Biteko amesababisha usumbufu Geita kisa msafara. Hawajui hata saa hii presda yupo kwa tolu.
Ni kelele
Wewe ni Mtanzania? Naona kama unaandika kiswahili cha Kikenya!Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'
Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.
Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.
Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?
Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?
Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?
Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?
Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?
I still wonder.
Ni lini?
mkuu kwa mifumo kandamizi tuliyo nayo ukitoa suluhisho watawala wanaona nyani huyu kayachoka maisha ya kwenye zooIli watanzania tuwe na akili unataka tuletewe bunduki tuingie mitaani.?
Au unashauri nini?msiishie tu kulaumu.
Mtoe NA SULUHISHO.ndo mtaonekana mna akili
Ishi maisha Yako mzee hamna mtu uliekuja nae duniani Kila mtu kaja kivyakewatawala walishaligundua hilo mapema wakaamua kusomeaha watoto wao shule nzuri wakaamua kuishi kifahari na wanajua wanapotoa tshirt na kanga mchezo umekwisha...
tz kamwe hatuwezi kubadilika maana hatutaki kubadilika ni ngumu maiti kufufuka mkuu maana hata tukisema gen z (gen hovyo) wa hapa wana maono gani utakuta ni bhange mirungi pombe wanawake sasa jamii ya hivi haiwezi jua thamani ya bandari ngorongoro wala mali yoyote tuliyonayo....
Hayo mambo hayabadiliki kirahisi, japo wengi hawapendi kusikia lakini ukweli ni kwamba wakati mwingine mabadiliko nayo ni bahati, kuna siku inawezekana watu aina ye Lee Kuan Yew wanaweza kubahitika kushika mpini mambo yakabadilka kabisaHow are we going to change that?
Wazee mda wao umeenda bro. It doesnt matter umekua aje. Ina matter what you see an perceive in the actuality.Vijana wote wamelelewa na wazee wao, kwa hiyo kama kuna lawama, anza na wazee waliowalea.
Mimi sio mjinga. Nina akili na uelewa wa kila kitu. Hebu niulize kitu hata kuhusu rocket scienceMitanzania ni mijinga totally kuanzia Mimi unafuatia wewe na wengine wote.
Mkuu kuna vitu viwili ukijaribu kufanya katika hili taifa ni sawa na KAZI BURE.Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'
Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.
Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.
Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?
Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?
Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?
Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?
Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?
I still wonder.
Ni lini?
Mleta Uzi kaeleza wazi kuwa hatudili na mambo ya msingi japo tunakandamizwa na kubwa lkn hayo hatuna habar nayo.......... Anasema tuna Dili na mambo ya hivyo yasiyokuwa na tija Wala kuleta mabadiriko.Ili watanzania tuwe na akili unataka tuletewe bunduki tuingie mitaani.?
Au unashauri nini?msiishie tu kulaumu.
Mtoe NA SULUHISHO.ndo mtaonekana mna akili
Hatuwezi enda mbele. Tuamkewatawala walishaligundua hilo mapema wakaamua kusomeaha watoto wao shule nzuri wakaamua kuishi kifahari na wanajua wanapotoa tshirt na kanga mchezo umekwisha...
tz kamwe hatuwezi kubadilika maana hatutaki kubadilika ni ngumu maiti kufufuka mkuu maana hata tukisema gen z (gen hovyo) wa hapa wana maono gani utakuta ni bhange mirungi pombe wanawake sasa jamii ya hivi haiwezi jua thamani ya bandari ngorongoro wala mali yoyote tuliyonayo....