Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Kulikoni
 
Hii nchi hatuwezi ku focus kwenye masuala ya msingi kabisa. Tunayumbishwa na vitu vya hovyo sana ndio maana tunatakiwa kuitwa 'Gen Hovyo'

Watu wanapotea bila taarifa, wanatekwa hovyo hovyo, wanakamatwa na tanpol bila sababu za msingi, constitution inabakwa out in the open. Kodi/tozo zimekuwa kandamizi kila raia anaumia lakini hao hao kila mahali ni kuongelea Simba na Yanga and such shit.

Kila mahali ni kuongelea mambo ya kipuuzi kama leaking za video chafu za watu maarufu na wasiokuwa na umaarufu.

Najiuliza tutafika lini? Kama akili za wengi zimejaa ujinga na hasa wengi wakiwa ni graduates wanaotarajia kupata ajira zenye haziko ni lini mtapata akili?

Ni lini mtagundua hizo decoy moves za mofo politicos na kupata akili?

Ni lini mtaacha kuyumbishwa na hizi petty issues za Simba, Yanga, Diamond and such trash?

Ni lini mtakuja kupata ufahamu kuwa tunapigwa pakubwa na hawa ma pinji wenye wanasanya kwenye majasho yenu?

Ni lini? Au ni mpaka iwe nini?

I still wonder.

Ni lini?
Ni kweli kuna balaa kubwa. Unakuta kijana anaamka asubuhi anamzungumzia Diamond na Zuchu. !!??
 
Wabongo kila mtu analalamika tu,ukisoma comments za huu uzi utasema wachangiaji ni wakutoka nje ya Bongo coz kila mtu analaumu wenzake!!

Wewe mleta mada umeshachukua hatua gani so far? Be the change that u want to see,usisubiri kufanyiwa na wengine.
 
Wabongo kila mtu analalamika tu,ukisoma comments za huu uzi utasema wachangiaji ni wakutoka nje ya Bongo coz kila mtu analaumu wenzake!!

Wewe mleta mada umeshachukua hatua gani so far? Be the change that u want to see,usisubiri kufanyiwa na wengine.
I am the change, and I know it starts with me. Shida hunijui so huwezi elewa.

Na wewe anza
 
Kila mbongo anamlalamikia mwenzie kama hili litoa mada sijui linataka nani alipambanie maisha yake
 
Nchi haina umoja kila mtu anapigana kivyake na bila kuwa na sauti moja na mwelekeo mmoja hii safari haitafika mwisho.
 
Tatizo ni kuwa wengi wameenda shule ila hawajaelimika. FaizaFoxy anasemaga wameenda kusomea ujinga
Elimu ya kukariri ili ujibie mtihani haiwezi kuwa elimu, asilimia zaidi ya 75 ya graduates wengi katika hii nchi vichwa vyao vimejaa mambo ya entertainment tu kama sio muziki basi mpira na ndio vitu ambavyo wanaweza kuvizungumzia vizuri kuliko current issues zinazohusu masuala mbalimbali ya kinchi... mtu ukimuuliza mambo hayo ya msingi anakuambia aah hivyo mimi sio vitu vyangu.

Sasa kwa mtu wa namna hiyo utamwambia areact kwenye nini wakati hata yanayoendelea hayajui kwa hiyo ili umuamshe umguse panapo muhusu.
 
Back
Top Bottom