Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Asante mkuu.Nchi hii ni ya kipumbavu sana.
Mzee kwa hiyo fani wewe hukupaswa kufanya kazi nchi hii ya mchongo.
Ngoja nikupe site moja ya Canada uombe kazi huko uondoke bongo
Lugha si inapanda mlima?
Nimesikitika sana kwa mtu wa ujuzi aina yako. Sema siku hizi nime mess up na connections nilizokua nazo otherwise mzee ningekusaidia kikamilifu.
Halafu kwa fani yako unaweza kuwa actuary pia, maana mnafana na watu wa acturial science.
hahahah iyo hela tuma kwa namba yangu😀😀Dah, mkuu, kama vile umekuwa ulimi wangu vile. Pitia kreti la bia pale See breeze ntakuja kulipia
Mpunga mkuu. Bado kichwa inachaji, mifukoni ndo low betri.Mwana kwa nini usirudi chuo upige masters hadi phd?
ARE YOU SERIOUS?????? MASTER'S DEGREE NA PhD TANZANIA BILA GPA 3.8 ATAFANYA KAZI WAPI? Ungemuuliza kwanza kama ana sifa hizo. Elimu ya Tanzania kwa sasa niyawachache sanaMwana kwa nini usirudi chuo upige masters hadi phd?
Ni kweli mtaji ni kikwazo. Ila usisubiri hadi uwe na mtaji mkubwa wa mamilioni ya shilingi ili uanzishe kitu chako. Anza na hicho kidogo ulichonacho.Kwenye Kujiajiri Mchawi Capital kaka.....
Mzee itabidi tuonane...mie wazee wa namba nawakubali sana....masters hapo udsm million ngapi tukufanyie mpango urudi skonga. Nyie mnatakiwa kuwa kwenye institutes bwana mnaumiza vichwa kujanna matheory ya maana.Mpunga mkuu. Bado kichwa inachaji, mifukoni ndo low betri.
Huonekani aiseeKwenye Kujiajiri Mchawi Capital kaka.....
Nipo kaka... majukumu aiseeHuonekani aisee
Ila kwenye game upo au ndo umekimbia kabisa?Nipo kaka... majukumu aisee
Nilisoma hiyo course ni ngumu haswaa, ila haina fursa kitaa, sema binafsi ilinipa ajira japo sio rahisi kwa wanaohitimu miaka hii.Nyie sio ndio mnabaki chuo nakuanza kuja na matheory mzee. Watu wa mathematics aio wakuka kitaa bwana nyie ni watu very important ni kubukua tuu hapo chuo
Sijasema uoga. Ni kutafuta green pasture, pia kama nchi haiheshimu watu wenye fani muhimu ya nini kuendelea kuishi sehemu ya hivyo? Dawa ni kwenda wanapo value fani za watu. Mimi nawaunga mkono wanaotimka kwenda kwenye nchi za waliostaarabika na kuheshimu ujuziBoss unafanya vizuri ila kukimbia nchi ni uoga wa maisha. Mbona watu wanafanikiwa hapahapa.
After World Cup ntarud mkuuIla kwenye game upo au ndo umekimbia kabisa?
Na hili ndio tatizo la nchi za africa ndio maana wadhungu watatawala dunia tuuNilisoma hiyo course ni ngumu haswaa, ila haina fursa kitaa, sema binafsi ilinipa ajira japo sio rahisi kwa wanaohitimu miaka hii.
Haya bana karibuAfter World Cup ntarud mkuu
Hii course iko njema maana mtu anaweza fit kufanya kazi kada mbalimbali ila bahati mbaya waajiri hawaijui hii course.Na hili ndio tatizo la nchi za africa ndio maana wadhungu watatawala dunia tuu
Kweli kabisa...hna nchi inayokuwa donor countey bila kuwa na great advances in acience and technology ambayo vyote hivyo hutegemea mathematics. Katika watu ambao walitakiwa kusoma bure yaani nchi inagharamia kila kitu ni watu wa namba. Na kuhakikisha wanapata employmwnt kwenye research institutes.Hii course iko njema maana mtu anaweza fit kufanya kazi kada mbalimbali ila bahati mbaya waajiri hawaijui hii course.
Kazi zote zinazohusu takwimu, mipango, usafirishaji, baadhi ya mifumo ya computer n.k kote huko ndo kwao hawa watu.
Dunia ya kwanza wameiboresha course hii kwa kuiunganisha na course nyingi za computer hivyo kuwa rahisi kutengeneza na kuvumbua mifumo mbalimbali lakini huku kwetu tunaishi kivyetu vyetu na hizi akili kubwa zinaishia kuuza icecream mtaani.
Huo ndo ukweli, ukiwatumia watu hawa kwenye tafiti zinazohitaji akili kubwa, hakika watakuzalishia vitu vikubwa ambavyo hautaamini, ila ukija kitaa bora aliyeamua kusomea ualimu akafundishe azalishe D zake mbili kila mwaka form four.Kweli kabisa...hna nchi inayokuwa donor countey bila kuwa na great advances in acience and technology ambayo vyote hivyo hutegemea mathematics. Katika watu ambao walitakiwa kusoma bure yaani nchi inagharamia kila kitu ni watu wa namba. Na kuhakikisha wanapata employmwnt kwenye research institutes.
Huu ufala wa kusifiana biashara za survival mode ni ujinga tuu. Mtafanya biashara but mwisho wa siku viwanda machinery zote zinaletwa na wadhungu...bado utakuwa mtumwa tuu.
Bado hiyo sio issue ya kwenda university kusota miaka minne ukatoka unadaiwa zaidi ya 15 milioniSawa hyo ukiwa fully kweny Cyber unaweza kucrack simu haswa kubypass simu za wizi ila ni ishu hatari sana.
Na ndio hapo tunafeli na tutaendelea kufeli , hatu value proffessions ,wenzetu wana value proffessions ,Sisi mtu akiongelea udhaifu wa hii nchi kutovalue proffessions watu wanakebehi na kuandika ujinga ,na imekuwa hivyo Africa nzima ,kama hatuwekezi kwenye proffessions kuhakikisha hawa wanaograduate wanakuwa channeled katika mkondo wa kuadd value katika uchumi kupitia proffessions zao , hatutoboi nakwambia , huwezi kuwa na graduates mfano mechanical engineer na agricultural Engineers thousands of them in the streets wanafanya umachinga halafu ukajidanganya siku moja utapata maendeleo kwenye hiyo sekta ya kilimo .Si bora mfute hizo courses huko chuo ,muache kupoteza kodi za wananchi na muda wa wanafunzi ili mjenge taifa la illiterates na wachuuzi ?Kweli kabisa...hna nchi inayokuwa donor countey bila kuwa na great advances in acience and technology ambayo vyote hivyo hutegemea mathematics. Katika watu ambao walitakiwa kusoma bure yaani nchi inagharamia kila kitu ni watu wa namba. Na kuhakikisha wanapata employmwnt kwenye research institutes.
Huu ufala wa kusifiana biashara za survival mode ni ujinga tuu. Mtafanya biashara but mwisho wa siku viwanda machinery zote zinaletwa na wadhungu...bado utakuwa mtumwa tuu.