Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Kwa mara ya kwanza leo naona point, hongera sana
 
Kutenguliwa siyo kupumzishwa, ni kufedheheshwa tu.

Ni bora Rais avunje baraza la mawaziri na kuliunda upya hapo ukiachwa kuna heshima ya kusema umrpumzishwa, lakini kutenguliwa ni kuvunjiana heshima tu, kwa mimi ukiniteuwa tena sikubali uteuzi nabaki na ubunge wangu kuwakilisha wananchi, lakini kwakuwa maccm yanawakilisha matumbo yao wacha waendelee kudhalilishwa tu.
 
Nchi inahitaji kufanyiwa overhaul kwa kuiondowa ccm imeshafeli waje kuongoza watu wapya.

Chini ya ccm maigizo yataendelea tu, sasa jiulize waziri wa hovyo kama Mwigulu mbona haguswi?
Wakushika nchi Sasa ndo wananjaa zaidi Hadi washibe ni miaka ya xxm. unaoonekana ni mbadala hauaminiki
 
Namkumbuka aliingia kudeki sakafu somewhere kulikuwa kuchafu🤣
 
Mkuu hayo ni mabadiliko ya kawaida!
 
Wakati wa mwenbda zake ndiyo ilikuwa inapigwa juu kwa juu. Ni heri ujikalie kimya tu. Ingekuwa ya maana isingefumuliwa.
SIyo kweli; enzi zile NIHF ilikuwa inaheshimika na hospitali zote. Leo hii ukiwa na kadi ya NIHF utakwama karibu hospitali zote isipokuwa labda za serikali tu.
 
Dorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Dorothy hafai kuwa waziri wa afya
Madakari hawafai kuwa mawaziri kwenye hii wizara maana wizara ina kada nyingi sana ila wakiwa wao ndio maboss wanajipakulia nyama zote.hawawajibishajibishani,daktari mwenzao anaweza hata kufanya ugaidi na bado wakamtetea,akifanya kosa mtu wa kada nyingine utaona media za dunia nzima wameitwa kupewa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…