BF wangu yupi? Huyu wa ukweli nlokua nae, au Una maanisha huyu Nick??Boy friend wako huwa anakaa kimya sana watu wakianza kuzungumzia Stock exchange,economy investment na financial planning—Anagonja topic ya man united na mademu walio na makalio makubwa.
The real oneBF wangu yupi? Huyu wa ukweli nlokua nae, au Una maanisha huyu Nick??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muhurumieni mwenzenu khaaaaah.
HaaaaaaaModerator
Mnakubali vipi threads za Ina hii zikiendelea hapa na kutweza utu wa mtu? Kwa nn hii thread isifutwe au kufungwa?
Unaendeleaje lakini sasa hivi? Pole sana.. yote maishaModerator
Mnakubali vipi threads za Ina hii zikiendelea hapa na kutweza utu wa mtu? Kwa nn hii thread isifutwe au kufungwa?
Wewe una Nini usijukweze na kuumiza watu humu na fake id. Unamuumiza jamaa kwanini kwa kumsema vibaya? Mbona wewe ni wa kawaida Wala huna uzuri Wala quality unayojisifia nayo humu? Zile picha zako za kule jukwaa la kuweka selfies Bado ninazo. Nenda taratibu na wenzio humu majukwaani. Usinyanyase na kudharirisha wenzio bila sababu kwa kujiona wewe ni bora na wa thamani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee Nick mie nikutake wa nn?? Joan amekuacha ndo utaniweza mie? Poleeeeh kwa kuachwaaa. Futa machozi na unywe maji mengi.
Yakizidi muone daktariiii.
Walimu wanatukanwa na mpwayungu village Wala hazifutwi ni uhuru wa maoniModerator
Mnakubali vipi threads za Ina hii zikiendelea hapa na kutweza utu wa mtu? Kwa nn hii thread isifutwe au kufungwa?
Yaani mie Huwa nawashangaa sana wanaojiita wasanii hasa wakiume walivyo wajinga..1. Dogo mshamba wa mapenzi. Na Kwa haraka-haraka binti Ni smart kuliko jamaa
2....
Sasa mie kuwa wa kawaida na kutokua mzuri inahusu nn hapaa? Km picha zangu uli save na unazoo means umezikubali na zimekubambaaa,Wewe una Nini usijukweze na kuumiza watu humu na fake id. Unamuumiza jamaa kwanini kwa kumsema vibaya? Mbona wewe ni wa kawaida Wala huna uzuri Wala quality unayojisifia nayo humu? Zile picha zako za kule jukwaa la kuweka selfies Bado ninazo. Nenda taratibu na wenzio humu majukwaani. Usinyanyase na kudharirisha wenzio bila sababu kwa kujiona wewe ni bora na wa thamani.
Humtendei haki huyu mwenzio. Unawafanya na kuwaumiza wenzio. Ufanyacho sio kizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangu hayupo hivyooo.The real one
Ushauri ushampiga kitasa kwanza.. 😅😅🤣 Vipi ushauri wake unaendeleaje huko alipo, furaha bado ipo au 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu muulize vizuri yule mtu akuambie.Wewe ndiyo ulimkaribisha mwanaume kwa mama ako then akasanuka kuparamia lidume ukampa nauli buku[emoji38]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Noma na nusuUshauri ushampiga kitasa kwanza.. 😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ati unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Oh-za Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Dogo Nikki tulia dawa ikuungieModerator
Mnakubali vipi threads za Ina hii zikiendelea hapa na kutweza utu wa mtu? Kwa nn hii thread isifutwe au kufungwa?
Wee Nick kaa kwa kutulia, hadi umebadili names dadekiiiii.Moderator
Mnakubali vipi threads za Ina hii zikiendelea hapa na kutweza utu wa mtu? Kwa nn hii thread isifutwe au kufungwa?
Alikuwa anajiona yeye mjanja zaidi..kumbe kuna watu walikuwa wana mcheka tu kina ka Budaaa🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Noma na nusu
Nliishia la 7 C, hata fomu wani siijui.Cocastic atakuwa amesoma chuo gani hapa nchini ?