Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Ehe za kazi

Ova
 
Kwendaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu smart hawezi liwa wistaz chalet au akaliwa na mia Moja hamsini na KENDA prof majalala.

Huyo anakariri tu vitini ndio Yuko safi.

Ukiwa smart lazima uwe hivyo streetwise and professional wise.

Nasikia hadi DNA imemkaata nikkita
Kama wewe ni mwanaume basi umeshavuliwa ubingwa.

Hakuna mwanaume anaweza kuandika ulichoandika. Amini hivyo
 
Niki hakumuelewaga huyo demu Ni zile pisi Kali halafu zinabutuliwa kisenge yaani maji Mara moja mwepesi Kama table ya kwanza yaani anawashwa washwa tu DC akaingia mazima akielekezwa haelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…