Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Wewe una Nini usijukweze na kuumiza watu humu na fake id. Unamuumiza jamaa kwanini kwa kumsema vibaya? Mbona wewe ni wa kawaida Wala huna uzuri Wala quality unayojisifia nayo humu? Zile picha zako za kule jukwaa la kuweka selfies Bado ninazo. Nenda taratibu na wenzio humu majukwaani. Usinyanyase na kudharirisha wenzio bila sababu kwa kujiona wewe ni bora na wa thamani.

Humtendei haki huyu mwenzio. Unawafanya na kuwaumiza wenzio. Ufanyacho sio kizuri.
Ehe za kazi

Ova
 
Sijui hata kama unapataga muda wa kufanya kazi au kupumzika.

Hahaaaaaaa, haya nimetoka kanisani sasa ila nakushauri tu kwa Nia njema dada, usidharirishe na kutunga uongo kuhusu wengine. Hata kama tuna fake ID ila Karma is real. Kuwa na Jumapili njema.
Kwendaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu smart hawezi liwa wistaz chalet au akaliwa na mia Moja hamsini na KENDA prof majalala.

Huyo anakariri tu vitini ndio Yuko safi.

Ukiwa smart lazima uwe hivyo streetwise and professional wise.

Nasikia hadi DNA imemkaata nikkita
Kama wewe ni mwanaume basi umeshavuliwa ubingwa.

Hakuna mwanaume anaweza kuandika ulichoandika. Amini hivyo
 
Back
Top Bottom