Sukuma gang + Mataga = Stupidity.Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Unataka tufuate mawazo yako ila tusifuate ya wengine ?Sukuma gang..?
Tatizo hamnaga akili mnafuata maoni ya watu wengine unapelekwa tu kama bendera. Ukiambia hiki sawa kile ndio.
Fungueni bongo zenu
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Ila poa tu mimi nasubiri great fall
Sina Masilahi yoyote mimi.
Mimi ni mzalendo tunahitaji kuwa na misingi imara ya uongozi.
Chadema hata uchaguzi ukirudiwa kura zenu za uchaguzi uliopita mtapata nusu yake,Chezea B mkubwa wewe.
ItakuwaMama akipatia atasifiwa, na akikosea atakoselewa.
Hivi nyie sukuma gang mliuza ng'ombe zote na kuwekeza kwenye praise team ya marehemu pombe??
Wabongo ni wanafiki kwa kiwango cha PhD, hawa kukugeuka ni sekunde tu na ni wepesi wa kusahau balaa.Ukitaka kuongoza vizuri hii nchi jiondoe kabisa kwenye hii mitandao ya kijamii utapotea,hilo ameliona Rais Kenyatta wa Kenya.Haya, leo yanamsifia kwa kumng'ong'a subiri baada ya miezi mitano uone, ndio utajua hawa ni watu ama nini.JK alipoingia madarakani mwaka 2005 na kuanza kuchukua baadhi ya hatua kila mtu alishangilia kuwa nchi imepata malaika mkombozi, baada ya miaka miwili wakamuona mbaya na matusi yakaanza wakaanza kusema bora arudi Mkapa ambaye kipindi anamaliza uongozi wake mwaka 2005 alionekana kuwa hafai. Akili za kuambiwa changanya na zako,siyo kila unachoshauriwa ukifanyie kazi ushauri mwingine ni majanga tupu.
Du, povu namna hii tutafikia kweli! Iko hivi_timu Samia = timu Tanzania. Kiongozi yeyote yule anayetumikia watu katika ngazi ya juu mpaka chini ni lazima awe na sikio ndefu la kusikilizia wayatakao watu hao. Yaani hiyo huitwa serikali sikivu.Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.[/QUOT **** ww katumbuliwa baba yako nn jiuzuluww kumfwatilia prezidhaa
Mbeligiji wenu kawaonya, suala la kumwaga sifa asubuhi na mapema.Mama akipatia atasifiwa, na akikosea atakoselewa.
Hivi nyie sukuma gang mliuza ng'ombe zote na kuwekeza kwenye praise team ya marehemu pombe??
Na wewe unakuja na moto wa mabua: unajuaje kuwa amepata ushauri toka twitter, ulikuwepo huko wakati anashauriwa?Kuna wataalamu gani twiter.??
Eeeeh uchaguzi Mkuu tena....??????Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani raisi hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni. Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Mimi nauzika na viongozi wanafiki Samia ni mmoja wapo.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
Umekimbilia wapi? Rudi huku ujibu hoja. Uzalendo gani huo? Mchumia tumbo tu wewe! Zama zenu zimekwisha, ulitaka lia au kaji.......Sina Masilahi yoyote mimi.
Mimi ni mzalendo tunahitaji kuwa na misingi imara ya uongozi.
Kumbe MATAGA mmesharudishiwa akili mlishokua mmeshikiwa na jiwe?Mzee utangojea sana hizi ni zama za kiongozi anayesikiliza wataalamu sio zama zile za stone age ambapo wataalamu waliitwa kushauriwa na sio kushauri, tunaiona +255 inayotembea na dunia kusonga mbele.
ameshawageuka na magazeti, na bado atakuwa katili kuliko Jiwe.Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.