Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
“Mwamini Mungu, lakini mfunge vizuri Ngamia wako”-Mtume Muhammad SAW.Wananch sio wajinga wewe
Nenda makanisani mfano ya katoliki yaliyojaa wasomi wakubwa unakuta ni padri tu ndie kavaa barakoa ina maana waumini wote hawajielewi kasoro huyo padri tu? Wote hawajasoma na wana uelewa mdogo kasoro padri tu?
Ina maana wasomi wote wanaojazana makanisani na misikitini bila barakoa uelewa wao hawana?
Wananchi wanajielewa sana kuliko viongozi
Unapoona kiongozi wa dini yeye peke yake ndie kavaa barakoa waumini hawajavaa ujue kuwa waumini wana imani kwa Mungu kuliko kiongozi wao!!!! Kiongozi anaamini kuwa akiwa kanisani kwenye nyumba ya Mungu MUNGU ANAWEZA MTUPIA CORONA WAKATI WAUMINI HAWAAMINI HILO
Nchii haiku lockdown, Baba yenu Bill Gates alisema watu watakuwa wanaanguka mtaani au unafikiri tumesahau? Kwamba second wave ingekuwa balaa afrika...kimetokea nini? Ka vipi chanja afu piga kimya tutakutana kwenye matokeo in 1 or 5 or 10 years.Uzuri ni kuwa wengi wao wakiugua wataishia kwa waganga ambao watawaambia wamelogwa au kwa wakina Gwajima ambao watawafufua hata kama watakufa.
Amandla...
Leo wakati Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akielekea Bagamoyo kurecord filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania alisimama kwenye jimbo la Kawe ili kusalimia wananchi.
Rais alimsimamisha Mbunge wa Kawe ili kutoa neno lakini kabla ya kumsimamisha aliwauliza wananchi wa Kawe kama watachanja au la kama video inavyoonyesha hapa chini.Katika hali ya kustaajabisha na ya kushangaza wananchi walimwambia Rais bila ya kupepesa macho kuwa hawatachanja kama video hii inavyoonyesha hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana.Kwa nini Rais aulize swali hilo kwenye jimbo ambalo mbunge wake hakubaliani na mambo ya chanjo?Ina maana Rais hajui kwamba kazi kubwa ambayo walifanya katika awamu ya tano ya kupinga chanjo ilifanikiwa sana hasa ukizingatia kuwa kazi hiyo ilifanyika katika Taifa lenye umasikini mkubwa sana wa akili?
My take:
Kwa sasa hivi serikali ya CCM inapata shida sana kula matapishi yake yenyewe ambayo waliyatapika katika awamu ya tano.Ni vyema serikali ikiri mbele ya wananchi kuwa Rais Magufuli hakuwa sahihi na alipotosha sana uma ili wananchi waanze upya kuelimishwa juu ya gonjwa la Corona na chanjo.
Wataufyata mithiri ya mbwa aliyekutana na simba.Wanapenda kutuvuruga sana! Sasa waliosema achukuliwe hatua na chama chake, sijui chama gani tena maana mwenye chama ndo huyo keshasema Gwajiboy oyeee.
Gwajigirl, ****** wajipange upya
Walisema Gwajiboy, akirudia tena ndo waziri na AG wataitwaSema hii serikali haieleweki...ikumbukwe Ndugai kasema Aajibishwe endapo haitokua hivo Wazari wa mambo ya Ndani ataitwa Na sijui hadi mda huu ile kamatai ya ndugai nayo inajisikiaje kwa kweli inafikia wakati Mama unamwacha aende anavyoenda tu.
Chanjo ya covid hawatachanjwa, je!, ya ukimwi pia watapinga????
Aise,,bora weupe warudi kumtawala mtu mweusi.
Sasa hapa cha ajabu ni kipi?Waziri si ameshasema kuwa kilichotokea ni kanuni za kitaalam hazikufuatwa?Maana yake kama kanuni za kitaalam zingefuatwa hakuna mfugo ambae angekufa.Aangalie kichotokea dodoma chamwino[emoji116]
Afu Bado Kuna kichaa ananambia nikachanjeView attachment 1920859View attachment 1920861
Where is the freedom of choice in USA? Labda watachukua wale Wa Afgastan wafanye kazi Amerika.Nenda YouTube :
VACCINATIONS AS A ...
6 days ago — House Bill 4471 PROHIBITS VACCINATIONS AS A CONDITION OF EMPLOYMENT
Msingi wa swali lako hili ni upi?Yaani kwa nini unaniuliza hivyo?Kwa uelewa wako, nani anaaminika na wananchi Marehemu Magufuli au Mama Samia?
Gwajima kajaza misukule yake ya kanisani halafu mnadai ni wananchi wa kawe!
KWANI kuna shida gani ni haki ya kidemokrasia ya mtu kuamua tatizo lake likatatuliwe wapi iwe kujifukiza or whatever kama anaona yeye kama yeye vinamsaidia wewe kinakusumbua nini?
Ni sawa na kusema ohh kuna manisa wanapeli watu pesa tu wakati wewe husali huko na hao unaosema wanatapeliwa hawajawahi kufungua kesi popote kuwa wametapeliwa na unasahau kuwa mtu akishajipatia pesa yake yuko huru kuitumia atakavyo aweza lewea,kuhonga malaya au kumpa tapeli ni pesa yake wewe kinakuuma nini? mfano mtu kapata mshara wake kodi yako umeshachukua bado unaendelea kumfuta eti hiyo hela kwa nini apeleke kwa Gwajima au mchungaji fulani tapeli.Yanakuhusu nini? hizo ni private affair zake.Kwa hiyo utataka hata kufuatilia akienda kuhonga kuwa kwa nini unaenda kuhonga malaya? Huo ni ukorofi usiokuwa na sababu
Kila mtu aheshimu imani ya mtu mwingine
Nchii haiku lockdown, Baba yenu Bill Gates alisema watu watakuwa wanaanguka mtaani au unafikiri tumesahau? Kwamba second wave ingekuwa balaa afrika...kimetokea nini? Ka vipi chanja afu piga kimya tutakutana kwenye matokeo in 1 or 5 or 10 years.
Gaidi lilitokea CCM na leo ripoti ya uchunguzi inadai kuwa lilikuwa ni gaidi la kujitoa mhanga😁😁😁Kuna mwanasiasa asiekula matapishi yake nchi hii? Thread za namna hii ndo zinasababisha baadhi ya wanasiasa uchwara wawaone wafuasi wao mazombi wa kuamini kila wanachosema. Wazazi wa mazombi hawa wamezaa tu ila faida ya uzazi huo wanapata wanasiasa.
View attachment 1920909
View attachment 1920910
View attachment 1920911
View attachment 1920912
Hapo kuna watu inawezekana ni vishoka wasio na utaalamu wamechanja ndivyo sivyo na hiyo mifugo kupata reaction mbaya sana.....Aangalie kichotokea dodoma chamwino[emoji116]
Afu Bado Kuna kichaa ananambia nikachanjeView attachment 1920859View attachment 1920861
Napendaga kutoa mfano kuwa hakuna mtu mweusi anaweza kugeuza mchanga/ udongo kuwa mashine. Sembuse kutengeneza chanjo!Wewe mtanzania unajua nini kuhusu chanjo zilizotengenezwa Ulaya? Unaelimu yoyote kuhusu chanjo? Kama hauna vyote hivyo, hata wewe ni wale wale bendera fata upepo.
Si ajabu mpaka Sasa bado haujachanjwa.