Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Uko sahihi kabisa.... hujaelewa, ... maza kamruhusu Gwajiboy ashuke mwenyewe mnazi aliojipandisha!
View attachment 1920852 ... MAMBO YA PWANI!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa.... hujaelewa, ... maza kamruhusu Gwajiboy ashuke mwenyewe mnazi aliojipandisha!
View attachment 1920852 ... MAMBO YA PWANI!
Mapema Leo wakati Rais Samia yupo Tegeta jimbo la Kawe kwa Mchungaji Gwajima akiongea na wananchi na wakazi wa Kawe waliojitokeza kumsikiliza ameongea mengi lakini kati ya hayo ni pale aliposema "Gwajiboy oyeee, tunachanja, hatuchanji? Haya mheshimiwa gwajima endelea"
Kwa kauli hii Spika na Waziri wa Afya wako na hali gani kwa sasa?
Je, tuendelee kutegemea hatua zozote kutoka kwenye chama (CCM) dhidi ya Gwajiboy?
Uliwasikia vizuri?Mama alifanya vizuri kwa sababu kusema tunachanja hatuchanji na wananchi kuitikia tunachanjaaaa
Askofu kaishiwa pozi na hakutaka kuweka comment badala yake kabase kwenye matatizo ya wananchi wake wa kawe
Mama kambana askofu angemuhoji pale direct ingekuwa ni udhalilishaji
Lakini ni kama tu kamtaka askofu aseme tunachanja na ajue huo ndiyo msimamo
Mama hayupo upande wa askofu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wapi nimesema kuwa ni Kawe tu ndiyo wanapinga chanjo?Mleta mada inaonekana ww ndio una umaskini mkubwa wa akili.Kwa umaskini wako mkubwa wa akili unaona Kawe tu ndio wanapinga chanjo.
Chanjo kupingwa katika mataifa mengine haihalalishi kuwa chanjo kupingwa Tanzania ni sahihi.Kwani nchi nyingine hazina wajinga?Hizo nchi nyingine wanaishi miungu ambayo haiwezi kuwa wajinga?Si wanaishi tu binadamu kama Tanzania?Nenda ulaya,USA,kote kuna ambao hawataki chanjo.Mpaka Rais wa USA alitoa bonus ya uds 200ili wachanjwe.Je nao wanaumasikini wa akili au bogas www ndio maskini mkubwa wa akili.
Watu kufa baada ya kupata chanjo au kuambukiza na kuambukizwa ni jambo la kawaida kabisa na ni jambo lililothibitishwa kisayansi kwa sababu hizi chanjo zina efficacy.Kama efficacy ya chanjo ni asilimia 70 lazima kuna watu wengi tu watakufa/kuambukiza/kuambukizwa baada ya kupata chanjo.Unaelewa maana halisi ya efficacy katika chanjo?Aidha ukichanjwa bado upo kwenye hatari mkubwa ya kuambukizwa na kuambukiza.
Hatuwezi kamwe kuheshimu watu ambao wanapinga chanjo kwa sababu ni mbumbumbu pekee ndiye anaweza kupinga sayansi.Wewe unapinga chanjo kwa kigezo kipi?Wanaochanjwa waheshimiwe na wasiochanjwa waheshimiwe.Watu msio na ufahamu wa hivi vitu mnyamaze.
Utasemaje ingekuwa rahisi wakati hatuoni hizo jitihada za uwamasishaji wala kuelimisha wananchi? na inajulikana duniani kote kuna watu wengi tu wanapinga hizi chanjo kiasi cha kwengine wamefikia hadi kufukuza wafanyakazi waliyogoma kuchanja na hatua nyengine hadi inabidi watumie ushawishi wa kugawa hela kwa watakao kubali kuchanjwa, sasa nashangaa wewe unasema et bongo ingekuwa rahisi tu. Kuna watu kibao hawajaamua kuchanjwa bado ila hawapingi chanjo hivyo ni kundi ambalo linahitaji kuhamasishwa ila nyinyi mmekazana na Magufuli tu kuwapotosha watu.Kama Magufuli asingepotosha nguvu ambayo ingetumika isingekuwa kubwa sana ukilinganisha na Magufuli alipopotosha kwa sababu kumbuka kushawishi watu wasahau ule upotoshaji mkubwa wa Magufuli ndipo nguvu kubwa ya kushawishi watu inapohitajika.
Kama siyo Magufuli ni kweli ingekuwa rahisi tu kushawishi watu sasa hivi na kukubali kuchanja.Kumbuka Magufuli alikuwa ni mwanasiasa ambae ni populist.Huwa ni kazi ngumu sana kuneutralize na kufuta anachosema populist kwa sababu populist huwa wana ushawishi na nguvu nyingi sana katika jamii.Wanaomlaumu Magufuli katika hili wapo sahihi.
Kwani si uvae barakoa kujikinga na hatua zingine? Je ni haki yako kuingilia uhuru wa afya yangu?Sio haki yako kuniambukiza.
Amandla....
Role ambayo Magufuli aliplay kwenye awamu ya tano katika upotoshaji dhidi ya chanjo ya Corona ipo clear and obvious na ni kubwa.Utasemaje ingekuwa rahisi wakati hatuoni hizo jitihada za uwamasishaji wala kuelimisha wananchi? na inajulikana duniani kote kuna watu wanapinga hizi chanjo kiasi cha kwengine hadi wamefikia hadi kufukuza wanafanyi waliyogoma kuchanja na hatua nyengine hadi inabidi watumie ushawishi wa kugawa hela kwa watakao kubali kuchanjwa, sasa nashangaa wewe unasema et bongo ingekuwa rahisi. Kuna watu kibao hawajaamua kuchanjwa bado ila hawapingi chanjo hivyo ni kundi ambalo linahitaji kuhamasishwa ila nyinyi mmekazana na Magufuli tu kuwapotosha watu.
Umeona maneno ya msingi au unaongea kwakua unatoa sauti na unaweza kubonyeza key board?Hawezi kuwakubali wote kwa sababu nia ya Rais ni kuhakikisha kuwa wananchi wote wanachanjwa kama ambavyo alishasema.
Ni vyema uwe unafuatilia masuala ya nchi yako ili unapokuja hapa JF usionekane kuwa ni mjinga.
Source:Rais Samia ahutubia Mkutano wa SADC Malawi
View attachment 1921345
Mawazo yako yanafanana na jina lako....Na viongozi wote wa makanisa makubwa hasa RC wametoa amri watumishi wao wote wachanje.
Hata hivyo Rais yuko wazi na hafanyi propaganda za kijinga kama za yule mpuuzi,ukitaka chanja hutaki acha ,ukifa ni wewe sasa.
Tutafika mahala kama ukibainika una covid na umepelekwa hospital huenda ukatengwa kivyako kwa sababu umejitakia ilhali chanjo ipo na waliochanja watahudumiwa .
Una Maguphobia ndiyo tatizo lako, kajitibu kwanza, ugonjwa huo ukikutoka uta think straight!Role ambayo Magufuli aliplay kwenye awamu ya tano katika upotoshaji dhidi ya chanjo ya Corona ipo clear and obvious na ni kubwa.
Wewe unafikiri kuwa Rais wa nchi hana ushawishi mkubwa kwa raia?Wewe unafikiri kuwa anachoongea Rais wa nchi juu watu wake hakina impact?Yaani Rais wa nchi aseme kuwa chanjo hazifai halafu raia wachukulie kuwa ni porojo?
Huyu ni form two fulani hivi ndiyo sababu anashindwa kuficha ego yake, msamehe akikua ataacha!😂Balance maonin yako. Wapo waliosema tutachanja na waliosema hatuchanji. Hivyo, hakuna cha kuchana wala nini bali unaonyesha upande wako na kupiga chuku bila sababu.
Nina Maguphobia kama CCM walivyo na Maguphobia na katiba mpya?Kwa hiyo tiba ya Maguphobia ya CCM dhidi ya katiba mpya ni nini?Una Maguphobia ndiyo tatizo lako, kajitibu kwanza, ugonjwa huo ukikutoka uta think straight!
Usi panic, calm yourself down life it too good to complicate it....Utakufa kwa sonona, CCM bado ipo ipo upende au usipendeNina Maguphobia kama CCM walivyo na Maguphobia na katiba mpya?Kwa hiyo tiba ya Maguphobia ya CCM dhidi ya katiba mpya ni nini?
OyeeeGwajiboy oyeeee
Wewe ndiye naive kwa sababu hata hufuatilii anachosema Rais wako.Unaweza kuwa na lengo la kuchanja wananchi wote kama Rais alivyosema halafu hapohapo utoe hiari katika suala la kuchanja kama unavyopotosha?Umeona maneno ya msingi au unaongea kwakua unatoa sauti na unaweza kubonyeza key board?
Msipende kumharibia Rais...Ametoa uhuru kwa wanaotaka na wasio taka na anatumia busara kutoa ushawishi na siyo kulazimisha kama wengine wenu mfanyavyo...
Kwanza nikiangalia hata artefact ya maandishi yako, nakuelewa ni kiumbe wa namna gani...Hiyo rangi unayotumia wala huwezi shawishi hata mjusi kukimbia kwakua you are naive!
CCM ndiyo watakufa kwa sonona kwa sababu wanaiogopa katiba mpya kuliko hata wanavyomuogopa Mungu🚶🚶🚶Usi panic, calm yourself down life it too good to complicate it....Utakufa kwa sonona, CCM bado ipo ipo upende au usipende
Kwani kuhusu kuambukiza si hata aliyechanja anaweza kuambukiza?Amri ni kwa watumishi sio waumini hata serikali inaweza sema mtumishi wa umma chanzo lazima hutaki tupishe usituletee ugonjwa,imefanyika hivyo nchi nyingi tuu na ilianza kwa neno hiari.
Kimsingi huna hiari ya kuambukiza wengine nadhani ulimsikia na Spika aliwaambia hivyo hivyo wabunge.
Achaneni na ujinga wa imani za ujinga wa kina Gwajima,mafuta ya mwamposa na ushirikina.
Wapi nimesema hicho ulichokisema hapo? mbona unakwepa point ya msingi nayoizungumza hapa?Role ambayo Magufuli aliplay kwenye awamu ya tano katika upotoshaji dhidi ya chanjo ya Corona ipo clear and obvious na ni kubwa.
Wewe unafikiri kuwa Rais wa nchi hana ushawishi mkubwa kwa raia?Wewe unafikiri kuwa anachoongea Rais wa nchi juu watu wake hakina impact?Yaani Rais wa nchi aseme kuwa chanjo hazifai halafu raia wachukulie kuwa ni porojo?
Serikali iliyokuwa inapinga chanjo awamu ya tano ina moral authority gani ya kuweza kutoa elimu juu ya chanjo leo hii? Yaani serikali ileile iliyokuwa inashirikiana na Magufuli katika awamu ya tano katika kupinga chanjo leo hii ibadilike kutoa elimu juu ya chanjo? WTF!Wapi nimesema hicho ulichokisema hapo? mbona unakwepa point ya msingi nayoizungumza hapa?
Nimekwambia kuna kundi kubwa la watu ambao hawajafanya uamuzi wa kuchanja ila hawapingi chanjo je serikali yako imefanya jitihada gani kuwashawishi hilo kundi au ndio mnakaa mnakaa tu na kuishia kusema tatizo ni Magufuli? ni elimu kiasi gani hadi sasa serikali yako imetoa kihusu chanjo au ndio jibu tatizo ni Magufuli tu?