wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Mkuu Elungata inapendeza hata wao ifike mahali wamiliki magari sio hayo mabox na vibakuri vya michuzi eti ni gariEnzi za mwalimu,, mwalimu kumiliki hata baiskeli ya swala, angeitwa bepari,, sikuhizi ukienda shule, nje ya shule utaina IST, Rav4, noah, etc zimepaki,,
Standard ya maisha ya waalimu ime imarika sana[emoji2375]
Kumsemea mwalimu ni kutafuta matatizo bure, walimu wenyewe kwa wenyewe hampendani, mnaoneana wivu, chuki na roho mbaya imewajaa mwalimu yuko radhi amuaribie mwalimu mwenzie kazi.Kuna watu wa kuwatetea ila sio walimu....hawa viumbe wana roho mbaya sana.....
Serikali iondoe kwanza walimu vilaza then ndio waboreshe we mazingira hawa walimu wenye elimu za kuunga unga sijui daraja la 111 A wana roho mbaya sana.
Ni kweli at least waalimu nao waendeshe V8, 😇,hili mbona linazungumzika tu,, serikali inaweza kuwakopesha waalimu wote V8,, sio ishu kubwa hii🤷🏽♂️Mkuu Elungata inapendeza hata wao ifike mahali wamiliki magari sio hayo mabox na vibakuri vya michuzi eti ni gari
Kama huna evidence usikatae kitu. TGTS I ni shilingi ngai? Ni almost 3m.Hakuna Mwl wa secondary anafika 3m nakataa..... labda cheo Cha Afisa elimu
Vanguard brand new ni shilingi ngapi? Huku tuna walimu wa kawaida kabisa wanamiliki. Si mmoja au wawili ni wengi kiasi. Hivyo unategemea Unaishi wapi. Kama Mpwayungu village kule Kwa wagogo yawezekana hayako maana hata Rami haikoMkuu Elungata inapendeza hata wao ifike mahali wamiliki magari sio hayo mabox na vibakuri vya michuzi eti ni gari
Mkuu Bigstone kwanza u bukheri wa afya ?Vanguard brand new ni shilingi ngapi? Huku tuna walimu wa kawaida kabisa wanamiliki. Si mmoja au wawili ni wengi kiasi. Hivyo unategemea Unaishi wapi. Kama Mpwayungu village kule Kwa wagogo yawezekana hayako maana hata Rami haiko
Toeni mifano hai. Mlisema mishahara yao ni midogo sana bila takwimu! Ukweli ni kuwa mishahara yao ni mikubwa ingawa haitoshi.Mkuu Bigstone kwanza u bukheri wa afya ?
Turudi kwenye mada ndugu kaka mwalimu kumiliki Vanguard au Ist au Vitz sio kuonekana ana hela au tuseme wanalipwa vizuri mpaka kufanya hivyo .
Ila ni kuwa kwa leo kuna access za mikopo kwahiyo hata hiyo Vanguard uisemayo yawezekana kakopa ndiyo kanunua .
Sasa lengo anuwai sio huo ujinga wa kumiliki gari ya mamimilioni alafu huku unaliendesha siku za kutoka mshahara tu .
Ni imani yetu kuwa maslahi ya mwalimu yakiimarishwa vizuri tegemea mwalimu awe na biashara zake kubwa na maendeleo zaidi ya kumiliki gari la mkopo .
Hivyo wito ni kuwa masilahi yaongezwe ili hata akinunua gari la gharama vipi asiwe na hofu juu ya gharama za kuliendesha hilo gari .
Ila pia niwakumbushe kumiliki gari sio utajiri ni kuwa na kitu ambacho ni mahitaji ya binadamu katika karne ya leo .
Ulimbukeni wa familia nyingi watokazo ndugu walimu walio wengi ndiyo maana ufikiri kumiliki gari ni utajiri ila ni ulimbukeni uliopindukia .
Wito ni kuwa ni lazima masilahi ya walimu yaongezwe .
Teachers wake up the time of your liberation is now.[emoji123]
Rafiki BigstoneToeni mifano hai. Mlisema mishahara yao ni midogo sana bila takwimu! Ukweli ni kuwa mishahara yao ni mikubwa ingawa haitoshi.
Kama ni biashara walimu wanazo na Wanazifanya. Wengi tu.
Kama sehemu mnayoishi walimu hawajitumi huo ni upuuzi wao na kamwe hawawezi kuwa walimu wote nchini.
Mkuu ongea yote hujamalizaKumsemea mwalimu ni kutafuta matatizo bure, walimu wenyewe kwa wenyewe hampendani, mnaoneana wivu, chuki na roho mbaya imewajaa mwalimu yuko radhi amuaribie mwalimu mwenzie kazi.
Mwalimu utanisamehe sana, hivi karibuni nitaleta humu uozo na ujinga mnaofanyiana walimu, kabla ujatuomba kuwasaidia jiulize nyie mmefanya nini na mmefikia wapi?
Uwe unakaa kimya hujui kituToeni mifano hai. Mlisema mishahara yao ni midogo sana bila takwimu! Ukweli ni kuwa mishahara yao ni mikubwa ingawa haitoshi.
Kama ni biashara walimu wanazo na Wanazifanya. Wengi tu.
Kama sehemu mnayoishi walimu hawajitumi huo ni upuuzi wao na kamwe hawawezi kuwa walimu wote nchini.
Prado new model au V8 mwambie anunue kumamaeVanguard brand new ni shilingi ngapi? Huku tuna walimu wa kawaida kabisa wanamiliki. Si mmoja au wawili ni wengi kiasi. Hivyo unategemea Unaishi wapi. Kama Mpwayungu village kule Kwa wagogo yawezekana hayako maana hata Rami haiko
Lofa kweli wewe unanitajia pesa mbuzi hizo, ambazo naingiza Kwa sikuKama huna evidence usikatae kitu. TGTS I ni shilingi ngai? Ni almost 3m.
TGTS H ni mshahara tu mkubwa wa kumwajiri Mpwayungu na family yake yote. It's over 2m.
Kuna uzi nimetupia humu uitafute, na uje na ushauri pia kwa serikaliMkuu ongea yote hujamaliza
Waalimu wanapenda kujiliza ujinga mtupu, wana maslai duni hebu waweke scale zao za mishahara tulinganishe na wengineWalimu hawana MATATIZO madogo ya utumishi Kama wengine. Ila Kuna pepo baya limewakuta walimu wameharibika tu kisaikolojia.
=====
Baada ya Idara ya:
- Afya
- Engineering
- Sheria (Law school)
Anayefuata kwa Mshahara mkubwa hapo ni Mwalimu. Walimu wa Sayansi Sasa hivi mishahara yao Ina upendeleo Maalum, wanaanzia ngazi ya tatu juu ya walimu wengine.
Wakati watumishi wengine huchukua likizo ya SIKU 28 Mara moja kwa MWAKA, Mwalimu ananufaika na LIKIZO kila wanafunzi wakifunga shule MARA 4 kwa MWAKA.
Mwalimu mwenye MADARAKA Wana POSHO Maalum ya madaraka, wakati hata Ma-Incharge vituo vya Afya na Zahanati WANAJITOLEA tu.
Sasa sijui unapobweka kuhusu Walimu unamaanisha NI?
Hebu weka wewe wa kada zote uone Hali ilivyo!!! Nilichojifunza jamii forum Kuna utoto mwingi mno watu wengi ni mbumbumbu hawajui kituWaalimu wanapenda kujiliza ujinga mtupu, wana maslai duni hebu waweke scale zao za mishahara tulinganishe na wengine
Mleta mada mwenyewe ni Mwalimu pia kama bado ulikua hujaligundua hilo.Kampeni yako nimeipenda ni kama unawaponda walimu ila ukiangalia kwa undani ni kama una
1. iambia serikali iwakumbuke hata kwa posho
2. Waambia walimu wenyewe wajipe thamani na kuacha kufanya mambo yanayowafanya wadharaulike.
3. Unaziamsha akili zao wadai haki yao
4. Unapigania maslahi yao bila wewe kujua au au huku ukijua sema umetumia indirect ways.
by jicho la muona mbali
Na sisis tusiokua na ajira tunaruhusiwa kuwaonea huruma walimu?Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Hii posho ya madaraka kwa walimu wakuu,ndi tatizo lingine kwa walimu, walimu wanarogana kisa madaraka, wanabambikiziana vikesi vya ajabu kisa posho ya madaraka.Walimu hawana MATATIZO madogo ya utumishi Kama wengine. Ila Kuna pepo baya limewakuta walimu wameharibika tu kisaikolojia.
=====
Baada ya Idara ya:
- Afya
- Engineering
- Sheria (Law school)
Anayefuata kwa Mshahara mkubwa hapo ni Mwalimu. Walimu wa Sayansi Sasa hivi mishahara yao Ina upendeleo Maalum, wanaanzia ngazi ya tatu juu ya walimu wengine.
Wakati watumishi wengine huchukua likizo ya SIKU 28 Mara moja kwa MWAKA, Mwalimu ananufaika na LIKIZO kila wanafunzi wakifunga shule MARA 4 kwa MWAKA.
Mwalimu mwenye MADARAKA Wana POSHO Maalum ya madaraka, wakati hata Ma-Incharge vituo vya Afya na Zahanati WANAJITOLEA tu.
Sasa sijui unapobweka kuhusu Walimu unamaanisha NI?