Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

Hata Watendaji Kata siku hizi Wana POSHO ya madaraka, Tsh 100,000 kwa mwezi
 
Navipi kuhusu overtime na per diem, house na food allowances wanapewa pia walimu?
CWT hawajitambui hawapo kwa ajili ya walimu, wapiganie posho yaani Teaching Allowance

Walimu wana hali mbaya, hivi serikali kwa mtazamo wao wanafikiri elimu itaboreka kwa kuweka policy ya divide and rule?

Kwamba mwalimu mkuu apewe posho alafu wengine wengi waachwe, hapa kuna shida nakwambia
 
Sekta ya 2 Kwa Idadi kubwa ya Chawa baada ya wasanii.
 
Kama huna evidence usikatae kitu. TGTS I ni shilingi ngai? Ni almost 3m.
TGTS H ni mshahara tu mkubwa wa kumwajiri Mpwayungu na family yake yote. It's over 2m.
Unajua inachukua miaka mingapi kufika TGTS H NA TGTS I ?

NI ZAIDI YA MIAKA 20 KAZINI.
 
Afya ndo kuna pesa mingi sana?
 
Haya maneno kama umechukua mdomoni kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…