Hata Watendaji Kata siku hizi Wana POSHO ya madaraka, Tsh 100,000 kwa mweziHii posho ya madaraka kwa walimu wakuu,ndi tatizo lingine kwa walimu, walimu wanarogana kisa madaraka, wanabambikiziana vikesi vya ajabu kisa posho ya madaraka.
Niombe serikali ya awamu ya tano hii posho ni divide and rule policy ya mkoloni wote walimu wapewe posho katikati ya mwezi hata kama ni elf 50 tu
CWT hawajitambui hawapo kwa ajili ya walimu, wapiganie posho yaani Teaching AllowanceNavipi kuhusu overtime na per diem, house na food allowances wanapewa pia walimu?
Sekta ya 2 Kwa Idadi kubwa ya Chawa baada ya wasanii.Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Za masiku mengiMleta mada mwenyewe ni Mwalimu pia kama bado ulikua hujaligundua hilo.
Nzuri kabisa,upo poa dear?Za masiku mengi
Mwalimu matusi ya nimi tena?Mpwayungu unato m b ... w a...
nimi*=niniMwalimu matusi ya nimi tena?
Watu wengi sana hawajui kutofautisha TGTS na promotion kazini, huo mshahara anaousema ni mwalimu aliyebakiza miaka 0- 5 kustaafu.Mwalimu yupi analipwa pesa hiyo mtaje Kwa jina na TGTS
Unajua inachukua miaka mingapi kufika TGTS H NA TGTS I ?Kama huna evidence usikatae kitu. TGTS I ni shilingi ngai? Ni almost 3m.
TGTS H ni mshahara tu mkubwa wa kumwajiri Mpwayungu na family yake yote. It's over 2m.
Anaropoka tuUnajua inachukua miaka mingapi kufika TGTS H NA TGTS I ?
NI ZAIDI YA MIAKA 20 KAZINI.
Wao wanasemaje.......mbele kwa mbele 🎶🎶Bila wao tusingekuwa hapa tulipo walimu wadhaminiwe
Afya ndo kuna pesa mingi sana?Tatizo ni wajuaji , alaf ni makada , ukisema makosa ya serikali wanakutenga na wanakusinitch , waoga kinyama , huwez kutetea kundi hili unajitakia majanga tuu, wajanja huwa wanajiondokea kwenye hyo Kada , mtu unafundisha physics na chemistry, ni kijiaibisha tuu , fundisha miaka mitano chepukia Afya
Haya maneno kama umechukua mdomoni kwanguTatizo ni wajuaji , alaf ni makada , ukisema makosa ya serikali wanakutenga na wanakusinitch , waoga kinyama , huwez kutetea kundi hili unajitakia majanga tuu, wajanja huwa wanajiondokea kwenye hyo Kada , mtu unafundisha physics na chemistry, ni kijiaibisha tuu , fundisha miaka mitano chepukia Afya
Kuna malupulupu mengi mnoAfya ndo kuna pesa mingi sana?
Kama yapi, maana Mimi Niko Afya na sioni chochoteKuna malupulupu mengi mno
Aliyeko kazini Miaka 20 ni Mwalimu piaUnajua inachukua miaka mingapi kufika TGTS H NA TGTS I ?
NI ZAIDI YA MIAKA 20 KAZINI.
Ukipata kitengo ni kweli, ukiwa Huna cheo chochote ni ngumuKuna malupulupu mengi mno