Hamza swakala
JF-Expert Member
- Feb 14, 2022
- 479
- 619
[emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa wewWalimu hawalipwi mishahara bali wapewa rambirambi
Bora Mwambie huyo lofa asee hajui msoto .....na elimu ndo inakubebaUnajua inachukua miaka mingapi kufika TGTS H NA TGTS I ?
NI ZAIDI YA MIAKA 20 KAZINI.
Uko sahihiLaki tatu take home Kwa mwalimu wa shule ya msingi daraja A
We jamaa hatariWalimu hawalipwi mishahara bali wapewa rambirambi
Mada ni walimu sio joblesskama walimu wanateseka je wasio na ajira kama hana hali mbovu wajaribu kuacha kazi wawe jobless mbona wataishi powa tu mtaani.
Ndoivo hawa jamaa wanapata shida sana ahseeMwalimu ndo mtumishi peke anayefanya KAZI Hadi kipindi Cha overtime lakin akidai posho ya overtime anaundiwa zengee la kufukuzwa KAZI na mwajiri wake Cha kushangaza walimu wenzake watamuita wewe ni CHADEMA au upinzani.
Unapoandika uwe specific hiyo mishahara ni take home au basicMishahara
Mwalimu cheti 470K
Diploma 590K
Degree 770K
Degree science 800K
AFYA
Cheti 500K
Diploma 740K
Degree 3years 1,040,000/=
Degree 4years 1,340,000/=
Degree 5years 1,500,000/=
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mshahara hua ni basicUnapoandika uwe specific hiyo mishahara ni take home au basic
Kama ni basic basi ni mdogo sana Kwa maisha ya sasa huyo mwalimu asahau kuhusu cocktail
Ivi kumbe, walimu wana posho?Si kweli kwamba walimu wanamishahara midogo, walimu wanakuwa na maisha magumu sana baadhi yao si wote sababu ya madeni, wanakopa hela then wanafanyia expenditure na sio asset
Ndio mishahara iyo...unakuta hapo myu kaoa alafu kwao njaa kali simu kila mwisho wa mwezi hazikati...mtu mwenyewe anapokea laki 3 naa hivi...sijui anajibanajeKama ni basic basi ni mdogo sana Kwa maisha ya sasa huyo mwalimu asahau kuhusu cocktail
Kwahiyo tufanye siku gani ya kuwatetea walimuNdio mishahara iyo...unakuta hapo myu kaoa alafu kwao njaa kali simu kila mwisho wa mwezi hazikati...mtu mwenyewe anapokea laki 3 naa hivi...sijui anajibanaje
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji23]Kwahiyo tufanye siku gani ya kuwatetea walimu
๐๐ข๐ค๐ฎ ๐ฎ๐ค๐ข๐๐ฆ๐ค๐ ๐ฏ๐ข๐ฑ๐ฎ๐ซ๐ข ๐๐ ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ง๐ข 140 ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐๐ญ๐๐ง๐ฒ๐๐ก๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ ๐ฎ๐ง๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ฎ๐.Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]