Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Shida moja wahuni wako wizaran hawahamishwi na wakihakishwa wanakpelekea n balaa zaidiuna uhakika na tuhuma ulizonipatia au ndio umeona sawa kuropoka kwa maandishi, pole
kwa kifupi, idara ya ardhi haipo TAMISEMI
mwambie mtoa mada aache ndoto za mchana, haiwezekani wizara kufutwa na kupewa wazungu labda kichaa ndio mwenye kuwaza hvyo
malalamiko idara ya ardhi yako mengi
1. Migogoro ya mipaka
2. Ujenzi holela
3. Utapeli ktk umiliki wa ardhi
4. Maeneo kutokupimwa kwa wakati sahihi
migogoro yote hiyo inaweza kuisha kwa maeneo\ardhi kupimwa na kuwa na database inayoweza kufikiwa na mwananchi kihurahisi ht kwa kutumia simu janja
Kazinikunakazi