Tuvunje Wizara ya Ardhi na Tamisemi tuwape Wazungu

Tuvunje Wizara ya Ardhi na Tamisemi tuwape Wazungu

Huwezi kumkwepa mzungu kwenye kitu kinaitwa ustaarabu wa kuishi.

Ametuacha mbali sana sisi waafrika weusi!

Kama hujatoka nje ya Tanzania na kufika kwenye nchi zao hutaelewa ila kama umetoka utaelewa.
Niko MIAMI FLORIDA mkuu, wazungu wamestaarabika kufuata muda na kuwajibika tu..

Kitabia hatipishani mkuu, yako majamaa ya hovyo sana huku ...
 
Niko MIAMI FLORIDA mkuu, wazungu wamestaarabika kufuata muda na kuwajibika tu..

Kitabia hatipishani mkuu, yako majamaa ya hovyo sana huku ...
Naongelea kupanga miji yao na makazi yao. Huko Florida kuna eneo limejengwa hovyo kama tandale? Au kigogo samaki?

Kuna eneo wanapanga biashara chini kama Mbezi Mwisho au Mbagala?
 
Naongelea kupanga miji yao na makazi yao. Huko Florida kuna eneo limejengwa hovyo kama tandale? Au kigogo samaki?

Kuna eneo wanapanga biashara chini kama Mbezi Mwisho au Mbagala?
Yapo mkuu , zinapangwa nyanya barabarani ..
images (9).jpeg

Tena hapo LA mkuu.


Na sio hapo tu, sehemu nyingi almost kila jiji .
 
Hii 👆 nchi ujamaa umeiharibu kabisa daa.
Yan kila kitu kimeungwanishwa na siasa
 
Hao ni wahamiaji haramu ambao most ni homeless ndo wanafanya hayo.

Huwezi kuta mmarekani kajenga banda la mbao au mabati barabarani
Usitoke nje ya Topic, awali ulidai hakuna watu wanauza nyanya barabarani US

Nimekuthibitishia wapo, sasa wawe ni wahamiaji au wazawa sio dill ishu ni kwamba wanaouzia barabarani wapo ...

Naongelea kupanga miji yao na makazi yao. Huko Florida kuna eneo limejengwa hovyo kama tandale? Au kigogo samaki?

Kuna eneo wanapanga biashara chini kama Mbezi Mwisho au Mbagala?
Mkuu Tz ni nchi inayoendelea, usifananishe na nchi iliyoendelea .

Ukifukuza machinga barabarani unawaweka katika hali ngumu wakati bado wanajitafuta ,
 
Wazungu hawana shida na kila kitu kinakwenda kosher ?

Kwa taarifa yako tupo hapa na tutaendelea kuwa pabaya zaidi kwa watu wenye fikra kama zako kwamba umpe mtu mwenye motives tofauti na zako ili akufanikishie wewe ?

Kwa taarifa yako hao so called wazungu wamefanikiwa zaidi kwa marginalization ya sisi tunaowakaribisha leo na kuwaona ni wajomba zako....

We need to become self reliant hususan kwa vitu ambavyo tuna uwezo navyo kuliko kutumia dollar.., kwa kuanza tu jiulize kwanini tunahangaika kununua gesi kutoka nje (LPG) wakati tunaweza kutumia nishati ya kupikia tunayozalisha tena kwa gharama sawa na bure ?
 
Usitoke nje ya Topic, awali ulidai hakuna watu wanauza nyanya barabarani US

Nimekuthibitishia wapo, sasa wawe ni wahamiaji au wazawa sio dill ishu ni kwamba wanaouzia barabarani wapo ...


Mkuu Tz ni nchi inayoendelea, usifananishe na nchi iliyoendelea .

Ukifukuza machinga barabarani unawaweka katika hali ngumu wakati bado wanajitafuta ,
Screenshot_20240916_173905_Chrome.jpg

Uwe unajifunza sio una copy na kupaste tu vitu vya mtandaoni. Hiyo picha umeitoa kwenye habari inayoonesha wenzetu wanavyochukua hatua kwenye hicho unachokisema. Huku kuna nini kinafanyika? Be it regularly or otherwise?
 
Inakera sana Kuna maeneo unakuta Bado watu hawajawa wengi watu wa ardhi na Mipango miji wanashindwa kupima maeneo na kuweka plan nzuri mwisho wa siku watu wanaongezeka wanajenga hovyo Yani kero unajiuliza ivi sisi tuna akili kweli?
 
Usitoke nje ya Topic, awali ulidai hakuna watu wanauza nyanya barabarani US

Nimekuthibitishia wapo, sasa wawe ni wahamiaji au wazawa sio dill ishu ni kwamba wanaouzia barabarani wapo ...


Mkuu Tz ni nchi inayoendelea, usifananishe na nchi iliyoendelea .

Ukifukuza machinga barabarani unawaweka katika hali ngumu wakati bado wanajitafuta ,
Mkuu hatusemi machinga wafukuzwe,ila hapa tunaongelea Mipango mizuri ya sehemu wazouzia Hawa wamachinga.mfano Mwanza Kuna soko linaitwa soko la wakulima kayenzi Kona hapo wakulima wengi wanapanga vyakula chini kabisa na ni soko ambalo halmashauri inakusanya ushuru sasa unajiuliza ivi inashindikana vipi kuweka mazingira mazuri hapo?soko halima umeme saa 12 tu soko limefungwa hii ni sahihi?
 
Mkuu hatusemi machinga wafukuzwe,ila hapa tunaongelea Mipango mizuri ya sehemu wazouzia Hawa wamachinga.mfano Mwanza Kuna soko linaitwa soko la wakulima kayenzi Kona hapo wakulima wengi wanapanga vyakula chini kabisa na ni soko ambalo halmashauri inakusanya ushuru sasa unajiuliza ivi inashindikana vipi kuweka mazingira mazuri hapo?soko halima umeme saa 12 tu soko limefungwa hii ni sahihi?
Hapo umeeleweka mkuu ..
 
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
Hama hii nchi tu.
 
Lord denning WIZARA YA ARDHI TUWAPE MAREKANI.
Yani kuna upuuzi unaendelea mpaka unatakamani wakoloni warudi hata leo ya Adhuhuri.
Imagine Mji unawekwa bustani za wazi, kuna watu wanajiita makada wa chama "wanabadilisha matumizi na kujenga nyumba".
viwanja vya wazi vimefanywa garage nchi nzima.
Miji haina green belt.
Jangwani palipaswa kupandwa mikoko namiti mingine ila sisi tunataka tupaki mafuso.

Kinondoni , ilala na kigamboni hata pale magopmeni kwa mkuu wa wwilaya maeneo yote ya wazi makada wamegawana na wameweka makontena wanajifanya ni temporary lakini ukweli ni kwamba tangu nipo mtoto hawa makada wakiweka kontena hiyo ni permanent.
chiembe 6 Pack pale Mikocheni panaitwa "kwa Mwenyekiti" wanauza KITIMOTO, karibu na TLS au kwa KIKWETE, ni open space katikati ya makazi ya watu, huu ni mwaka wa 40 wameweka kontena wanasema ni temporary, Miaka 40 si mtu mwenye Hati ya kiwanja ya miaka 33 imeisha na sasa ana renew?
Watu wa mipango miji hata nyumba zao zenyewe hawajui kupanga. Hivi unawekaje msikiti au kanisa katikati ya magodown?
Unatoaje kibali cha restaurant katikati ya vyoo nas mitaro ya maji?
Wizara ya ardhi ilikuwa imepata daktari wa kuitibu Slaa, lakini ameondolewa kimizengwe na kuwekwa mtu asiejua anachokifanya wizarani.

Kwahiyo wananchi ya kwetu macho tu.
 
Jaji Maarufu Lord denning maskini wanawachukia sana wamarekani na wana amini wamarekani ndio wamewaletea umaskini wao japo kila kukicha wapo ubalozi wa marekani wakitafuta visa na greencard kwenda huko huko Marekani.

Maskini wa Tanzania wanaamini Russia na China ndio mkombozi waomila hawaonekani kwenye balozi za China na /Urusi wakiomba visa wakaishi huko Russia.

Maskini wapo easly manipulated na wanasiasa , kila mwanamke na mwanaume anatakamani aongee kingereza cha kimarekani, avae kama mmarekani, sasa kwanini wasianzae kuvaa na kuongea kama wachina wanaowapenda?
MAREKANI hajatawala nchi yeyote hapa AFRIKA, sasa yeye katuleteaje umaskini?
Maskini anachojua ni kulalamika tu, kila sababu anayoweza kuhisi kuwa ni chanzo cha umaskini wake ataitumia hiyo hiyo kujenga hoja za kulalamikia. Tumepotea katikati ya bahari na hatujui tunachomoka vipi.
 
Back
Top Bottom