Uchumi umeshikiliwa na waarabu na wahindi
Sasa mkoa kama Shinyanga kuna tajiri gani zaidi ya waarabu matajiri wa Mabus ya Ally's Star
Na mzee Mohamed wa Mabus ya Mohamed Trans sema nae alipitia mitihani ya kufilisiwa
Si ndo huyo kajenga jenga lodge huko kahama? Mbona anamiliki mali za kawaida sana hawezi kuingia kwenye list ya matajiri
Acha uongo. Dar Free Market ni ya Mhindi.
Basi ni tajiri kwelikweliKishimba ni tajiri hapo Dar ndo usiseme! Lamada hotel and Appartment,Dar Free Market,Rock Beach Mwanza,Mwenge Dar na Dodoma ana macumba kila kona! Bado kwenye Industry ya Madini!
Manyara Kuna mtu anaitwa Kanunga ni masai wa Madini ukija Arusha kuna Muhindi anaitwa Dallya ana kampuni inaitwa Alpha group ,Lema wa Northern engineering, kuna Muhindi anaitwa Bansal ndio mwenye Bansal Steel na Bansal Transportation, Hans Paul naye Yumo Kuna Familia ya Mtei hii familia ni Mafuta matupu. Ukija moshi kuna Familia ya Mzee Marenga, Lasway, NdesamburoCelebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na waarabu tuwaweke pembeni kidogo ni ligi za ugenini, hebu tudeal na ligi za timu asili za nyumbani
Kwa uchache naowajua ni hawa ila tuzidi kujuzana kupitia comments
SONGEA -
Ottawa - real estate na mabasi
Super Feo - Biashara yake ni ya mabasi, Kakamata route nyingi za Songea na Njombe.
MBEYA -
Achimwene - tajiri mchimba dhahabu za Chunya, Biashara yake ni mabasi, kila baada ya miezi kadhaa i kawaida kuona kazindua mabasi mapya mjini.
Sauli - Nae ni mchimba dhahabu huko Chunya, Anamiliki mabasi chapa ya Scania.
Machemba - Msambazaji mkubwa wa hardware
Maranatha - Anamiliki chain ya maduka ya madawa na hospitali.
Nasoma - kijana ana duka kubwa la Hardware
Sugu - Mwana aliezeeka sio wa kumchukulia poa, nae kimtindo yumo yumo katika madon maaraufu wa Mbeya
MANYARA
Laizer - huyu mzee alipiga mshindo mzito sana na kujipatia umaarufu kupitia madini ya Tanzanite
Amewekeza kwenye nini, halafu Kuna jamaa kutoka hukohuko Mbinga namuonaga insta anaitwa mchungaji thobi, anaonekana yupo njema sanaMbinga kuna tajiri mmoja mkimya sana. Anaitwa Said Banda. Huyu ni hatari sana
Zongii ana kiwanda kabisaMWANZA
=CMG, Christopher Mwita Gachuma huyu mzee ni balaa, ana share Nyanza Bottling, (Coca Cola ya Mwanza), New Mwanza Hotel, Na vingine vingi.
=Sunpharm -Mzee Makongoro, anamiliki Midland Hotel na vingine kibao
=Zongii =Huyu ana duka la plumbing kubwa kuliko yote Mwanza
=Zuberi =Huyu ni tycoon kwenye usafirishaji, mabasi na Malori ya kutosha
= Babu, huyu mwarabu yupo kwenye biashara ya mafuta, na pia ana wadhifa huko kwenye Chama ana mawe balaa
Kuna Wahindi wengi Sana Mwanza wana pesa za kutosha,
Tembelea Capri point uone mahekalu yao, Masaki haioni ndani [emoji3]
Matajiri wa Mwanza wenye viwanda wako wengi sio issue!Zongii ana kiwanda kabisa
Mwamba alitaka kunipa Dili ila badae dakika za jioni akanitosa.Zongii ana kiwanda kabisa
Wewe ni ndo yule mke mdogo2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Ndio hao tu?? Kwahio mikoa mingine hakuna matajiri??
kiufup huwa napendaga sana dharau ila sipendagi kumdharau mtu ila naona unanitengezea mazingira ya kukudharau mi ni kama oil ukinichafua sichafuk ila nikikuchafua doa langu halitatoka wenzako walini block wasione, uzi wangu wala coment zangu pleas tunza heshima yakoWewe ni ndo yule mke mdogo
Asas na MT (Huwel) hizo ni ngoma zingine kabisaNazan hamfaham asas Wala Huwel
Hizi ni story za kijiweni huyo hamjui kishimba hata roboAiseee kwamba Kishimba sio tajiri
Sawaa
Muongezee na hii, mpk kufikia 2019 alikua na ng'ombe zaidi ya elfu kumi tano huko starikeWewe! Usimchukulie poa huyo mzee...ana real estate hadi dar tena sehemu nyeti kama dar free market ni ya kwake
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mkuu achana nae huyo ndio maana sijataka hata kubishana naeHizi ni story za kijiweni huyo hamjui kishimba hata robo