Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Una uhakika wewe ni tajiri? Kwasababu hakuna tajiri anaejisifu hata kidogo nina mashaka mno
tajir hajisifu sababu haridhiki na anachokipata kwahy kila akipambana anaona kuna mwingine juu yake kwahy anajiona bado anapambana tena kwahy mchezo unakuwa hvy mimi naridhika na nikipatacho na nikikaa kupiga hesabu zangu na nikifananishwa kwenye froo list za mapato kwa mkoa husika najiona nimepiga hatua na namshukuru mungu na kumtukuza asante kwa kuniweka hapa na hiki ulichonipa kwahy ukubali ukatae mi ni tajiri coz nina vigezo na watu wa pemben wanajua mi tajir acha nijisifu mm ni tajir mzee baba kumilik mali ya b5 unazan mi ni maskin nitajir haswa afu broo hebu tega sikio nikwambie kitu mwenzio nikienda bank kukopa nachukua wastan wa m800 cash vp bado nijiite maskin mi tajir baba acha nijisifu ma ID YENYEWE FAKE nani atanijua mi tajir baba kama maskn anajijua ye maskn na anajisifu kptia umaskn wake na mimi najisifu kupitia utajir wng mi tajir baba
 
mwana anazingu sana kwenye neno mafanikio tumia mbinu zote ila mbinu inayoitwa mganga toa, watu weng wanasema utajir wa mtu ni wa kichawi hakuna kitu kama hiko kabla sijaanza miliki mali nimelikuwa nikiamin watu wanafanikiwa kupitia uganga bas nikazunguka nchi nzima na hata nje kutafuta waganga na sikufanikisha lolote na hakuna mganga maaruf wa hapa nchini utakae nidanganya bas nikaanza ukaribu na tajir mmoja ndio huyu ottawa lengo nikitaka anipe conection ya mganga ila huez amini jamaa alinipa somo pasp matumiz ya mganga na nikalifanyia kaz leo hy na mm ktk matajir 30 wa mkoa ukiwataj mm utanikuta wa 23 na lengo niwe wa kwanza
Ottawa ameacha kuvuta fegi?...
Kuna kipindi tulikuwa tunamuita somo.
 
tajir hajisifu sababu haridhiki na anachokipata kwahy kila akipambana anaona kuna mwingine juu yake kwahy anajiona bado anapambana tena kwahy mchezo unakuwa hvy mimi naridhika na nikipatacho na nikikaa kupiga hesabu zangu na nikifananishwa kwenye froo list za mapato kwa mkoa husika najiona nimepiga hatua na namshukuru mungu na kumtukuza asante kwa kuniweka hapa na hiki ulichonipa kwahy ukubali ukatae mi ni tajiri coz nina vigezo na watu wa pemben wanajua mi tajir acha nijisifu mm ni tajir mzee baba kumilik mali ya b5 unazan mi ni maskin nitajir haswa afu broo hebu tega sikio nikwambie kitu mwenzio nikienda bank kukopa nachukua wastan wa m800 cash vp bado nijiite maskin mi tajir baba acha nijisifu ma ID YENYEWE FAKE nani atanijua mi tajir baba kama maskn anajijua ye maskn na anajisifu kptia umaskn wake na mimi najisifu kupitia utajir wng mi tajir baba
Wewe kama ID ni fake sasa hata hili la kujiita tajiri nayo ni fake
 
Wewe kama ID ni fake sasa hata hili la kujiita tajiri nayo ni fake
haya mi maskin baba tena wakutupwa nalala nje sina nyumba wala kitanda kula tu kunanishindwa juz nimelala nanjaa leo ndio kabisa sijui nitakula wapi mimi maskin nitoe hata buku bwanaa hahahaha hapo umeona raha watz haooo hahaha broo haikusaidii kitu
 
Wewe kama ID ni fake sasa hata hili la kujiita tajiri nayo ni fake
Si ndo hapo Tajiri wa 5b anashinda JF? Huyo jamaa ameamua kuota ndoto za mchana. Ana 5b anashinda JF na kutoa vichambo kama yupo uswahilini.
Hana utajiri wowote unakuta anashindia mihogo na chai ya rangi kikombe kimoja. Unajua watu sahizi wapo na matatizo ya kiasaikolojia.
 
Si ndo hapo Tajiri wa 5b anashinda JF? Huyo jamaa ameamua kuota ndoto za mchana. Ana 5b anashinda JF na kutoa vichambo kama yupo uswahilini.
Hana utajiri wowote unakuta anashindia mihogo na chai ya rangi kikombe kimoja. Unajua watu sahizi wapo na matatizo ya kiasaikolojia.
hahaha aiseee hahaha ukitaka kugombana na mtz we jisifu tajiri broo mi ni tajiri haswa nina pesa chafu pesa yangu nikiipanga njian toka dodoma hadi u.s.a kwa njia nne afu mwez uliopita kuna wazir alikuja hom akidai niikopeshe serikal imalizie mrad wake wa lile bwawa la umeme sijui la wapi lile nikawaambia ngojen kwanza niwatimizie nmb bank maana nao walikuja kuomba mkopo kwangu baba mi ni tajir haswa
 
hahaha aiseee hahaha ukitaka kugombana na mtz we jisifu tajiri broo mi ni tajiri haswa nina pesa chafu pesa yangu nikiipanga njian toka dodoma hadi u.s.a kwa njia nne afu mwez uliopita kuna wazir alikuja hom akidai niikopeshe serikal imalizie mrad wake wa lile bwawa la umeme sijui la wapi lile nikawaambia ngojen kwanza niwatimizie nmb bank maana nao walikuja kuomba mkopo kwangu baba mi ni tajir haswa
🙌🙌🙌🙌
 
Nyanda za juu kusini tajiri mkubwa atoke songea? Unawafaham matajiri wa njombe? Waarabu wa Iringa je?
[/QUOT
Si ndo hapo Tajiri wa 5b anashinda JF? Huyo jamaa ameamua kuota ndoto za mchana. Ana 5b anashinda JF na kutoa vichambo kama yupo uswahilini.
Hana utajiri wowote unakuta anashindia mihogo na chai ya rangi kikombe kimoja. Unajua watu sahizi wapo na matatizo ya kiasaikolojia.
Kama hata ASAS , MO na Rostam Azizi Wamo JF yeye ni Nani asewepo JF.
 
MWANZA
=CMG, Christopher Mwita Gachuma huyu mzee ni balaa, ana share Nyanza Bottling, (Coca Cola ya Mwanza), New Mwanza Hotel, Na vingine vingi.
=Sunpharm -Mzee Makongoro, anamiliki Midland Hotel na vingine kibao
=Zongii =Huyu ana duka la plumbing kubwa kuliko yote Mwanza
=Zuberi =Huyu ni tycoon kwenye usafirishaji, mabasi na Malori ya kutosha
= Babu, huyu mwarabu yupo kwenye biashara ya mafuta, na pia ana wadhifa huko kwenye Chama ana mawe balaa
Kuna Wahindi wengi Sana Mwanza wana pesa za kutosha,
Tembelea Capri point uone mahekalu yao, Masaki haioni ndani 😀
 
2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo
Zile Basi hakuzitendea haki, Ziliundwa na MCV Body Builder South Africa. Siku zinatoka South Africa niliziona nikiwa Parking pale Forest Maghorofani.

Hiyo trip ya free nilisikia alitoa ila watu wa Songea wanaogopa sana ofa za Mwamba.
 
Zile Basi hakuzitendea haki, Ziliundwa na MCV Body Builder South Africa. Siku zinatoka South Africa niliziona nikiwa Parking pale Forest Maghorofani.

Hiyo trip ya free nilisikia alitoa ila watu wa Songea wanaogopa sana ofa za Mwamba.
ofa za mwamba zilikaa kimkakati, nakumbuka siku moja dereva mwenzetu mmoja alikuwa analaumiwa kila day yeye kuchelewa kuingia town kutoka dar mpaka ikafikia hatua kumwambia kitachofuata kuachishwa kazi siku mbili mbele ottawa akiwa ofisin saa kumi kamili anaona ndinga yake inatoka dar inaelekea stand kuu kule town akaniuliza mimi huyu si flani huyu nikamjibu ndio ottawa akaanza huyu dogo sasa anataka kuniulia gar zangu tukachukua chuma had stand town akamkuta jamaa anashusha bwana ottawa kabla ya yote akamfuata dereva hv baba ni wewe kwel au? Hv unatoka dar kweli au ulilala njombe jamaa akajibu dar nimetoka saa12 alfajir otawa alisikitika kinoma na kusema kuanzia leo kwny roli la mafuta usje ukaua gar zng
 
ofa za mwamba zilikaa kimkakati, nakumbuka siku moja dereva mwenzetu mmoja alikuwa analaumiwa kila day yeye kuchelewa kuingia town kutoka dar mpaka ikafikia hatua kumwambia kitachofuata kuachishwa kazi siku mbili mbele ottawa akiwa ofisin saa kumi kamili anaona ndinga yake inatoka dar inaelekea stand kuu kule town akaniuliza mimi huyu si flani huyu nikamjibu ndio ottawa akaanza huyu dogo sasa anataka kuniulia gar zangu tukachukua chuma had stand town akamkuta jamaa anashusha bwana ottawa kabla ya yote akamfuata dereva hv baba ni wewe kwel au? Hv unatoka dar kweli au ulilala njombe jamaa akajibu dar nimetoka saa12 alfajir otawa alisikitika kinoma na kusema kuanzia leo kwny roli la mafuta usje ukaua gar zng
Iveco Stralis nilizikuta zimepaki pale Msamala kwenye petrol station na kuna gari za makaa ya mawe za watu wengine wanatumia parking yake
 
Ulishafika ukawaona hawana nyumba na magari makali!
yah ndio shida na ndio maana utajiri wao hauna burudani..... Hali vizuuri Hana gari Kali... watoto hawaendelez Mali.


yaani vurugu tu.

utajiri mzuri ni wa kibiashara halali, siasa, shule...

unaenjoy saana majumba, biashara magari makali
[/QUOTE
 
Back
Top Bottom