Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Daaah na wewe takua nakujua maana hio mitaa ya kinondoni ndio ilikua yetu enzi, Omary Urembo nafikiri ndio yule tulikua tukimuita Omari kichwa nasikia na yeye alivuta pia, Sanga nae story yake nilisikia hivyo hivyo ulivosema. Mie nilivoona bongo miyeyusho mpunga niliovuta long room nikaona nitambae kwa Joe Biden mpaka leo nikija huko ni vacation tu week 2/3 narudi zangu. bongo ya sasa imejaa waturutumbi wengi haisomeki.Huyo Peter ndio simsikii kabisa. Kinondoni ilikua motoooo.
Waturutumbi wengi aisee,ukifika wanakushangaa wewe na wewe unawashangaa.
 
John Cheyo ni wa masaki Dar, nyumbani kwake si mbali sana na ubalozi wa South Africa au sea cliff apartments, huko Bariadi makolo wake alikuwa akiwatumia tu kupata ubunge, hadi Magu wameshawahi kumpa Ubunge, ana mdogo wake anaitwa Isaack Cheyo pia alikuwa anapewa ubunge wa Bariadi Magharibi naye ni mtu wa Dar maskani yake Kinyerezi tulikuwa tuna kijiwe chetu enzi hizo tunapiga lager za kutosha.
Cheyo alishawahi kua Mbunge wa Magu?? Mwaka gani huu kamanda!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
John Cheyo ni wa masaki Dar, nyumbani kwake si mbali sana na ubalozi wa South Africa au sea cliff apartments, huko Bariadi makolo wake alikuwa akiwatumia tu kupata ubunge, hadi Magu wameshawahi kumpa Ubunge, ana mdogo wake anaitwa Isaack Cheyo pia alikuwa anapewa ubunge wa Bariadi Magharibi naye ni mtu wa Dar maskani yake Kinyerezi tulikuwa tuna kijiwe chetu enzi hizo tunapiga lager za kutosha.
Isack Cheyo Mzee wa Casino sana na watoto wakali! Huyu Mzee nampa salute sana aiseeeee

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
John Cheyo ni wa masaki Dar, nyumbani kwake si mbali sana na ubalozi wa South Africa au sea cliff apartments, huko Bariadi makolo wake alikuwa akiwatumia tu kupata ubunge, hadi Magu wameshawahi kumpa Ubunge, ana mdogo wake anaitwa Isaack Cheyo pia alikuwa anapewa ubunge wa Bariadi Magharibi naye ni mtu wa Dar maskani yake Kinyerezi tulikuwa tuna kijiwe chetu enzi hizo tunapiga lager za kutosha.
Kuna Mzee mmoja anaitwa Mzee Sulla,alitoka zake huko Shinyanga na pesa,alipofika dsm,kina Simon Kisena walimpiga,nadhani ni zaidi ya 70M miaka hiyo ya 90! Yule Mzee hadi leo hua anawalaani sana kina Kisena na hua akisikia Kisena yuko Kisutu,Mzee anafurahi sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huyu abdalah nyumba nyingi,yeye alikua na mishe gani
Alikuwa mtoto wa mjini tu,na alikuwa na nyumba za urithi halafu zote zilikuwa za tope kipindi hicho watu wakawa wanamtania NYUMBA NYINGI,kwa mfano huyo KIZA KINENE alikuwa anaendesha tax tu Kinondoni,Kuna Victor Bandari alikuwa muajiriwa wa kawaida tu Bandarini alikuwa anaendesha crane au folk lift pale,hata Fikiri Madinda alikuwa dereva tu wizarani,nadhani mpaka sasa bado anafanya kazi hiyo serikalini.
 
Ubalozi wa south uko mjini Kati kabisa sheikh,sio masaki
Mwandishi wa huu uzi alishawataadharisha mapema, kama umri wako hautoshi basi kuwa msomaji tu ujifunze.

Kipindi hicho South africa tulikuwa tunaenda kwa viza lazima uende hapo masaki kuomba viza, supporting documents ilikuwa ni go and return ticket ya Alliance Airways.
 
Ukiachana na ASHA BARAKA mwenyewe kuna yule dada anaitwa LUIZA NYONI huyu dada alitoka nayo TWANGA MBALI sana
licha ya kuwa mnenguaji pia likuwa kama mpishi
anakwambia some time hata pesa ya kula kambi tabu inabidi atoke na vitu kama mafuta mchele nk NYUMBANI ili wakifika kambini wapike wale
EDHI HIZO ASHA anafanya kazi serikalini akitoka job jioni ndio anapitia KAMBI kama kapata CHOCHOTE kitu anawaachia wanamuziki
edhi hizo ndio kachukua jukumu la hiyo band mana ndugu zake waliona miyeyusho yeye akakomaa nayo hvyohvyo
Enzi,sio endhi
 
Mwandishi wa huu uzi alishawataadharisha mapema, kama umri wako hautoshi basi kuwa msomaji tu ujifunze.

Kipindi hicho South africa tulikuwa tunaenda kwa viza lazima uende hapo masaki kuomba viza, supporting documents ilikuwa ni go and return ticket ya Alliance Airways.
niliwatahadharisha hawa vijana.
giphy.gif
 
Uzi una balaa huu
uzi ni wa moto sana. una madini mengi ya watu maarufu wa zamani.

kama unahitaji kufahamu masuala mbalimbali yaliyo kick ndani ya jiji la dar mwishoni mwa miaka 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000 mpaka 2010, pitia post za huu uzi.
uta enjoy na kuelimika pia.
 
Mwandishi wa huu uzi alishawataadharisha mapema, kama umri wako hautoshi basi kuwa msomaji tu ujifunze.

Kipindi hicho South africa tulikuwa tunaenda kwa viza lazima uende hapo masaki kuomba viza, supporting documents ilikuwa ni go and return ticket ya Alliance Airways.
Tena tunaacha deposit ys hela ubalozini...

Siku hzi mtu akiamka tu anakwenda huko [emoji1]

Ova
 
Alikuwa mtoto wa mjini tu,na alikuwa na nyumba za urithi halafu zote zilikuwa za tope kipindi hicho watu wakawa wanamtania NYUMBA NYINGI,kwa mfano huyo KIZA KINENE alikuwa anaendesha tax tu Kinondoni,Kuna Victor Bandari alikuwa muajiriwa wa kawaida tu Bandarini alikuwa anaendesha crane au folk lift pale,hata Fikiri Madinda alikuwa dereva tu wizarani,nadhani mpaka sasa bado anafanya kazi hiyo serikalini.
Kuna jamaa mmja anafanya shuguli ya udobby(jina lake limenitoka kdg)
Pesa zake yeye anawapa twanga tu na wanamrushaga ....

Ova
 
Mwandishi wa huu uzi alishawataadharisha mapema, kama umri wako hautoshi basi kuwa msomaji tu ujifunze.

Kipindi hicho South africa tulikuwa tunaenda kwa viza lazima uende hapo masaki kuomba viza, supporting documents ilikuwa ni go and return ticket ya Alliance Airways.
Vijana hawajui! Huo Ubalozi kipindi cha nyuma watu,waliwahi sema,wamepanga kwenye Jengo la Eddo! Ingawa Eddo na yeye anaishi mitaa hiyo!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi bondeni ni passport yako tu,na nauli yako! Unatimba kwa Madiba,zamani hadi gamba liwe na Visa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Miaka ya zamani ili uonekane kamili,ngoma ngumu,Shuja
Kwa watoto wa kinondoni lazima uende huko.....ni sawa na kupata chef
Mtaani si heshima na kufagiliwa

Ova
 
Back
Top Bottom