Tuwaheshimu wana JamiiForums ambao hawajawahi kupigwa ban

Wengine suala la Ban kwetu ni msamiati
Hatujui ata ndo ina fananaje
 
Giles vipi alipewa bani.yule mwenyewe matako makubwa?

na chamdeko?
 
Asante kwa masahihisho na marekesho. Dah, alikukera sana aisee, huwa nakuona wewe una kiwango cha juu sana cha uvumilivu. Asante
 

Pamoja na kuwa verefeidi yuza waliwahi nipiga ban.๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† nitakuletea umfuge
 
Mimi pia sina bani hata moja, mbona hujanisema?
Humu kuna watu na binadamu.
Hao ni binadamu ni ma legend kama wanavyojiita bila kusema. Yaani hata ufanyaje huwezi kuwafikia kwa chochote humu. Hata kama hawapo, washakufa, wamepalalaizi kwa uzee lakini sifa zao zadumu milele ndani ya JF...halafu wanamisemo yao sema tu hujapei atensheni.
Hahaaaaaaaaa
(Joke)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ