Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Muumin Mwinjuma yuko Mwanza maeneo ya Buzuruga anaburudisha viti kila weekend kwenye ki Pub cha uchochoroniNadhani,
1. Banza Stone
2. Muumin Mwinjuma
3. Mike T
4. Mr Paul
5. Mad Ice
6. Bwana Misosi
7. Kali P
8. Nora (Nuru Nasoro)
9. Nina
10. Sinta
Ova
Hatari sana.Alienda kwao alikuwa anajihusisha na ufugaji, generally enzi za TZR ilikuwa balaa
Ova
twende jukwaa la wakubwa☺️☺️☺️Afu wewe...😩
Halipo...😭😭😭twende jukwaa la wakubwa☺️☺️☺️
basi njoo inbox nikunyonye kimisi😘😘Halipo...😭😭😭
Dah! Maisha yanaenda kasi sana kwakweli. Kocha wa Dunia kafikia kuburudisha viti. Ni noma.Muumin Mwinjuma yuko Mwanza maeneo ya Buzuruga anaburudisha viti kila weekend kwenye ki Pub cha uchochoroni
Siku andaa Uzi utupe experience yako na bange ..
Dah! Julius Nyaisangah. Mzee wa kimanzichana. Marehemu hivi sasa.Julius Nyaisanga
Hii ni kweli mkuu? Brigedia GenMuumin Mwinjuma yuko Mwanza maeneo ya Buzuruga anaburudisha viti kila weekend kwenye ki Pub cha uchochoroni
Hivi huyu ndy alikuwa mtaalam wa moyoMarehemu Dr. Ferdinand Masau