Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Hila la akili cha kiwango cha juu na kumcha Mungu nakupa [emoji817] Magufuli alifanikiwa kwasababu alisaidiwa na Mungu baasi!Sikuona tatizo kiivo Kwa sababu Aliyekua Anaongoza alikua ni mtu wa Mungu na Mwenye Akili kiwango cha juu.
Ndio maana licha ya Kua na Bunge hili, Bado Nchi ilikwenda vizuri!!.
Katika suala la Kulinda Mali asili za Nchi, Embu Tumpe Hayati JPM Maua yake
Mwarabu asingethubutu kumsogelea magufuli, ndio maana kaja sasahiviKwanza rekebisha uelewa wako. Bandari zote za Tanganyika zimenyakuliwa bila malipo. Hazijauzwa bali zimekabidhiwa kwa mwarabu milele bila ukomo.
Pili, acha kuwaandama wafu. Magufuli alishafariki siku nyingi. Usitake kumbambikia uchafu wako wa mikataba ya kitapeli.
Kapambana kwa nafasi yake Hadi katunga sheria ya kuzilindaVipi kailinda? Mali asili? Tena ndiyo imemla vibaya kweli.
Kama hawapo labda wanasubiria mtu aje kuvunja mkataba ili wapate cha Bure bila kufanya kazi kupitia kesiSasa kama bandari zote wamepewa Waarabu mbona hatuwaoni?
.
Wengine tunawangoja kwa hamu kubwa sana.
Magufuli ndiye chanzo cha kutafutwa DPW, alikwenda Kigali mwaka 2015 na akafanya mkutano na Kagame kuhusu uwekezaji.Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Hiyo nukuu yako unaionajeViroba kule baharini vingeokotwa vingi kweli kweli,
Nanukuu,
"Ebu tafakari unalima shamba lako halafu inatokea nyoka inakuzuia usilime,dawa yake ni kuiponda kichwa halafu uendelee kulima".
"Wajibu ni wa Tanzania lakini haki ni za Dubai" Nukuu inayoendana na aliyosema Prof Issa ShivjiHivi DP world ikaja ikakosea Baadhi ya mashariti ya mkataba Kwa jinsi mnavyoitetea inaweza shitakiwa??? Natafakari tuuu
Mbona tulimpinga kuhusu Usukuma,Ukanda,Ukabila,Udikteta,Wizi,na Sifa za kijinga jinga na kuifanya Chato kuwa Ikulu.Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Ishu ni mkataba wa kimangungo hta unheletwa na Nyerere ni ufisadi tuuSitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Mfano huu aliutoa JPM,Rais wa wanyonge wakati fulani.,enzi zake!Hiyo nukuu yako unaionaje
Sitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Unafikilia kidini ndio maana uko hapo na umejaza ujinga kichwani. Kwa hiyo ndio kusema wanapewa milele kwa sababu ni waislamu?ukiangalia kwa jicho la ndani watu wengi hata hawapingi uwekezaji ila wanapinga waarabu au waislamu kwa sababu DP imetokea Dubai ingekuwa imetokea UK au US wala usingesikia makelele hayo. ni chuki tu za udini hakuna kitu hapo. Angekuwa ni Magu mkiristo mwenzao ndio kawakaribisha hao DP usingesikia watu wanalalamika lakini kwa sbb ni Samia imekuwa nongwa! Mungu aendelee kumlinda raisi Samia
Isingepingwa, ila sema nini mwana, TUNGEKUJA KULIPISHWA MIHELA KAMA ILE YA JUZISitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Kwenye maswala ya mikataba ya aina hii hakuwa anaitaka na ndo maana hakuleta mikataba tataSitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?
Akili kubwa ile isingeileta kizembezembeSitaki kumchokoza mwendazake wala yoyote. Nimekuwa nikilisikiliza malumbano juu ya 'uuzwaji' au uwekezaji wa bandari ya Dar.
Je tatizo hapa ni mkataba au namna serikali ya sasa inavyofanya mambo yake? Hivi kuna kosa kubwa kama kuvuruga uchaguzi ambapo Chama Cha Majambazi sorry mapindiuzi kilishinda viti vyote?
Sikuona malumbano, vitisho, kukamatana, mipasho na zilzali kama sasa. Je hapa tatizo ni ile hali kuwa paka akiondoka mipanya hujitawala au?