Tuwaze mrejereo: Hivi DP World ingeletwa na Magufuli ingepingwa?

Hivi mtanzania ambaye ni muislamu anafaidika vp na urais wa Samia hapa Tanzania au uislamu hapa Tanzania unafaidikaje na utawala wa Samia hivi sasa?

Nimekuwa nikijiuliza sana hiki kitu na kuona pengine kuna manufaa ama fursa ambazo sijazigundua.

Sasa swali hilo tuwaulize nyinyi wagalatia,uislam wa samia unawaathiri nini nyinyi kias kwamba mnaacha kumhuhukum kwa jicho la chama chake cha siasa ambacgo ni CCM na badala yake wengi mnaonekana kumuhukum kwa iman yake ambayo ni UISLAM??

Unaacha kuangalia rootcause unakimbilia kuangalia outcomes??
 
Kwanza hakuna huu upumbavu angeukubali ufanyike.na kama ungefanyika huo mkataba usingekuwa na vile vipengele tata
 
Kubalini ukweli,watanzania tunawapenda sana wawekezaji. Wao DP World waje tu tutawapokea kwa mikono miwili ila sio kwa mkataba wa aina ile. Tujiulize ni lini umetolewa ufafanuzi wa kina kwa vifungu vinavyolalamikiwa ?
 
Kwani YY nani? Mm na familia yangu tungepinga kama tunavyo pinga sasa.
Asante
 
Yule alikuwa Simba, tena mwenye Sharubu na sio paka.😂
Asingekubali haya. Na hivyo ndio kusema kusinge kuwepo na mjadala wa kupinga au kuunga mkono. Alishawahi kusema, msubiri akiondoka ndio mfanye ujinga_upuuzi. yaliyotokea ni Upuuzi.
Hili limkataba kwa JPM lingekataliwa ofisini hata kabla halijafika kwa raia. 🤣
 
Huna hoja hata kidogo.
Uislamu unawasaidia nini waTanganyika kwenye ufisadi kama huu wa Dp world ?!. Hii favour ya kuwapa wajomba kwa mkataba wa hovyo ni wa nini ?! Hakuna mwenye shida na waarabu na Uislamu wao. Bali mkataba mbovu zaidi ya ile ya mangungo.
 
Akili kubwa ile isingeileta kizembezembe

Akili kubwa wapi wewe,mbona Ben Saa nane alimchokonoa tuh kidogo atueleze PHD yake kaipataje pataje akaishia kumpoteza once and for all,akili kubwa unaijua wewe??

Akili kubwa toka lin ikaogopa challange na kukosolewa.
 
Jitahidi sana tu.


Nia na mawazo ya mtu hayajifichi kwenye maandiko, si lazima upinge wazi. Lini Nyerere aliwahi kuupinga Uislam wazi lakini vitendo vyake havikuwahi kuuficha ukweli.
ficha ujinga wako usiabishe ukoo.
 
Nani ametaja uislamu ktk kumkosoa ?!. Mbona mnajihami na uislamu wenu huo !!

Tatizo ni mkataba siyo uislamu

Tujihami na uislam wetu??

Sisi hatuna nguvu ya kujiham na uislam wetu,infact uislam ndiyo ambao unatuhami sisi siku zote.

Wewe unadhan kama uislam isingekuwa dini ya haki na hivi inavyopigwa vita ingeweza kushamiri??

Ndiyo kusema huwaoni wanaomkosoa Samia kwa kuegemea kwenye iman yake au umeamua kujitoa ufaham tuh?
 
Waislam hawajiamini kabisa

Labda waislam wakristo,lakini waislam wanajitambua nguzu yao kubwa ni kujiamini.

Na kwanini muislam asijiamini ili hali ana uhakika nyuma yake kuna msaada wa Allah ambae ni Muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo??

Anaachaje kujiamini sasa kwa mfano.
 
Waislam kuna wakati mna tabia za watu wafupi (HAMJIAMINI)

Magufuli alitukanwa sana lakini hakuna Mkristo alisema kuwa kwasababu ya Ukatoliki wake.

Mjiamini nyie watoto wa mama mdogo Hijra...mke mdogo wa Ibrahimu

Watu pekee ambao mnakosa kujiamini ni nyinyi waimba kwaya.

Nitakupa mfano,nchi hii mnasema nyinyi ndie wasomi na sisi wenzangu na mimi ni wavaa kubazi kama mnavyosema.

Ajabu akija Rais ambae ni Muislam,na akafanya teuzi mbili tatu tuh za majina ya watu wenye majina ambayo yanaonekana kama ni waislam basi kelele kila kona kuwa ana udini.

Sasa shida yenu ni kitu gani??na ili hali mnasema kuwa nyinyi ni wasomi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…