EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Ni watu wa mitandao au tcra hao wanatula helaJana nimemaliza tu kuwasiliana na mtu kwa njia ya simu ya sauti na kunisisitiza pesa nimuwekee kwenye namba yake ya airtel. Nakata simu dakika moja mbele napokea hii text. View attachment 2942530hii inaweza kuwa ni bahati mbaya kweli au hawa matapeli wana-pata mawasiliano yetu.
😁😁😁😎Na hapo unasumbuka kuwajibu hizo namba zinapokea sms za hela tu😃
Kazi ya kutapeli watu, kuna binadamu dhamiri zao zishagakufa kabisa, zimebakia kama makopo tuu.ETI KAFANYENI KAZI NYIE WAKATI WENZAKO NDIO WAKO KAZINI TAYARI [emoji1][emoji38]
Nafikiri kuna wanaopigwa kweli maana hawakomi means wanafanikiwaSidhani kama ni hivyo, ni kama tu io yako waliotea ikawa ni right time, sema tu ni kua wewe unafahamu hili jambo ndomana hawakukupiga. Ila kama ingekua mtu asie fahamu, hapo ndo wanapopigiwaga.
Yote kwa yote elimu iendelee kusambazwa kwa wasio jua ili hawa jamaa wafe njaa
Naam, yani wanafanya kama pata potea. Wakituma izo meseji kwa watu 1000 au zaidi kwa wakati mmoja, sidhani kama wanaweza kosa hata mmojaNafikiri kuna wanaopigwa kweli maana hawakomi means wanafanikiwa
Kazini kwao kuna kazi.ETI KAFANYENI KAZI NYIE WAKATI WENZAKO NDIO WAKO KAZINI TAYARI [emoji1][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hapo unasumbuka kuwajibu hizo namba zinapokea sms za hela tu[emoji2]
Hahahhaa 😁🤣 sio mimi labda. Haki yangu huwa inaniuma sana sijui kwanini.Bahati yako tapeli wa zamu ni mgeni, angekua mzoefu angepiga cm kabisaa ili akuporee vyediii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio halisi kabisa, unamaanisha jamaa walikuwa wanapata kila kituu. Hii mitandao kuna namna tunachezewa basi ni kuwa makini sana.Kazini kwao kuna kazi.
Hawa jamaa kuna siku nilikua nawasiliana shem aliniomba kiasi fulan cha pesa ile tumemaliza kuwasiliana tu ikaingia sms yao, shem ile pesa tuma kwenye namba hii jina litakuja fulani fulani usitume kwenye namba yangu. Nikasita nikampigia kumuuliza akasema sio yeye.
Na hapo unasumbuka kuwajibu hizo namba zinapokea sms za hela tu😃