Caesar14
JF-Expert Member
- Aug 10, 2022
- 556
- 1,044
Hapa ipo namna siyo bure!Kazini kwao kuna kazi.
Hawa jamaa kuna siku nilikua nawasiliana shem aliniomba kiasi fulan cha pesa ile tumemaliza kuwasiliana tu ikaingia sms yao, shem ile pesa tuma kwenye namba hii jina litakuja fulani fulani usitume kwenye namba yangu. Nikasita nikampigia kumuuliza akasema sio yeye.